Rafiki yangu (34) anataka nimwambie binti yangu wa dukani (22) kwamba anampenda, hii ni sawa?

Rafiki yangu (34) anataka nimwambie binti yangu wa dukani (22) kwamba anampenda, hii ni sawa?

34 mbona dogo sana mm nina 40+ nangonga watoto wa under 18 nawabadilisha nitakavyo, hata sasa namsubiri kuna mmoja anakuja ana 17 yrs anakuja saa 11. Vitoto vyenyewe hivi vimevurugwa ukikapa msimbazi tu unapewa kila kitu
Tatizo ulichelewa kuanza ngono ungewahi ungekuwa na mabinti wengi wa Rika hilo
 
Muonjee kwanza uone kama anafaa ili usimpe rafiki yako kitu kibaya
 
Mambo yakienda ndivyo sivyo lawama zote utazibeba
 
Wala sina tatizo lolote binti wa dukani kuwa na mahusiano ya kimapenzi maana nae ni mtu mzima tayari mwenye kila sifa ya kupata haki yake ya kimahusiano.

wala sina tatizo hata ikitokea rafiki yangu huyo anatoka na binti, ilimradi tu biashara iendelee.

Tatizo linakuja kwamba huyu jamaa simuelewi, mtu mwenye 34 kashapitia mengi na ana uzoefu mkubwa wa maisha kuzidi hao watoto wa 2000, ni vp mwanaume mwenye 34 alielamba chumvi ya kutosha anashindwa kumkalisha chini binti wa juzi juzi hapo.

Binafsi nina 32, binti familia yao tunaheshimiana sana, naanzaje kukaa nae kwamba kuna rafiki yangu mwenye 34 anakupenda, duh!

alafu nikimwambia anaweza akakubali kishingo uoande kwa ule uoga wa bosi na kudhani akikataa nitakasirika nimfukuze kazi.
Hivi hili nalo linahitaji kweli msaada wa JF?.Sometimes tushughulishe akili zetu,tusipende kuzilaza sana akili zetu.
 
Tunza heshima yako, muache apambane mwenyew kuna mambo ya kusaidiana lkn siyo mapenzi..
 
Usijaribu kufanya hivyo biashara yako itaingia shimon,

Heshima yako itakufa,
Jamaa akimuribu huyu bint dhambi itakuwa juu yako,

Rafiki yako kama anataka kumuoa huyu bint hakikisha wakianza mahusiano na dukan atoke weka mwngine
 
34 mbona dogo sana mm nina 40+ nangonga watoto wa under 18 nawabadilisha nitakavyo, hata sasa namsubiri kuna mmoja anakuja ana 17 yrs anakuja saa 11. Vitoto vyenyewe hivi vimevurugwa ukikapa msimbazi tu unapewa kila kitu
Comment kama hizi inatia kichefuchefu
 
Rafiki yako udomo zege ndo unamponza ila wewe msaidie tu apate hitaji la moyo wake.

BT be very cautious!
 
Wala sina tatizo lolote binti wa dukani kuwa na mahusiano ya kimapenzi maana nae ni mtu mzima tayari mwenye kila sifa ya kupata haki yake ya kimahusiano...
Watu wa mkoa wa Njombe bwana! Aende mwenyewe... Halafu kama binti yupo dukani atakuwa na wachumba wakutosha... Atachagua tu mwisho wa siku aende kwanani.
U
Wala sina tatizo lolote binti wa dukani kuwa na mahusiano ya kimapenzi maana nae ni mtu mzima tayari mwenye kila sifa ya kupata haki yake ya kimahusiano...
siingilie mpambano, usije ukajipea kesi isio yako
 
34 mbona dogo sana mm nina 40+ nangonga watoto wa under 18 nawabadilisha nitakavyo, hata sasa namsubiri kuna mmoja anakuja ana 17 yrs anakuja saa 11. Vitoto vyenyewe hivi vimevurugwa ukikapa msimbazi tu unapewa kila kitu

Soma uelewe kwanza mada. Ishu kubwa ipo kwenye kutongozewa sio tofauti ya miaka, pumbafff!
 
Msaidie
Yeye mpaka akuambie ujue kagonga mwamba na kwa jambo hilo kakuheshimisha umsaidie yawezekana ukawa kwenye historia ya kuanzishwa kwa familia mpya
Msaidie mwanao
Halafu uanaume ni kusaidiaba sio kuanikana
Umekua mvulana sio mwanaume
You are very right, mkuu.

Jamaa kamfata kistaarabu ila mwamba analeta ukakasi, angemfata binti kimyakimya napo angekuja kulalama humu [emoji23]

Wanadamu bwana!
 
Wala sina tatizo lolote binti wa dukani kuwa na mahusiano ya kimapenzi maana nae ni mtu mzima tayari mwenye kila sifa ya kupata haki yake ya kimahusiano.

wala sina tatizo hata ikitokea rafiki yangu huyo anatoka na binti, ilimradi tu biashara iendelee.

Tatizo linakuja kwamba huyu jamaa simuelewi, mtu mwenye 34 kashapitia mengi na ana uzoefu mkubwa wa maisha kuzidi hao watoto wa 2000, ni vp mwanaume mwenye 34 alielamba chumvi ya kutosha anashindwa kumkalisha chini binti wa juzi juzi hapo.

Binafsi nina 32, binti familia yao tunaheshimiana sana, naanzaje kukaa nae kwamba kuna rafiki yangu mwenye 34 anakupenda, duh!

alafu nikimwambia anaweza akakubali kishingo uoande kwa ule uoga wa bosi, kudhani akikataa nitakasirika nimfukuze kazi.

Kiufupi nimeona si sawa jamaa kwenda kumdalalia kwa binti, mwanaume wa miaka 34 anatakiwa ajikusanye amwambie mwenyewe...
Halafu nyie vijana wa siku hizi wa ajabu sana na huyo rafiki yako hana heshima wala adabu isee!

Huyo mtu unayemuita "jamaa" yako ni rafiki yako wa nia, kwa hiyo thamani ya urafiki huwekwa sambamba na undugu ama zaidi, maana dadako naye rafiki yako atamuita dada vilevile nk nk.

Sasa tuunganishe dots za mahusiano:
Huyo binti wa kazi bila shaka hukuita "kaka" ama "baba" labda kwa mfano!

Sasa iweje mahusiano ya kindugu namna hiyo muanze kusarandiana kimapenzi?
Wewe unaweza kumuunganishia rafiki yako kufanya mapenzi na dadako au binti yako?

Katika ukoo wenu wapo "visu" lakini ushawahi kuwatokea au kuwaunganishia marafiki zako wanaowasarandia kimapenzi?

So kinachokufanya uwaheshimu hao ndivyo heshima hiyo unatakiwa uitoe kwa watu wako wa karibu, marafiki, wafanyakazi za ndani nk nk.

Tongoza tongoza hii ama kuzini hushusha sana heshima ya mtu ujue!
 
Back
Top Bottom