Rafiki aligeuka kuwa mnafiki kisa mwanamke

Rafiki aligeuka kuwa mnafiki kisa mwanamke

Jamii Forum mimi tu wakati nasoma ndo nlikuwa kilaza.

Member wengine wote vipanga.
 
Tuendelee
Basi jamaa akawa karibu sana na huyo dem me nilijua labda ushemeji tu kwa vile jamaa nilivyomwamini sikumtilia mashaka hata kidogo hata wanadarasa walichukulia POA maana nao wasingeamini kama jamaa anaweza kunisaliti

Ule ukaribu ulizidi kutokana wao wote walikuwa hawasomi masomo ya sayansi Kwa hiyo the most of the time walikuwa wana spend together kwa kuwa Kila kitu walichokuawanazungumza alikuwa ananiambia basi nilijipa imani kwamba nothing bad was going on

Basi mwezi wa 9 tukiwa kidato cha 3 alisema tuachane nilishtuka sana cause I had never experienced such situation before nilimuuliza sababu gani inayotufanya tuachane alisema ameshindwa kuwa kwenye mahusiano na mtu asiyempenda nikamwambia fresh Nika move on


Kufikia mwezi wa 5 kidato cha 4 kipindi hicho chote nilikuwa single kipindi hicho Kila mtu analikuwa kwenye couple halaf nikimwangalia ex wangu bado Jimbo liko wazi nilitafuta namna ya kurudisha majeshi niliyopoteza lakini awamu hii ili kuwa ina fikirisha sana dem alikubali lakini huyo rafiki(jamaa)alipunguza ukaribu na Mimi sikumind sana

Kumbe walikuwa wananichora

Story ndo ikaanza sasa!!!!!!!!!!!!

Tutaendelea-----------------------___________
 
Tuendelee
Basi jamaa akawa karibu sana na huyo dem me nilijua labda ushemeji tu kwa vile jamaa nilivyomwamini sikumtilia mashaka hata kidogo hata wanadarasa walichukulia POA maana nao wasingeamini kama jamaa anaweza kunisaliti

Ule ukaribu ulizidi kutokana wao wote walikuwa hawasomi masomo ya sayansi Kwa hiyo the most of the time walikuwa wana spend together kwa kuwa Kila kitu walichokuawanazungumza alikuwa ananiambia basi nilijipa imani kwamba nothing bad was going on

Basi mwezi wa 9 tukiwa kidato cha 3 alisema tuachane nilishtuka sana cause I had never experienced such situation before nilimuuliza sababu gani inayotufanya tuachane alisema ameshindwa kuwa kwenye mahusiano na mtu asiyempenda nikamwambia fresh Nika move on


Kufikia mwezi wa 5 kidato cha 4 kipindi hicho chote nilikuwa single kipindi hicho Kila mtu analikuwa kwenye couple halaf nikimwangalia ex wangu bado Jimbo liko wazi nilitafuta namna ya kurudisha majeshi niliyopoteza lakini awamu hii ili kuwa ina fikirisha sana dem alikubali lakini huyo rafiki(jamaa)alipunguza ukaribu na Mimi sikumind sana

Kumbe walikuwa wananichora

Story ndo ikaanza sasa!!!!!!!!!!!!

Tutaendelea-----------------------___________
Leta vitu
 
Tulikutana na that guy o level mimi alikuwa mgeni mimi ndo niliye mpokea skonga na mtaani Kwa hiyo huo ndo ulikuwa mwazo wa urafiki wetu ilifikia hatua our fellow students wakatuonea wivu kutokana na lifestyle yetu
Wote ME 🤔watu wakawa wanawaonea wivu?
 
Wana jf nawapeni hii thread ni very critical

Tulikutana na that guy o level mimi alikuwa mgeni mimi ndo niliye mpokea skonga na mtaani Kwa hiyo huo ndo ulikuwa mwazo wa urafiki wetu ilifikia hatua our fellow students wakatuonea wivu kutokana na lifestyle yetu

Tulipoizoea shule yeye ndiye alikuwa wa kwanza kupata dem alihustle sana kumpata huyo dem he was reach a point of give up mimi ndo nikamshauri aendelee kumwaapproach Kwa sababu alimpenda sana hatimaye dem akarespond ikawa couple nzuri sana shuleni

Ikafika zamu yangu Sasa Mimi nilimtongoza dem fulani as a joke kadri siku zilivyoendelea nikampenda sana at the maximum amount lakini shida ikaja cause kipindi hicho alitongozwa many boys hapo shuleni na mtaani kwakuwa nilikuwa mwanafunzi mwenye uwezo kidogo darasa so hakunitema but nawengine aliwachuna Hadi wa ka give up alinizungusha Hadi tukafikiay kidato cha 3 ambapo nilikeep much effort kumwaapproach hadi niliamua kumtumia rafiki yangu kipenzi cause he was become more experienced in such issues

Kweli alipoanza kumshawishi huyo dem maendeleo yalioneakana dem alikubalia at the short time kwa kuwa huyo dem alikuwa peace kali hapo shuleni ilikuwa fahari kubwa sana kwang mapenzi yalikuwa ya moto

Ushemeji ndo ukaanza sasa

Itaendelea
Me sio Nabii ila we utakua bado uko mwanafunz( pupil),uandishi wa kisa chako bado sana,picha linaanza iyo sentence ya kwanza inaonesha we ni demu("tulikutana na that guy" -wanawake huwaita wanaume wasiowajua hiv),kiswa-english unakilazimisha sana
Binafsi nadhan hamna haja ya kuendelea na kisa chako unless utafute mwandish mzur akusaidie
 
Back
Top Bottom