Radio Free Afrika watakiwa kujieleza kwanini wasiadhibiwe kwa kurusha kipindi cha 'Amka na BBC' bila mizania

Radio Free Afrika watakiwa kujieleza kwanini wasiadhibiwe kwa kurusha kipindi cha 'Amka na BBC' bila mizania

Ujazuiwa kupata habari mbona kanuni zipo ni self explanatory kipi kinaweza kuwaletea utata. Misrepresentation ni sababu moja wapo.
Upataji Habari utakua biased kama government itaamua ni Habari gani itangazwe na ipi isitangazwe! Nakuelewa kwamba unatetea adhabu zilozotelewa Kwa sababu ya kuvunja kanuni, Lakini mimi ninachosema, kanuni zetu ni halali?!
 
Kama wamevunja sheria acha waadhiniwe kama wahusika hawajaridhika mahakama zipo wazitumie
 
Wewe ndio wakijiuliza hilo swali unaamini TCRA wamekosea kweli au unapenda kupinga tu.

Tatizo liko wapi vyombo vya habari kuitwa kutolea ufafanuzi maudhui ambayo TCRA yanaona sio balanced sheria iliyovunjwa wamekuwekea hapo kukwepa ‘misrepresentation’ lazima walau kuwe na jitihada za kupata upande wa pili.

Ndio maana saa zingine unasikia vyombo vya habari baada ya kuripoti malalamiko ya upande mmoja vinakueleza harakati za kupata upande wa pili azikufua dafu ukipiga simu mtu anaetakiwa kutolea ufafanuzi jambo analoshutumiwa apokei/apatikani au chochote kuonyesha ulijaribu you are off the hook.

Media za vijana wadogo tu wanajua hilo iweje taasisi kubwa ishindwe kuelewa.
Ndigai alihojiwa tbc alimnanga mh, mbowe kuwa alilewa wakati mbowe Yuko hospitalized, mbona hakukuwa na balanced story
 
Mkumbuke tu, vyombo vya habari hasa vya nje ya nchi ndio huwa chanzo cha machafuko na kutoweka kwa amani katika mataifa mengi duniani hasa Africa, hii ni hatua nzuri kudhibiti mitafaruku inayotarajiwa kutokea...

Na tunaomba serikali ifungie na mitandao ya kijamii hasa Facebook na Twitter.
Daah! kwa aina hii ya watu Ccm itatawala miaka mingi! Mamvi alisema vipaumbele ni elimu, elimu, elimu! Kweli hakukosea
 
Ujinga tu! Nchi gani ambayo haina mizania ya utoaji habari? Tatizo ni watu kama wewe na wenye waandishi Kanjanja. Vijana wa BBC nao hoi kuna wakati wanakuwa mashabiki wa habari za nyumbani bila kuheshimu sheria.
Magufuli anavyoropoka ropoka huko huwa analetewa mizania ya habari?
 
Ukiwa naa akiri timamu jiulize toka 2015 pesa zote za ruzuku na zile mnazokata wabunge mmefanyia nini?
Je kuna kibanda mmejenga?
Kipi kipya kimeongezeka kutokana na hiyo ruzuku?
Je hiyo pesa ni ndogo sana kwenye hicho chama?
Je pesa za wabunge kwa ajili ya kampeni zipo?
Ukipata majibu hayo njoo tuzungumze.
"Akiri" ndo nini??? Dogo kajifunze kuandika kwanza ndo urudi hapa..haya nenda.
 
Mkumbuke tu, vyombo vya habari hasa vya nje ya nchi ndio huwa chanzo cha machafuko na kutoweka kwa amani katika mataifa mengi duniani hasa Africa, hii ni hatua nzuri kudhibiti mitafaruku inayotarajiwa kutokea...

Na tunaomba serikali ifungie na mitandao ya kijamii hasa Facebook na Twitter.
Watu wanavyotekwa, kuuliwa na kuokotwa kwenye viroba unaona sawa kabisa. Hayo machafuko yatoke wapi si mnakubalika sana kwa kufanya vizuri. Na haya mambo huwa yana mwisho wake
 
Upataji Habari utakua biased kama government itaamua ni Habari gani itangazwe na ipi isitangazwe! Nakuelewa kwamba unatetea adhabu zilozotelewa Kwa sababu ya kuvunja kanuni, Lakini mimi ninachosema, kanuni zetu ni halali?!
Kila mtu atimize wajibu wake kutokana na matakwa ya sheria TCRA aendelee kudhibiti na vyombo vya habari vitajifunza kuwakumbusha wengine wanaowapa contents kuhakikisha uwasilishaji unazingatia sheria za Tanzania wakifanya ivyo hakuna atakaesumbuliwa.

Unajua tatizo ni wana siasa ndio wanaoenda kupotosha malengo halisi nyuma hizi sheria interest zao zinapoguswa.

Mimi nakumbuka enzi za JK unakuta gazeti lina kichwa cha habari ukurasa wa mbele ‘Mama ajifungua chatu’ na picha ya mwanamke inawekewa na story inaweza trend kwenye social media. Yaani kulikuwa na kila aina ya nonsense kwenye media.

6C3A5D58-D435-42CC-8864-5BC07D1D8096.jpeg


Ziko wapi nakala kama hizo leo ni kupitia usimamizi wa sheria na kulazimisha ethics ndio watu watabadilika vyombo vya habari aviwezi kujirushia habari kwa utashi lazima kuwe na regulations.
 
Back
Top Bottom