Rafiki yangu alichepuka akapata gono, amwambiaje mkewe akapime?

Rafiki yangu alichepuka akapata gono, amwambiaje mkewe akapime?

Madima

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2019
Posts
351
Reaction score
300
Rafiki yangu mmoja anapiga mtungi kawaida ila pia ni hardworking sana na anajali tu familia yake fresh, shida yake sometimes akipiga mtungi na anaweza kupita na yoyote then kesho anaanza kujuta.

Juzi kati akapita na jimama flan hivi kitaa baada ya siku kadhaa dalili za gono hizi hapa ikabidi akacheki hospital na ikawa ni kweli so akapewa dawa aanze kutumia na akashauriwa ampe na mwenzi wake.

Msala unakuja kwamba atampa vipi dawa za gono mkewe na atamwambia kwamba ni dawa za ugonjwa gani maana najua mke hawezi kumeza tu dawa bila ile karatasi ya daktari.

Tumshauri mwamba ajitoe vipi kwenye hii ngori kama waandamizi.
 
Kwani ukisema huyo jamaa ni wewe utadhurika?

Haya mwambie mkeo kuwa kuna hali flani huko 'downtown' huielewi unataka uende hosp kucheck then utamwambia results zilivyo na doctor alichosema.
Ataulizwa tu gono imetoka wapi? Sawa umeniaga unaenda kupima lakini je ugonjwa umetoka wapi
 
Kama kawaida ya wana JF matatizo ni kwa rafiki zetu na ndugu zetu, sisi huwa hatuna matatizo kabisa.
Matatizo yangu utayasema wewe na mimi nitayasema matatizo yako....hivyo yaani mkuu.
 
Ameze yeye halafu akipona anatulia bila kushiriki na mkewe
siku ya siku unamsingizia mkewe
uongo unaokoa ndoa
 
ameze yeye halafu akipona anatulia bila kushiriki na mkewe
siku ya siku unamsingizia mkewe
uongo unaokoa ndoa
Na changamoto inakuja mke wake anataka huduma, sijui atadanganya nn
 
Fanya hivi bro. Tafuta ka zahanati kadogo au kapya ambako kamefunguliwa na doctor aliyemaliza masomo kajiajiri. Nenda pale mpange kila kitu kisha mwambie nitakuja na mke wangu hapa sema wote tunaumwa malaria na typhoid alafu dawa chukua za gono. Make sure unatoa rushwa ili mambo yaende sawa.
 
Fanya hivi bro. Tafuta ka zahanati kadogo au kapya ambako kamefunguliwa na doctor aliyemaliza masomo kajiajiri. Nenda pale mpange kila kitu kisha mwambie nitakuja na mke wangu hapa sema wote tunaumwa malaria na typhoid alafu dawa chukua za gono. Make sure unatoa rushwa ili mambo yaende sawa.
Ukute sasa huyo demu anazijua dawa za Gono au kuna wale kila kitu lazima waulize kwa third party kupata uhakika, hapo lazima kinuke.
 
Back
Top Bottom