Kwa hiyo nikisema niweke mbegu za alizeti kwenye chakula badala ya mafuta ya alizeti nakuwa niko sawa tu au sio. si zote ni alizeti. Nenda shule ujifunze kubadilika kwa states za vitu,
We unajua maji yanapitisha umeme, lakini kuna namna maji ukiyafanya hayapitishi umeme.
Au kwa kuwa umesema tofali ya kuchoma ni udongo, tuichukue tuchanganye na simenti tupate tofali ya block, unaonaje hapo.