Mr.Junior
JF-Expert Member
- Sep 8, 2013
- 12,454
- 11,029
Kwenu shule hazina hostel?Jamani shule za kata zijengewe hostels,, wanafunzi wameanza kutusumbua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenu shule hazina hostel?Jamani shule za kata zijengewe hostels,, wanafunzi wameanza kutusumbua
Miss you Daddy 😚unaenda toke eh! binti yangu
Leta vituTuendelee
Basi jamaa akawa karibu sana na huyo dem me nilijua labda ushemeji tu kwa vile jamaa nilivyomwamini sikumtilia mashaka hata kidogo hata wanadarasa walichukulia POA maana nao wasingeamini kama jamaa anaweza kunisaliti
Ule ukaribu ulizidi kutokana wao wote walikuwa hawasomi masomo ya sayansi Kwa hiyo the most of the time walikuwa wana spend together kwa kuwa Kila kitu walichokuawanazungumza alikuwa ananiambia basi nilijipa imani kwamba nothing bad was going on
Basi mwezi wa 9 tukiwa kidato cha 3 alisema tuachane nilishtuka sana cause I had never experienced such situation before nilimuuliza sababu gani inayotufanya tuachane alisema ameshindwa kuwa kwenye mahusiano na mtu asiyempenda nikamwambia fresh Nika move on
Kufikia mwezi wa 5 kidato cha 4 kipindi hicho chote nilikuwa single kipindi hicho Kila mtu analikuwa kwenye couple halaf nikimwangalia ex wangu bado Jimbo liko wazi nilitafuta namna ya kurudisha majeshi niliyopoteza lakini awamu hii ili kuwa ina fikirisha sana dem alikubali lakini huyo rafiki(jamaa)alipunguza ukaribu na Mimi sikumind sana
Kumbe walikuwa wananichora
Story ndo ikaanza sasa!!!!!!!!!!!!
Tutaendelea-----------------------___________
HayaBas wameifunga mkuu....nifunge pm nikose opportunities 😜
Tayari... angalia kule ssBas wameifunga mkuu....nifunge pm nikose opportunities 😜
Wote ME 🤔watu wakawa wanawaonea wivu?Tulikutana na that guy o level mimi alikuwa mgeni mimi ndo niliye mpokea skonga na mtaani Kwa hiyo huo ndo ulikuwa mwazo wa urafiki wetu ilifikia hatua our fellow students wakatuonea wivu kutokana na lifestyle yetu
Me sio Nabii ila we utakua bado uko mwanafunz( pupil),uandishi wa kisa chako bado sana,picha linaanza iyo sentence ya kwanza inaonesha we ni demu("tulikutana na that guy" -wanawake huwaita wanaume wasiowajua hiv),kiswa-english unakilazimisha sanaWana jf nawapeni hii thread ni very critical
Tulikutana na that guy o level mimi alikuwa mgeni mimi ndo niliye mpokea skonga na mtaani Kwa hiyo huo ndo ulikuwa mwazo wa urafiki wetu ilifikia hatua our fellow students wakatuonea wivu kutokana na lifestyle yetu
Tulipoizoea shule yeye ndiye alikuwa wa kwanza kupata dem alihustle sana kumpata huyo dem he was reach a point of give up mimi ndo nikamshauri aendelee kumwaapproach Kwa sababu alimpenda sana hatimaye dem akarespond ikawa couple nzuri sana shuleni
Ikafika zamu yangu Sasa Mimi nilimtongoza dem fulani as a joke kadri siku zilivyoendelea nikampenda sana at the maximum amount lakini shida ikaja cause kipindi hicho alitongozwa many boys hapo shuleni na mtaani kwakuwa nilikuwa mwanafunzi mwenye uwezo kidogo darasa so hakunitema but nawengine aliwachuna Hadi wa ka give up alinizungusha Hadi tukafikiay kidato cha 3 ambapo nilikeep much effort kumwaapproach hadi niliamua kumtumia rafiki yangu kipenzi cause he was become more experienced in such issues
Kweli alipoanza kumshawishi huyo dem maendeleo yalioneakana dem alikubalia at the short time kwa kuwa huyo dem alikuwa peace kali hapo shuleni ilikuwa fahari kubwa sana kwang mapenzi yalikuwa ya moto
Ushemeji ndo ukaanza sasa
Itaendelea
me more..leo umevaa gauni la kushonesha mana naona leo ni siku yenu kima mamaMiss you Daddy 😚
Nimeamka nimefua nimeoga nimekunywa chai nimeosha vyombo nimeanua nguo nimekunja nguo nimelala sijaamka bado na njaa inaniuma😪me more..leo umevaa gauni la kushonesha mana naona leo ni siku yenu kima mama
umeanzia mbali kwelikweli 😂Nimeamka nimefua nimeoga nimekunywa chai nimeosha vyombo nimeanua nguo nimekunja nguo nimelala sijaamka bado na njaa inaniuma😪
We baba una akili kweli🤣🤣🤣🤣 haya umeshindaje mwenyewe?umeanzia mbali kwelikweli 😂
sina.
au wacha nikuwekee tuh namba ya wakala ni ilele ile binti yangu si ndio
mzima kabisa niko tuh apa nasogeza mbuzi juaniWe baba una akili kweli🤣🤣🤣🤣 haya umeshindaje mwenyewe?
Mi nayapenda kweli mazingira ya hivyo aisee...,mazingira yaniwezeshayo kufugamzima kabisa niko tuh apa nasogeza mbuzi juani
safi sana ukipata likizo ndefu kazini njoo tufuge pamoja nitakupatia chochote kitu cha kuanziaMi nayapenda kweli mazingira ya hivyo aisee...,mazingira yaniwezeshayo kufuga