Rafiki yangu alichepuka akapata gono, amwambiaje mkewe akapime?

Anapata safari bandia ya kikazi, kisha anakaaa hadi amalize dozi. Akirudi kwa mkewe dalili zimepamba moto. Anamgeuzia mkewe kibao maisha yanakwenda.
 
Ni weweeee... Nasema niwewee
 
Pole yake sana... ajilipue tu amwambie...
 
Ukumbuke na kupima VVU pia mda fulani ukipita
 
Ayayushe dawa na maji (achanganye kwenye maji) kisha amwambie mkewe nimekutengenezea kinywaji swafi, funga macho nikunyweshe. Akifunga anamnywesha then anampa na juisi anashushia.πŸ«‚
 
Pyumbu errosion? Hah hah hah dah watu mpo vizuri kwenye kusolve kesi
 
Angalau ila dah shemeji yangu nae mdadis sana so mwamba anapambana namna ya kuepuka huu msala
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…