Rafiki maskini ni mikosi

Rafiki maskini ni mikosi

20240723_095126.jpg
 
Wabara wengi ushamba wenu uko hapa mkipata pesa , wengi washamba sana ..
Sio wote bhana tuombe Msamaha ni hao waliotoka kwenye maisha duni wao wanaamini Hela ndio kila kitu hapo hela zenyewe anazozungumzia ni hizo zinazokatwa PAYE...hana mradi wala nini mshahara ukichelewa analialia humu..
 
Yaani katika maisha yangu urafiki na masikini hapana aisee yaani Kwa pesa hizi nilizonazo halafu niwe na urafiki na masikini aniambukize njaa aisee hapana. Hivi nyie masikini kwanini msipambane na nyie muwe kama Mimi.

Kila siku mnalialia njaa tu baada ya kupambana mnakaa kulialia Mimi sio mnafiki. Nawaambia ukweli pambaneni Mimi huwa nikigundua masikini anataka urafiki na Mimi namzaba kibao maana ananiletea mikosi.
Wapige kama utakavyo ila ujue kuna vitu utakosa kujifunza au hujui mtu mwenye matatizo huona fursa za biashara tofauti na yule asiye na matitizo
 
Yaani katika maisha yangu urafiki na masikini hapana aisee yaani Kwa pesa hizi nilizonazo halafu niwe na urafiki na masikini aniambukize njaa aisee hapana. Hivi nyie masikini kwanini msipambane na nyie muwe kama Mimi.

Kila siku mnalialia njaa tu baada ya kupambana mnakaa kulialia Mimi sio mnafiki. Nawaambia ukweli pambaneni Mimi huwa nikigundua masikini anataka urafiki na Mimi namzaba kibao maana ananiletea mikosi.
Jifunze kutoka kwa kila mtu unda nao urafiki ,unaweza ukajua kosa alilolifanya hadi kumpelekea kuwa masikini ukaliepuka
 
Back
Top Bottom