Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
- Thread starter
- #21
Tafuta helaKile kiwanja chako cha 15×15 ulichokuwa unaomba ushauri kama kinatosha nyumba ya vyumba vitatu ushaanza ujenz
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafuta helaKile kiwanja chako cha 15×15 ulichokuwa unaomba ushauri kama kinatosha nyumba ya vyumba vitatu ushaanza ujenz
AsanteHongera.........
Bill Lugano one and two
Tafuta helaYule mzungu wako mdenmark kashapata mwanamke au umeamua ww ndo kua mwanamke wake?
Tafuta helaitoshe kusema kinyeo kinalipa na kinasoko
Sio wote bhana tuombe Msamaha ni hao waliotoka kwenye maisha duni wao wanaamini Hela ndio kila kitu hapo hela zenyewe anazozungumzia ni hizo zinazokatwa PAYE...hana mradi wala nini mshahara ukichelewa analialia humu..Wabara wengi ushamba wenu uko hapa mkipata pesa , wengi washamba sana ..
Wapige kama utakavyo ila ujue kuna vitu utakosa kujifunza au hujui mtu mwenye matatizo huona fursa za biashara tofauti na yule asiye na matitizoYaani katika maisha yangu urafiki na masikini hapana aisee yaani Kwa pesa hizi nilizonazo halafu niwe na urafiki na masikini aniambukize njaa aisee hapana. Hivi nyie masikini kwanini msipambane na nyie muwe kama Mimi.
Kila siku mnalialia njaa tu baada ya kupambana mnakaa kulialia Mimi sio mnafiki. Nawaambia ukweli pambaneni Mimi huwa nikigundua masikini anataka urafiki na Mimi namzaba kibao maana ananiletea mikosi.
Ulijifikisha hapo mwenyewe bila msaada wa mtu ?Hivi nyie masikini kwanini msipambane na nyie muwe kama Mimi.
Yaani nijifunze nini Kwa masikini aliyeshindwaWapige kama utakavyo ila ujue kuna vitu utakosa kujifunza au hujui mtu mwenye matatizo huona fursa za biashara tofauti na yule asiye na matitizo
Jifunze kutoka kwa kila mtu unda nao urafiki ,unaweza ukajua kosa alilolifanya hadi kumpelekea kuwa masikini ukaliepukaYaani katika maisha yangu urafiki na masikini hapana aisee yaani Kwa pesa hizi nilizonazo halafu niwe na urafiki na masikini aniambukize njaa aisee hapana. Hivi nyie masikini kwanini msipambane na nyie muwe kama Mimi.
Kila siku mnalialia njaa tu baada ya kupambana mnakaa kulialia Mimi sio mnafiki. Nawaambia ukweli pambaneni Mimi huwa nikigundua masikini anataka urafiki na Mimi namzaba kibao maana ananiletea mikosi.
Sababu zilizompelekea kushindwa au unajitoshelezaYaani nijifunze nini Kwa masikini aliyeshindwa
Unajitosheleza sana eeeh ?Yaani nijifunze nini Kwa masikini aliyeshindwa
NdioUnajitosheleza sana eeeh ?
NdioSababu zilizompelekea kushindwa au unajitosheleza
Any way utabaki na utajiri wako huoNdio