Kambaku
JF-Expert Member
- Nov 12, 2011
- 8,332
- 31,306
Huyu hajachapia ni hajui kimalkia fullstopHahaha umetisha achana na hizo comments za wadau kuchapia ni kawaida
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu hajachapia ni hajui kimalkia fullstopHahaha umetisha achana na hizo comments za wadau kuchapia ni kawaida
Sent using Jamii Forums mobile app
🤣🤣🤣🤣 muacheni jamani atumalizie story la skonga kwao mbona vayolensi mapema hivi???INSIDER MAN huyu jamaa ni fundi haez kua na mjukuu mbumbumbuu hiv
Hi ni gahawa ambayo haina kashata🤣🤣🤣🤣 muacheni jamani atumalizie story la skonga kwao mbona vayolensi mapema hivi???
Watu wako njuka tayari wana mademu 😂😂😂Hi ni gahawa ambayo haina kashata
Na kasema demu alimpenda sababu alikuwa kipanga darasani 🤣🤣🤣🤣Lugha imekuchenga sana dogo
unaenda toke eh! binti yanguIla nishachukuliwa mkuu,ukija private ujue tutadiscuss ukuzaji wa ndizi matoke
We naye hata darasani ulikuwa kilaza tu alafu unalazimisha lugha za watu sasa hiki ni kiingereza gani eti"he was reach a point of give up" acheni ujinga madogo naona siki hizi mnakuja na vistori vingi vingi..Wana jf nawapeni hii thread ni very critical
Tulikutana na that guy o level mimi alikuwa mgeni mimi ndo niliye mpokea skonga na mtaani Kwa hiyo huo ndo ulikuwa mwazo wa urafiki wetu ilifikia hatua our fellow students wakatuonea wivu kutokana na lifestyle yetu
Tulipoizoea shule yeye ndiye alikuwa wa kwanza kupata dem alihustle sana kumpata huyo dem he was reach a point of give up mimi ndo nikamshauri aendelee kumwaapproach Kwa sababu alimpenda sana hatimaye dem akarespond ikawa couple nzuri sana shuleni
Ikafika zamu yangu Sasa Mimi nilimtongoza dem fulani as a joke kadri siku zilivyoendelea nikampenda sana at the maximum amount lakini shida ikaja cause kipindi hicho alitongozwa many boys hapo shuleni na mtaani kwakuwa nilikuwa mwanafunzi mwenye uwezo kidogo darasa so hakunitema but nawengine aliwachuna Hadi wa ka give up alinizungusha Hadi tukafikiay kidato cha 3 ambapo nilikeep much effort kumwaapproach hadi niliamua kumtumia rafiki yangu kipenzi cause he was become more experienced in such issues
Kweli alipoanza kumshawishi huyo dem maendeleo yalioneakana dem alikubalia at the short time kwa kuwa huyo dem alikuwa peace kali hapo shuleni ilikuwa fahari kubwa sana kwang mapenzi yalikuwa ya moto
Ushemeji ndo ukaanza sasa
Itaendelea soon
Pole yake sana...
Wana jf nawapeni hii thread ni very critical
Tulikutana na that guy o level mimi alikuwa mgeni mimi ndo niliye mpokea skonga na mtaani Kwa hiyo huo ndo ulikuwa mwazo wa urafiki wetu ilifikia hatua our fellow students wakatuonea wivu kutokana na lifestyle yetu
Tulipoizoea shule yeye ndiye alikuwa wa kwanza kupata dem alihustle sana kumpata huyo dem he was reach a point of give up mimi ndo nikamshauri aendelee kumwaapproach Kwa sababu alimpenda sana hatimaye dem akarespond ikawa couple nzuri sana shuleni
Ikafika zamu yangu Sasa Mimi nilimtongoza dem fulani as a joke kadri siku zilivyoendelea nikampenda sana at the maximum amount lakini shida ikaja cause kipindi hicho alitongozwa many boys hapo shuleni na mtaani kwakuwa nilikuwa mwanafunzi mwenye uwezo kidogo darasa so hakunitema but nawengine aliwachuna Hadi wa ka give up alinizungusha Hadi tukafikiay kidato cha 3 ambapo nilikeep much effort kumwaapproach hadi niliamua kumtumia rafiki yangu kipenzi cause he was become more experienced in such issues
Kweli alipoanza kumshawishi huyo dem maendeleo yalioneakana dem alikubalia at the short time kwa kuwa huyo dem alikuwa peace kali hapo shuleni ilikuwa fahari kubwa sana kwang mapenzi yalikuwa ya moto
Ushemeji ndo ukaanza sasa
Itaendelea soon