Mtoka Mbali
JF-Expert Member
- Aug 11, 2010
- 237
- 26
Daah!nakumbuka cku moja akiwa,kwenye show ya wanawake live alivyokua anaongea kama mtoto,mwema.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
chief rocka (edward nyerere) ni mshkaj wangu longtime n i can vouch for him. kaka usipende kuongea vitu usivovijua bila kua na ushahidi. ungeuliza kuliko kumuaccuse mtu in public namna hii.
swali la kizushi.chief rocka,juma jux na baadhi ya vijana waliohamishia makazi far east (china),wanajishughulisha na nini huko?.ukiunganisha dot unagundua hawa ndo ma agent wa kupokea vijana wenzao wabeba drugs toka tz nchini china hasa ktk mji wa quanzhou ambao umejaa vijana wengi wa kibongo.huwa nafatilia updates zao (chief,jux nk)instagram, mavazi wanavyovaa,magari wanayo push na maneo wanayo hang ni balaa.kwa kweli these boys are lavishing it real.

