wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
Kiduku Lilo una ID nyingi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Licha ya hivyo, kwenye udereva, barabarani unaendesha/control magari matatu kwa wakati mmoja. Gari lako, gari la nyuma ya lako na gari lililo mbele ya lako. Kwa kufuata hivyo utaendesha kwa usalama zaidi. Richard alifanya hivyo ndio ajali ikaepukika. Huyo jamaa yako alionywa na Richard kutokupita akakaidi.Kati ya vitu ambavyo hupaswi kabisa hata kuwaza kumuazimisha mtu ni gari na mke!! .... Hivi unaanzaje kumwazima mtu gari lako aendeshe hata kama unajua kuwa ana leseni? Magari yanatofautiana na uzoefu hali kadhalika!. Gari ambalo hujawahi kuliendesha unahitaji kulifanyia mazoezi kwanza ili ulizoee kabla hujaliingiza barabarani....Hii iwe fundisho kwa wamiliki wa magari, kuwa hayaazimishwi kama ilivyo kwa mke/mume wa ndoa.
😂😂Mtu mwenyewe chizi unategemea anakumbuka kitu?
Na unadhani wewe ungepata wapi baba wa kukuleta duniani?nawe usingetungwa mimba.Yaan ww bora umgekufa tu
Wema hauozi broMwaka jana Oktoba ni mwaka ambao kumbukumbu yake inanijia sana. Leo nmekumbuka zaidi baada ya kuonana ma Dereva mmoja anaitwa Richard.
Siku hiyo nilikuwa na gari yangu kubwa ni ya Diesel Manual ina Speed 240. Tumetoka Dar na jamaa yangu tunaelekea Dom. Huku kote nlikuwa naendesha mimi mpaka tumevuka Morogoro tunaelekea Kibaigwa kama sikosei.
Jamaa akaomba naye asukume ile mashine. Muda mrefu alikuwa akitamani sana jinsi navyokanyaga mashine,navyopiga mpini n.k akaona ni kitu chepesi na cha kuenjoy sana.
Mimi ni kweli na enjoy kuendesha gari hasa Manual. Akaomba naye akanyoshe nyoshe miguu. Akachukua mashine. Kiukweli jamaa hakuwa amezoea sana Manual ila alikuwa mbishi. Nlimwona anavyochelewa kuingiza gear, anavyoshindwa kurudi vizuri n.k
Nikamwambia kama inamsumbua anirudishie tu akasema hapana akiendesha kama dk 20 zaidi atakuwa master.
Tabu ilianza tumefika mitaa flani mbele yetu kuna truck yenye Trailer. Jamaa akaomba. Mwenye truck akamruhusu. But my friend akawa anajivuta sana ku overtake. Akiwa anataka kutoka mwenye truck akamkataza jamaa akawasha taa ya kulia.
Jamaa hakuelewa. Nikamwona kashaingia kulia kakanyaga accelerator. But kaingia halafu katika kubadili gear kacheka. So ikabidi atoe macho mbele aangalie anaingiza wapi gear.(asome namba)
Kule mbele tulisikia truck inapiga horn imewasha taa....imetoka speed ile mbaya. Speed hasa.jamaa kitete hatuwezi ingia kushoto sababu kuna truck ya jamaa tupo nayo usawa wa nyuma ya cabin na ina trailers zile zinakuwa iliyounganishwa na cabin na nyingine yake.
Jamaa yetu wa kushoto alishajua huu msalama. Akakamata brake...tuliona gari yake tairi zikiburuza na kuchora alama barabarani huku gari ikilalamika sana. Ile ndo ilikuwa nafasi yetu finyu jamaa yangu akaingia kushoto kwa sentimita chache sana tulikoswa na lile gari la mbele yetu.halikuhangaika hata kusimama.
Sisi tuliingua kushoto jamaa akayumba na gari hivyo hivyo mpaka mbele tukasimama. Nikashuka haraka kumsimamisha jamaa wa truck ambaye alikuwa nyuma yetu.
Jamaa akaenda simama. Richard ni mmoja ya madereva wenye upendo sijawahi ona. Alishuka akitupa pole na kutuonea huruma. Mimi nlimwomba msamaha na kumshukuru sana kwa kitendo chake. Haraka nikatoa 70,000 mfukoni kumpa kama asante. Aligoma kuchukua kabisa.
Tukabadilishana namba za simu. Ilibidi gari nichukue kuendesha mimi. Tuliendelea kuwasiliana mpaka leo nmekutana naye Hospital akiwa anahangaika kumtibia mama yake. Hana Bima. Nimemsadia nlichoweza nikawasiliana na yule jamaa yangu naye ajipige pige. Tumeweza mchangia tsh 330,000 aongezee.
Jamaa ameshukuru hadi kutokwa na machozi. The man is very humble. Sijawahi ona madereva wastaarabu kama huyu jamaa.
Ndugu zangu tutendeni tu wema. Malipo tumwachie Mungu. Hulipa kwa wakati wake. Jamaa yangu since then hana hamu tena ya kuendesha manual. Ilikuwa atuue sote. Maana tungegongana uso kwa uso na truck ya mafuta. Uso kwa uso.
Roho ya mwanachattle hii kabisaMwaka jana Oktoba ni mwaka ambao kumbukumbu yake inanijia sana. Leo nmekumbuka zaidi baada ya kuonana ma Dereva mmoja anaitwa Richard.
Siku hiyo nilikuwa na gari yangu kubwa ni ya Diesel Manual ina Speed 240. Tumetoka Dar na jamaa yangu tunaelekea Dom. Huku kote nlikuwa naendesha mimi mpaka tumevuka Morogoro tunaelekea Kibaigwa kama sikosei.
Jamaa akaomba naye asukume ile mashine. Muda mrefu alikuwa akitamani sana jinsi navyokanyaga mashine,navyopiga mpini n.k akaona ni kitu chepesi na cha kuenjoy sana.
Mimi ni kweli na enjoy kuendesha gari hasa Manual. Akaomba naye akanyoshe nyoshe miguu. Akachukua mashine. Kiukweli jamaa hakuwa amezoea sana Manual ila alikuwa mbishi. Nlimwona anavyochelewa kuingiza gear, anavyoshindwa kurudi vizuri n.k
Nikamwambia kama inamsumbua anirudishie tu akasema hapana akiendesha kama dk 20 zaidi atakuwa master.
Tabu ilianza tumefika mitaa flani mbele yetu kuna truck yenye Trailer. Jamaa akaomba. Mwenye truck akamruhusu. But my friend akawa anajivuta sana ku overtake. Akiwa anataka kutoka mwenye truck akamkataza jamaa akawasha taa ya kulia.
Jamaa hakuelewa. Nikamwona kashaingia kulia kakanyaga accelerator. But kaingia halafu katika kubadili gear kacheka. So ikabidi atoe macho mbele aangalie anaingiza wapi gear.(asome namba)
Kule mbele tulisikia truck inapiga horn imewasha taa....imetoka speed ile mbaya. Speed hasa.jamaa kitete hatuwezi ingia kushoto sababu kuna truck ya jamaa tupo nayo usawa wa nyuma ya cabin na ina trailers zile zinakuwa iliyounganishwa na cabin na nyingine yake.
Jamaa yetu wa kushoto alishajua huu msalama. Akakamata brake...tuliona gari yake tairi zikiburuza na kuchora alama barabarani huku gari ikilalamika sana. Ile ndo ilikuwa nafasi yetu finyu jamaa yangu akaingia kushoto kwa sentimita chache sana tulikoswa na lile gari la mbele yetu.halikuhangaika hata kusimama.
Sisi tuliingua kushoto jamaa akayumba na gari hivyo hivyo mpaka mbele tukasimama. Nikashuka haraka kumsimamisha jamaa wa truck ambaye alikuwa nyuma yetu.
Jamaa akaenda simama. Richard ni mmoja ya madereva wenye upendo sijawahi ona. Alishuka akitupa pole na kutuonea huruma. Mimi nlimwomba msamaha na kumshukuru sana kwa kitendo chake. Haraka nikatoa 70,000 mfukoni kumpa kama asante. Aligoma kuchukua kabisa.
Tukabadilishana namba za simu. Ilibidi gari nichukue kuendesha mimi. Tuliendelea kuwasiliana mpaka leo nmekutana naye Hospital akiwa anahangaika kumtibia mama yake. Hana Bima. Nimemsadia nlichoweza nikawasiliana na yule jamaa yangu naye ajipige pige. Tumeweza mchangia tsh 330,000 aongezee.
Jamaa ameshukuru hadi kutokwa na machozi. The man is very humble. Sijawahi ona madereva wastaarabu kama huyu jamaa.
Ndugu zangu tutendeni tu wema. Malipo tumwachie Mungu. Hulipa kwa wakati wake. Jamaa yangu since then hana hamu tena ya kuendesha manual. Ilikuwa atuue sote. Maana tungegongana uso kwa uso na truck ya mafuta. Uso kwa uso.
HakikaMwaka jana Oktoba ni mwaka ambao kumbukumbu yake inanijia sana. Leo nmekumbuka zaidi baada ya kuonana ma Dereva mmoja anaitwa Richard.
Siku hiyo nilikuwa na gari yangu kubwa ni ya Diesel Manual ina Speed 240. Tumetoka Dar na jamaa yangu tunaelekea Dom. Huku kote nlikuwa naendesha mimi mpaka tumevuka Morogoro tunaelekea Kibaigwa kama sikosei.
Jamaa akaomba naye asukume ile mashine. Muda mrefu alikuwa akitamani sana jinsi navyokanyaga mashine,navyopiga mpini n.k akaona ni kitu chepesi na cha kuenjoy sana.
Mimi ni kweli na enjoy kuendesha gari hasa Manual. Akaomba naye akanyoshe nyoshe miguu. Akachukua mashine. Kiukweli jamaa hakuwa amezoea sana Manual ila alikuwa mbishi. Nlimwona anavyochelewa kuingiza gear, anavyoshindwa kurudi vizuri n.k
Nikamwambia kama inamsumbua anirudishie tu akasema hapana akiendesha kama dk 20 zaidi atakuwa master.
Tabu ilianza tumefika mitaa flani mbele yetu kuna truck yenye Trailer. Jamaa akaomba. Mwenye truck akamruhusu. But my friend akawa anajivuta sana ku overtake. Akiwa anataka kutoka mwenye truck akamkataza jamaa akawasha taa ya kulia.
Jamaa hakuelewa. Nikamwona kashaingia kulia kakanyaga accelerator. But kaingia halafu katika kubadili gear kacheka. So ikabidi atoe macho mbele aangalie anaingiza wapi gear.(asome namba)
Kule mbele tulisikia truck inapiga horn imewasha taa....imetoka speed ile mbaya. Speed hasa.jamaa kitete hatuwezi ingia kushoto sababu kuna truck ya jamaa tupo nayo usawa wa nyuma ya cabin na ina trailers zile zinakuwa iliyounganishwa na cabin na nyingine yake.
Jamaa yetu wa kushoto alishajua huu msalama. Akakamata brake...tuliona gari yake tairi zikiburuza na kuchora alama barabarani huku gari ikilalamika sana. Ile ndo ilikuwa nafasi yetu finyu jamaa yangu akaingia kushoto kwa sentimita chache sana tulikoswa na lile gari la mbele yetu.halikuhangaika hata kusimama.
Sisi tuliingua kushoto jamaa akayumba na gari hivyo hivyo mpaka mbele tukasimama. Nikashuka haraka kumsimamisha jamaa wa truck ambaye alikuwa nyuma yetu.
Jamaa akaenda simama. Richard ni mmoja ya madereva wenye upendo sijawahi ona. Alishuka akitupa pole na kutuonea huruma. Mimi nlimwomba msamaha na kumshukuru sana kwa kitendo chake. Haraka nikatoa 70,000 mfukoni kumpa kama asante. Aligoma kuchukua kabisa.
Tukabadilishana namba za simu. Ilibidi gari nichukue kuendesha mimi. Tuliendelea kuwasiliana mpaka leo nmekutana naye Hospital akiwa anahangaika kumtibia mama yake. Hana Bima. Nimemsadia nlichoweza nikawasiliana na yule jamaa yangu naye ajipige pige. Tumeweza mchangia tsh 330,000 aongezee.
Jamaa ameshukuru hadi kutokwa na machozi. The man is very humble. Sijawahi ona madereva wastaarabu kama huyu jamaa.
Ndugu zangu tutendeni tu wema. Malipo tumwachie Mungu. Hulipa kwa wakati wake. Jamaa yangu since then hana hamu tena ya kuendesha manual. Ilikuwa atuue sote. Maana tungegongana uso kwa uso na truck ya mafuta. Uso kwa uso.
Mmmh roho za kimasikini hizi!! Gari ni kitu gani mpka usiweze kumuazimisha mtu? Unaishi pori gani mkuu? Huku mjini sie kuazimana magari ni jambo la kawaida sana. Na usifannanishe gari na mke bro.Kati ya vitu ambavyo hupaswi kabisa hata kuwaza kumuazimisha mtu ni gari na mke!! .... Hivi unaanzaje kumwazima mtu gari lako aendeshe hata kama unajua kuwa ana leseni? Magari yanatofautiana na uzoefu hali kadhalika!. Gari ambalo hujawahi kuliendesha unahitaji kulifanyia mazoezi kwanza ili ulizoee kabla hujaliingiza barabarani....Hii iwe fundisho kwa wamiliki wa magari, kuwa hayaazimishwi kama ilivyo kwa mke/mume wa ndoa.
Mwaka jana Oktoba ni mwaka ambao kumbukumbu yake inanijia sana. Leo nmekumbuka zaidi baada ya kuonana ma Dereva mmoja anaitwa Richard.
Siku hiyo nilikuwa na gari yangu kubwa ni ya Diesel Manual ina Speed 240. Tumetoka Dar na jamaa yangu tunaelekea Dom. Huku kote nlikuwa naendesha mimi mpaka tumevuka Morogoro tunaelekea Kibaigwa kama sikosei.
Jamaa akaomba naye asukume ile mashine. Muda mrefu alikuwa akitamani sana jinsi navyokanyaga mashine,navyopiga mpini n.k akaona ni kitu chepesi na cha kuenjoy sana.
Mimi ni kweli na enjoy kuendesha gari hasa Manual. Akaomba naye akanyoshe nyoshe miguu. Akachukua mashine. Kiukweli jamaa hakuwa amezoea sana Manual ila alikuwa mbishi. Nlimwona anavyochelewa kuingiza gear, anavyoshindwa kurudi vizuri n.k
Nikamwambia kama inamsumbua anirudishie tu akasema hapana akiendesha kama dk 20 zaidi atakuwa master.
Tabu ilianza tumefika mitaa flani mbele yetu kuna truck yenye Trailer. Jamaa akaomba. Mwenye truck akamruhusu. But my friend akawa anajivuta sana ku overtake. Akiwa anataka kutoka mwenye truck akamkataza jamaa akawasha taa ya kulia.
Jamaa hakuelewa. Nikamwona kashaingia kulia kakanyaga accelerator. But kaingia halafu katika kubadili gear kacheka. So ikabidi atoe macho mbele aangalie anaingiza wapi gear.(asome namba)
Kule mbele tulisikia truck inapiga horn imewasha taa....imetoka speed ile mbaya. Speed hasa.jamaa kitete hatuwezi ingia kushoto sababu kuna truck ya jamaa tupo nayo usawa wa nyuma ya cabin na ina trailers zile zinakuwa iliyounganishwa na cabin na nyingine yake.
Jamaa yetu wa kushoto alishajua huu msalama. Akakamata brake...tuliona gari yake tairi zikiburuza na kuchora alama barabarani huku gari ikilalamika sana. Ile ndo ilikuwa nafasi yetu finyu jamaa yangu akaingia kushoto kwa sentimita chache sana tulikoswa na lile gari la mbele yetu.halikuhangaika hata kusimama.
Sisi tuliingua kushoto jamaa akayumba na gari hivyo hivyo mpaka mbele tukasimama. Nikashuka haraka kumsimamisha jamaa wa truck ambaye alikuwa nyuma yetu.
Jamaa akaenda simama. Richard ni mmoja ya madereva wenye upendo sijawahi ona. Alishuka akitupa pole na kutuonea huruma. Mimi nlimwomba msamaha na kumshukuru sana kwa kitendo chake. Haraka nikatoa 70,000 mfukoni kumpa kama asante. Aligoma kuchukua kabisa.
Tukabadilishana namba za simu. Ilibidi gari nichukue kuendesha mimi. Tuliendelea kuwasiliana mpaka leo nmekutana naye Hospital akiwa anahangaika kumtibia mama yake. Hana Bima. Nimemsadia nlichoweza nikawasiliana na yule jamaa yangu naye ajipige pige. Tumeweza mchangia tsh 330,000 aongezee.
Jamaa ameshukuru hadi kutokwa na machozi. The man is very humble. Sijawahi ona madereva wastaarabu kama huyu jamaa.
Ndugu zangu tutendeni tu wema. Malipo tumwachie Mungu. Hulipa kwa wakati wake. Jamaa yangu since then hana hamu tena ya kuendesha manual. Ilikuwa atuue sote. Maana tungegongana uso kwa uso na truck ya mafuta. Uso kwa uso.
Kule kwenye ule uzi wa misitu ya kongo mbona umeutelekeza[emoji38][emoji38][emoji38] alafu eti ni tabia yako kuanzisha nyuzi na kutelekeza, siyo fresh mkuu. Asante huu umeumaliza
Ni jana tu nilikutana na jamaa mmoja mwenye mawazo ya kijima kama ya kwako, "eti watanzania hatuko hivyo"!!!.... sababu tu, nimemzuia kufanya kitu ambacho kingeweza kuhatarisha maisha yake na watu wengine lakini pia kuingilia haki na uhuru wa watu wengine.Mmmh roho za kimasikini hizi!! Gari ni kitu gani mpka usiweze kumuazimisha mtu? Unaishi pori gani mkuu? Huku mjini sie kuazimana magari ni jambo la kawaida sana. Na usifannanishe gari na mke bro.
Hizo betting tunafanyaga mjini tena off traffic areas. Kiutaratibu ulifanya kosa kubwa sana kumkabidhi learner chombo ya manual tena kwenye highway mngejimaliza wote wawili sasa ingebaki story tu.Mwaka jana Oktoba ni mwaka ambao kumbukumbu yake inanijia sana. Leo nimekumbuka zaidi baada ya kuonana ma Dereva mmoja anaitwa Richard.
Siku hiyo nilikuwa na gari yangu kubwa ni ya Diesel Manual ina Speed 240. Tumetoka Dar na jamaa yangu tunaelekea Dom. Huku kote nlikuwa naendesha mimi mpaka tumevuka Morogoro tunaelekea Kibaigwa kama sikosei.
Jamaa akaomba naye asukume ile mashine. Muda mrefu alikuwa akitamani sana jinsi navyokanyaga mashine,navyopiga mpini n.k akaona ni kitu chepesi na cha kuenjoy sana.
Mimi ni kweli na enjoy kuendesha gari hasa Manual. Akaomba naye akanyoshe nyoshe miguu. Akachukua mashine. Kiukweli jamaa hakuwa amezoea sana Manual ila alikuwa mbishi. Nlimwona anavyochelewa kuingiza gear, anavyoshindwa kurudi vizuri n.k
Nikamwambia kama inamsumbua anirudishie tu akasema hapana akiendesha kama dk 20 zaidi atakuwa master.
Tabu ilianza tumefika mitaa flani mbele yetu kuna truck yenye Trailer. Jamaa akaomba. Mwenye truck akamruhusu. But my friend akawa anajivuta sana ku overtake. Akiwa anataka kutoka mwenye truck akamkataza jamaa akawasha taa ya kulia.
Jamaa hakuelewa. Nikamwona kashaingia kulia kakanyaga accelerator. But kaingia halafu katika kubadili gear kacheka. So ikabidi atoe macho mbele aangalie anaingiza wapi gear.(asome namba).
Kule mbele tulisikia truck inapiga horn imewasha taa....imetoka speed ile mbaya. Speed hasa.jamaa kitete hatuwezi ingia kushoto sababu kuna truck ya jamaa tupo nayo usawa wa nyuma ya cabin na ina trailers zile zinakuwa iliyounganishwa na cabin na nyingine yake.
Jamaa yetu wa kushoto alishajua huu msalama. Akakamata brake tuliona gari yake tairi zikiburuza na kuchora alama barabarani huku gari ikilalamika sana. Ile ndo ilikuwa nafasi yetu finyu jamaa yangu akaingia kushoto kwa sentimita chache sana tulikoswa na lile gari la mbele yetu.halikuhangaika hata kusimama.
Sisi tuliingua kushoto jamaa akayumba na gari hivyo hivyo mpaka mbele tukasimama. Nikashuka haraka kumsimamisha jamaa wa truck ambaye alikuwa nyuma yetu.
Jamaa akaenda simama. Richard ni mmoja ya madereva wenye upendo sijawahi ona. Alishuka akitupa pole na kutuonea huruma. Mimi nlimwomba msamaha na kumshukuru sana kwa kitendo chake. Haraka nikatoa 70,000 mfukoni kumpa kama asante. Aligoma kuchukua kabisa.
Tukabadilishana namba za simu. Ilibidi gari nichukue kuendesha mimi. Tuliendelea kuwasiliana mpaka leo nmekutana naye Hospital akiwa anahangaika kumtibia mama yake. Hana Bima. Nimemsadia nlichoweza nikawasiliana na yule jamaa yangu naye ajipige pige. Tumeweza mchangia tsh 330,000 aongezee.
Jamaa ameshukuru hadi kutokwa na machozi. The man is very humble. Sijawahi ona madereva wastaarabu kama huyu jamaa.
Ndugu zangu tutendeni tu wema. Malipo tumwachie Mungu. Hulipa kwa wakati wake. Jamaa yangu since then hana hamu tena ya kuendesha manual. Ilikuwa atuue sote. Maana tungegongana uso kwa uso na truck ya mafuta. Uso kwa uso.
Haya msingejua kuwa chizi maarifa has passed away.Hizo betting tunafanyaga mjini tena off traffic areas. Kiutaratibu ulifanya kosa kubwa sana kumkabidhi learner chombo ya manual tena kwenye highway mngejimaliza wote wawili sasa ingebaki story tu.
Na mke je?!!hapo hujaweka maelezo mkuuKati ya vitu ambavyo hupaswi kabisa hata kuwaza kumuazimisha mtu ni gari na mke!! .... Hivi unaanzaje kumwazima mtu gari lako aendeshe hata kama unajua kuwa ana leseni? Magari yanatofautiana na uzoefu hali kadhalika!.
Gari ambalo hujawahi kuliendesha unahitaji kulifanyia mazoezi kwanza ili ulizoee kabla hujaliingiza barabarani....Hii iwe fundisho kwa wamiliki wa magari, kuwa hayaazimishwi kama ilivyo kwa mke/mume wa ndoa.
Hueleweki. Hizi shule za kata bora zifutweKuna dereva mwingine wa lori alivyoona gari limemshinda breki mwenzake wa nyuma mto Ruvu pale akaona ajititie na mibreki ili amtumbukize mwenzie mtoni na akafanikiwa.