bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,873
Poor little girl! Unahisi ni kwanini huaminiki?
hahaaaa extremely smart mpwa utajiju!!!! sijibu hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Poor little girl! Unahisi ni kwanini huaminiki?
Sihitaji wapwa na mabinamu,ni mimi na wewe na my best friend,sijui ziro patafaa?Hurry! Before its too late!
Na wewe bht,naomba muone invizibo haraka.Ili uwe level ya wapwa ya uligendi!hahaaaa extremely smart mpwa utajiju!!!! sijibu hapa
For the second time: Whats the tittle of this thread ZD? Am chairman dont forget!
we unahitaji ushauri nasaha wa mamaa la carmel! Yaani urafiki wa opposote sex ni illegal kwenye mahusiano? My! My! My! Kweli wivu ukizidi unaleta kero!
Sore Chrispin,ofutopik kidogo si zinaruhusiwa? ninarudi lakni kwenye mada.For the second time: Whats the tittle of this thread ZD? Am chairman dont forget!
Are you shy?
Dah shem bwana,ndio maana nakupenda.Wewe ni mzalendo halisi yaniMwenyekiti hilo ni kwa maslahi ya taifa ujue!
ha ha haaaaaaa, kuna vitu vya muhimu zaidi kwa sasa zaidi ya kuboldiwa. Si unajua tena najiandaa kwenda moshi kuhesabiwa. Ila usijali , bold yangu itakuwa ya kihistoria, yani tarehe 1.1.2010.Hahahahahaa,Hayo ndio maisha Carmel,
Lakini hebu naomba usitudhalilishe wapwa na mabinamu.Muone haraka sana invizibo ili aku-bold.
Jumamosi,just before geti tugeza.Unaona nimerudi kwenye topicUnamleta leo au lini? Am dying to see him.
mwenye thread kawa mkali jamani, watch out!For the third and last time: ZD, what is the tittle of this thread? And who posted it?
tatizo hapa ni kwamba kwanini hakum introduce tangu mwanzo? mume ninayeongea nae kila siku kuhusu yaliyotokea siku nzima kama amepata rafiki kweli na hakuna longo longo lazima atasema tu na atakuwa anatoa updates urafiki unavyoendelea kukua..yaani hata siku tukikutana inakuwa ni "mwaya nimesikia sana habari zako toka kwa my husband wangu, nafurahi kukutana na wewe leo..." na mambo kama hayo,mi hapo wala sina shida na mtu.
sio ati "rafiki wa karibu" kutoka no where tena ghafla bin vuup ...!
off topic hii.....mpwa rudi haraka kwenye mada
bht, thou shall not say the unsayable...
ha ha haaaaaaa, kuna vitu vya muhimu zaidi kwa sasa zaidi ya kuboldiwa. Si unajua tena najiandaa kwenda moshi kuhesabiwa. Ila usijali , bold yangu itakuwa ya kihistoria, yani tarehe 1.1.2010.
Halafu mwenyekiti anajipendelea kweli,yeye ofutopiki anaruhusiwa lakini wengine anatubani!Nimekugongea Senksi mpwa, hiyo haikuwa off topic kabisa. Saidia ZD anataka kukwepesha mada. Anajua kwa sababu mwenyekiti ni mchumba wake hatapata bani!