Rafiki maskini ni mikosi

Rafiki maskini ni mikosi

Yaani katika maisha yangu urafiki na masikini hapana aisee yaani Kwa pesa hizi nilizonazo halafu niwe na urafiki na masikini aniambukize njaa aisee hapana. Hivi nyie masikini kwanini msipambane na nyie muwe kama Mimi.

Kila siku mnalialia njaa tu baada ya kupambana mnakaa kulialia Mimi sio mnafiki. Nawaambia ukweli pambaneni Mimi huwa nikigundua masikini anataka urafiki na Mimi namzaba kibao maana ananiletea mikosi.
And vice versa to you ...na huyo unaye mtaka wewe tajiri atakuwa na wewe maskini naye ataona tatizo kama uonavyo wewe.
 
Wabara wengi ushamba wenu uko hapa mkipata pesa , wengi washamba sana ..
Baelezee...huku kwetu mtu anakuja na kobazi kabeba zile mifuko za mikeka ndani imejaa pesa. Yuko na baiskeli yake tu.

Au viongozi wanajichanganya sana na watu. Kumuona Katibu mkuu au waziri ni jambo dogo sana tofauti na bara Hadi sekretari wa mjumbe anataka pwentimenti hauwezimpigia simu kizembe

Tajiri JF nzima ni Kidukulilo tu
 
Back
Top Bottom