Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe haujachapia kwani?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ukitaka usikosolewa acha kuandika Ngeli kama yet hujaimaster yaani umajitahidi lakini bado umechapia hiyo luga..
Sawa Baba,nitashukuru sanasafi sana ukipata likizo ndefu kazini njoo tufuge pamoja nitakupatia chochote kitu cha kuanzia
HiAisee
Hi dear
Am okay,just to greet u cuteHi dear
Nimechanganya tu maneno ila cjachapiaWewe haujachapia kwani?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Thanks. Stay Blessed.Am okay,just to greet u cute
Amen my loveThanks. Stay Blessed.
Unaharibu story kwa kuingiza broken english mkuuWana jf nawapeni hii thread ni very critical
Tulikutana na that guy o level mimi alikuwa mgeni mimi ndo niliye mpokea skonga na mtaani Kwa hiyo huo ndo ulikuwa mwazo wa urafiki wetu ilifikia hatua our fellow students wakatuonea wivu kutokana na lifestyle yetu
Tulipoizoea shule yeye ndiye alikuwa wa kwanza kupata dem alihustle sana kumpata huyo dem he was reach a point of give up mimi ndo nikamshauri aendelee kumwaapproach Kwa sababu alimpenda sana hatimaye dem akarespond ikawa couple nzuri sana shuleni
Ikafika zamu yangu Sasa Mimi nilimtongoza dem fulani as a joke kadri siku zilivyoendelea nikampenda sana at the maximum amount lakini shida ikaja cause kipindi hicho alitongozwa many boys hapo shuleni na mtaani kwakuwa nilikuwa mwanafunzi mwenye uwezo kidogo darasa so hakunitema but nawengine aliwachuna Hadi wa ka give up alinizungusha Hadi tukafikiay kidato cha 3 ambapo nilikeep much effort kumwaapproach hadi niliamua kumtumia rafiki yangu kipenzi cause he was become more experienced in such issues
Kweli alipoanza kumshawishi huyo dem maendeleo yalioneakana dem alikubalia at the short time kwa kuwa huyo dem alikuwa peace kali hapo shuleni ilikuwa fahari kubwa sana kwang mapenzi yalikuwa ya moto
Ushemeji ndo ukaanza sasa
Itaendelea soon
Endelea bhanaa 😂😂😂😂😂Wana jf nawapeni hii thread ni very critical
Tulikutana na that guy o level mimi alikuwa mgeni mimi ndo niliye mpokea skonga na mtaani Kwa hiyo huo ndo ulikuwa mwazo wa urafiki wetu ilifikia hatua our fellow students wakatuonea wivu kutokana na lifestyle yetu
Tulipoizoea shule yeye ndiye alikuwa wa kwanza kupata dem alihustle sana kumpata huyo dem he was reach a point of give up mimi ndo nikamshauri aendelee kumwaapproach Kwa sababu alimpenda sana hatimaye dem akarespond ikawa couple nzuri sana shuleni
Ikafika zamu yangu Sasa Mimi nilimtongoza dem fulani as a joke kadri siku zilivyoendelea nikampenda sana at the maximum amount lakini shida ikaja cause kipindi hicho alitongozwa many boys hapo shuleni na mtaani kwakuwa nilikuwa mwanafunzi mwenye uwezo kidogo darasa so hakunitema but nawengine aliwachuna Hadi wa ka give up alinizungusha Hadi tukafikiay kidato cha 3 ambapo nilikeep much effort kumwaapproach hadi niliamua kumtumia rafiki yangu kipenzi cause he was become more experienced in such issues
Kweli alipoanza kumshawishi huyo dem maendeleo yalioneakana dem alikubalia at the short time kwa kuwa huyo dem alikuwa peace kali hapo shuleni ilikuwa fahari kubwa sana kwang mapenzi yalikuwa ya moto
Ushemeji ndo ukaanza sasa
Itaendelea soon
[emoji16][emoji16][emoji16]Nimechanganya tu maneno ila cjachapia