Radi iliyopiga juzi Dar imeacha hasara ya kutosha

Radi iliyopiga juzi Dar imeacha hasara ya kutosha

Mkuu ata kama ameweka Earth rod ya 200k lakini haijafika kwenye switch socket na metal boxes zote ndani ya nyumba haitakuwa na msaada wowote.
Pia kuna wale mafundi wakati wa maintenance huwa wanazikata Earth wires ili kuzia Earth leakage inayosababisha RCB Kutrip so wanakupa Panadol na sio dawa yakumaliza tatizo
Uko sahihi. Njia nzuri ni kutumia mafundi wenye ujuzi na wanaoaminika. Tatizo la Bongo ni kumjua fundi wa aina hii.
 
Kwa hiyo nikisema niweke mbegu za alizeti kwenye chakula badala ya mafuta ya alizeti nakuwa niko sawa tu au sio. si zote ni alizeti. Nenda shule ujifunze kubadilika kwa states za vitu,

We unajua maji yanapitisha umeme, lakini kuna namna maji ukiyafanya hayapitishi umeme.

Au kwa kuwa umesema tofali ya kuchoma ni udongo, tuichukue tuchanganye na simenti tupate tofali ya block, unaonaje hapo.
Unajibu kwa kushushua. Toa sababu zilizoshiba. Usiwe kama walimu wengine ambao mwanafunzi akiuliza swali ambalo ambalo ni counter example badala ya mwanafunzi kijibiwa anadhihakiwa.

Vipi tofali lisilochomwa?


Useme kuwa udongo ni kipitishi kizuri,udongo uwe katika hali Fulani,ukiwa hali ya tofali sio kipitishi kwa sababu kadhaa
 
Back
Top Bottom