Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilimshauri hivyo sema mke wake nae sio mzembe sana anaweza kuchukua hizo dawa akaenda kuuliza pharmacy nyingine nyingi kikanuka so sio poaFanya hivi bro. Tafuta ka zahanati kadogo au kapya ambako kamefunguliwa na doctor aliyemaliza masomo kajiajiri. Nenda pale mpange kila kitu kisha mwambie nitakuja na mke wangu hapa sema wote tunaumwa malaria na typhoid alafu dawa chukua za gono. Make sure unatoa rushwa ili mambo yaende sawa.
Dalili kwenye uume mzee,ni nomaMuambie ni corona mpya, ina dalili nyingi🐒
Nilimshauri hivyoFanya hivi bro. Tafuta ka zahanati kadogo au kapya ambako kamefunguliwa na doctor aliyemaliza masomo kajiajiri. Nenda pale mpange kila kitu kisha mwambie nitakuja na mke wangu hapa sema wote tunaumwa malaria na typhoid alafu dawa chukua za gono. Make sure unatoa rushwa ili mambo yaende sawa.
Ndo shida ilipo hapoUkute sasa huyo demu anazijua dawa za Gono au kuna wale kila kitu lazima waulize kwa third party kupata uhakika, hapo lazima kinuke.
Anakomaa mpaka mwisho hii itakuwa ni kovidi tu, kovidi haina tiba maalum, kama vipi akomae ni UTI , atoe dawa kwenye kasha aweke kwenye kikaratasi cha kawaida iandikwe tu jina la kawaida, mbona mambo yataenda tu !Nilimshauri hivyo sema mke wake nae sio mzembe sana anaweza kuchukua hizo dawa akaenda kuuliza pharmacy nyingine nyingi kikanuka so sio poa
Dalili kwenye uume mzee,ni noma
Shida itakuja km mke atazitambua dawa na pia ukijichanganya tu ukamla umempa na yy na kihalisia atakua anatakaAnakomaa mpaka mwisho hii itakuwa ni kovidi tu, kovidi haina tiba maalum, kama vipi akomae ni UTI , atoe dawa kwenye kasha aweke kwenye kikaratasi cha kawaida iandikwe tu jina la kawaida, mbona mambo yataenda tu !
Kama hivyo akamlipe daktari aandike anaumwa fangasiNilimhoji akasema zipo tofauti
Hapo betri Iazima ichomoke et amwambie hajui alipo itoa na mke wake sio boys na tunajua inaambukizwa vpFake id bado mtu anahisi atafahamika akisema ni yeye.
Amwambie hali anayojihisi mkewe then waende wote hospital wakapewe tiba, kama yeye kashapewa basi amwambie mkewe aliend hospital na kapata tiba fulani na hajui kalitoa wapi. Kikubwa asije akathubutu kusema eti alichepuka aisee wanawake hawapendagi ukweli.
Ko jamaa aseme alichepuka?? Aisee hiyo asiiseme kamwe kikubwa tua amshauri bibie aanze dozi kwa namna yoyote ila sio kusema alichepuka. Bibie mwenyewe atajiongeza kua jamaa alichepuka sio kwa kusema mwenyewe, labda kma hampendi mkeweHapo betri Iazima ichomoke et amwambie hajui alipo itoa na mke wake sio boys na tunajua inaambukizwa vp
Yes umejibu kama mwandamizi,hii nadhan imekaa sawaJioni hii hii aende kwenye hospital, amtafute kijana ambaye yupo intern!. Ampange fresh! Amwachie na mpunga.
Kesho asubuhi aamke, ajikune mapumbu!
Amuambie mkewe huko chini anawashwa! Itabidi twende hospital nikapime.
Waende kwenye hospital husika.
Daktari akiwapokea, ampime tu jamaa alafu amuambie ana maambuzi ya Fungus 'Pumbu Erosion' inayotokana na kutojifuta vema akimaliza kuoga.
Amuambie na mke wapime maana endapo mapumbu yaligusa kwenye uke basi kuna uwezekano ikasabisha maambukizi pia kwake.
Akishampima akamkuta nao basi ampe dawa pia.
Kama hajaupata, basi amuambie yupo salama asifanye ngono na jamaa mpaka atakapopona!
Muambie jamaa yako AACHE UZINZI. HAULIPI.
Nimekutengenezea tu uongo ili kunusuru ndoa ya jamaa yetu!.
Hahahaha mcheki COMPACT alichosemaKo jamaa aseme alichepuka?? Aisee hiyo asiiseme kamwe kikubwa tua amshauri bibie aanze dozi kwa namna yoyote ila sio kusema alichepuka. Bibie mwenyewe atajiongeza kua jamaa alichepuka sio kwa kusema mwenyewe, labda kma hampendi mkewe
Mwambie bibie achek UTI tu hayo magonjwa huwa yanashabiana sanaHahahaha mcheki COMPACT alichosema
Nilimshauri hivyo
Ndo shida ilipo hapo