Unazingumzia Protestants au unazingumzia redio za kanisa Katoliki redio maria na tumaini ambao ni kuhubiri imani Yao tuu?Nimepanda gari la jamaa yangu ameweka Radio zao hizi. Hawa jamaa wanakera matangazo yao yote ni Shule Shule Shule.
Inakera. Mara watu wa QT mara watu wa Ku "reseat" inakera Mara sijui Chuo gani, mara shule. Jamani mnabore sana. Matangazo hayana mvuto kabisa. Tafuteni na Matangazo mengine.
Inachosha asilimia 80 ya matangazo ni Mambo ya Elimu. Kuna Maisha mengine ndugu zanguni badilikeni.
Na wewe ukasikiliza ulivyo boyaNimepanda gari la jamaa yangu ameweka Radio zao hizi. Hawa jamaa wanakera matangazo yao yote ni Shule Shule Shule.
Inakera. Mara watu wa QT mara watu wa Ku "reseat" inakera Mara sijui Chuo gani, mara shule. Jamani mnabore sana. Matangazo hayana mvuto kabisa. Tafuteni na Matangazo mengine.
Inachosha asilimia 80 ya matangazo ni Mambo ya Elimu. Kuna Maisha mengine ndugu zanguni badilikeni.
Kanishangaza kwakweliNami nimewaza hivyo kama wewe Ndugu yangu.
Weka Radio Iman, 103.7
Nimepanda gari la jamaa yangu ameweka Radio zao hizi. Hawa jamaa wanakera matangazo yao yote ni Shule Shule Shule.
Inakera. Mara watu wa QT mara watu wa Ku "reseat" inakera Mara sijui Chuo gani, mara shule. Jamani mnabore sana. Matangazo hayana mvuto kabisa. Tafuteni na Matangazo mengine.
Inachosha asilimia 80 ya matangazo ni Mambo ya Elimu. Kuna Maisha mengine ndugu zanguni badilikeni.
Elimu ndio kila kitu. Waliodharau elimu wanalialia huko barabarani kuwa wanabaguliwa. Mwisho hujalazimishwa kusikiliza hiyo redio. Ungeweka pamba masikioni.Nimepanda gari la jamaa yangu ameweka Radio zao hizi. Hawa jamaa wanakera matangazo yao yote ni Shule Shule Shule.
Inakera. Mara watu wa QT mara watu wa Ku "reseat" inakera Mara sijui Chuo gani, mara shule. Jamani mnabore sana. Matangazo hayana mvuto kabisa. Tafuteni na Matangazo mengine.
Inachosha asilimia 80 ya matangazo ni Mambo ya Elimu. Kuna Maisha mengine ndugu zanguni badilikeni.
Hii ni mpya!yaani unakereka na masuala ya elimu! Si tumehimizwa kumshika sana elimu, kutomuacha aende zake!?Nimepanda gari la jamaa yangu ameweka Radio zao hizi. Hawa jamaa wanakera matangazo yao yote ni Shule Shule Shule.
Inakera. Mara watu wa QT mara watu wa Ku "reseat" inakera Mara sijui Chuo gani, mara shule. Jamani mnabore sana. Matangazo hayana mvuto kabisa. Tafuteni na Matangazo mengine.
Inachosha asilimia 80 ya matangazo ni Mambo ya Elimu. Kuna Maisha mengine ndugu zanguni badilikeni.
Ndio zinazowaweka mjini, lazima wazipigie chapuo.Nimepanda gari la jamaa yangu ameweka Radio zao hizi. Hawa jamaa wanakera matangazo yao yote ni Shule Shule Shule.
Inakera. Mara watu wa QT mara watu wa Ku "reseat" inakera Mara sijui Chuo gani, mara shule. Jamani mnabore sana. Matangazo hayana mvuto kabisa. Tafuteni na Matangazo mengine.
Inachosha asilimia 80 ya matangazo ni Mambo ya Elimu. Kuna Maisha mengine ndugu zanguni badilikeni.
Sijataja dini yangu. Ila sikuwa na nia ya kuleta malumbano ya kidini. Nlikuwa nawaambia tu wakristo radios zao wapunguze matangazo ya shule shule kila wakati. Ina bore sana. Kuna mambo mengi mbali na shule na vyuomMuanzisha uzi hakuwa na nia ya kuleta malumbano ya dini, angalau kwa upande wangu sikuona hilo. Naweza kuamini na yeye ni mkristo.
Sasa wanajf nafikiri mna chuki zenu binafsi, mnaubadilisha huu uzi kuwa wa chuki.
Binafsi sipendi kusikiliza radio watu wanaongea muda wote, na mada hata hazina mashiko. Napenda muziki utawale zaidi.
Radio nyingi za Tz, watangazaji wanakuwa wawili au watatu, basi ni kuongea tu baina yao mada waliyoamua kuiongelea, huwa zinanichosha sana.
Hii ni promo, huyu hana, Uislamu wowote, anajua akitumia maneno haya, watu wasio waislamu wataukejeli Uislamu na Waislamu.Hii nchi sijui inaenda wapi yaani radio kutangaza matangazo ya elimu inamkera mtu au ni sikukuu imekuja vibaya Kwa upande wako mkuu.