Radi iliyopiga juzi Dar imeacha hasara ya kutosha

Uko sahihi. Njia nzuri ni kutumia mafundi wenye ujuzi na wanaoaminika. Tatizo la Bongo ni kumjua fundi wa aina hii.
 
Unajibu kwa kushushua. Toa sababu zilizoshiba. Usiwe kama walimu wengine ambao mwanafunzi akiuliza swali ambalo ambalo ni counter example badala ya mwanafunzi kijibiwa anadhihakiwa.

Vipi tofali lisilochomwa?


Useme kuwa udongo ni kipitishi kizuri,udongo uwe katika hali Fulani,ukiwa hali ya tofali sio kipitishi kwa sababu kadhaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…