Ni jambo jemamimi mzima binti yangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni jambo jemamimi mzima binti yangu
😂😂😂Mie mwenyew jini 😂🤣🤣🤣
Kitaumana siku hiyo🤣🤣
Unaitaji marafiki wangapi [emoji848]Mimi ni binti miaka 24 nipo mwanza,nimemaliza chuo natafuta marafiki wa kubadilishana mawazo na kushauriana kuhusu maisha na mambo mengineyo🥲
nimesoma tourism and cultureUmesoma kozi gani na Je unaelewa vizuri lugha ya malkia kwa ufasaha 💯%
😂😂Daah haya banaLieleweke vizuri hilo neno mambo mengineyo
Ndionimesoma tourism and culture
hiyo lugha unamaanisha English ama?
Ni jambo jema
KaribuMimi ni binti miaka 24 nipo mwanza,nimemaliza chuo natafuta marafiki wa kubadilishana mawazo na kushauriana kuhusu maisha na mambo mengineyo🥲
hata 100 tu my friend 😃Unaitaji marafiki wangapi [emoji848]
yeah naielewaNdio
Karibu Pmyeah naielewa
kwa nini😂😂Naona mtu akilia na kusaga meno kama jibwa, siku si nyingi.
Wajaze tu kwanza, kwani Mia washafika?kwa nini😂😂
Njoo igoma hapa tuendelee kuongea ongea week end imeingiMimi ni binti miaka 24 nipo mwanza,nimemaliza chuo natafuta marafiki wa kubadilishana mawazo na kushauriana kuhusu maisha na mambo mengineyo🥲
Inapatikana sehemu gani plsBangi inanikera harufu, so huwa napendelea ile ya kutafuna,ipo kwenye mfumo wa kashata.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app