Rafiki yangu alitaka Tufe, Dereva wa Lorry akakubaliana naye, Mungu akamtumia Dereva mwingine Kutuokoa

Rafiki yangu alitaka Tufe, Dereva wa Lorry akakubaliana naye, Mungu akamtumia Dereva mwingine Kutuokoa

Kati ya vitu ambavyo hupaswi kabisa hata kuwaza kumuazimisha mtu ni gari na mke!! .... Hivi unaanzaje kumwazima mtu gari lako aendeshe hata kama unajua kuwa ana leseni? Magari yanatofautiana na uzoefu hali kadhalika!. Gari ambalo hujawahi kuliendesha unahitaji kulifanyia mazoezi kwanza ili ulizoee kabla hujaliingiza barabarani....Hii iwe fundisho kwa wamiliki wa magari, kuwa hayaazimishwi kama ilivyo kwa mke/mume wa ndoa.
Licha ya hivyo, kwenye udereva, barabarani unaendesha/control magari matatu kwa wakati mmoja. Gari lako, gari la nyuma ya lako na gari lililo mbele ya lako. Kwa kufuata hivyo utaendesha kwa usalama zaidi. Richard alifanya hivyo ndio ajali ikaepukika. Huyo jamaa yako alionywa na Richard kutokupita akakaidi.
 
Mwaka jana Oktoba ni mwaka ambao kumbukumbu yake inanijia sana. Leo nmekumbuka zaidi baada ya kuonana ma Dereva mmoja anaitwa Richard.

Siku hiyo nilikuwa na gari yangu kubwa ni ya Diesel Manual ina Speed 240. Tumetoka Dar na jamaa yangu tunaelekea Dom. Huku kote nlikuwa naendesha mimi mpaka tumevuka Morogoro tunaelekea Kibaigwa kama sikosei.

Jamaa akaomba naye asukume ile mashine. Muda mrefu alikuwa akitamani sana jinsi navyokanyaga mashine,navyopiga mpini n.k akaona ni kitu chepesi na cha kuenjoy sana.

Mimi ni kweli na enjoy kuendesha gari hasa Manual. Akaomba naye akanyoshe nyoshe miguu. Akachukua mashine. Kiukweli jamaa hakuwa amezoea sana Manual ila alikuwa mbishi. Nlimwona anavyochelewa kuingiza gear, anavyoshindwa kurudi vizuri n.k

Nikamwambia kama inamsumbua anirudishie tu akasema hapana akiendesha kama dk 20 zaidi atakuwa master.

Tabu ilianza tumefika mitaa flani mbele yetu kuna truck yenye Trailer. Jamaa akaomba. Mwenye truck akamruhusu. But my friend akawa anajivuta sana ku overtake. Akiwa anataka kutoka mwenye truck akamkataza jamaa akawasha taa ya kulia.

Jamaa hakuelewa. Nikamwona kashaingia kulia kakanyaga accelerator. But kaingia halafu katika kubadili gear kacheka. So ikabidi atoe macho mbele aangalie anaingiza wapi gear.(asome namba)

Kule mbele tulisikia truck inapiga horn imewasha taa....imetoka speed ile mbaya. Speed hasa.jamaa kitete hatuwezi ingia kushoto sababu kuna truck ya jamaa tupo nayo usawa wa nyuma ya cabin na ina trailers zile zinakuwa iliyounganishwa na cabin na nyingine yake.

Jamaa yetu wa kushoto alishajua huu msalama. Akakamata brake...tuliona gari yake tairi zikiburuza na kuchora alama barabarani huku gari ikilalamika sana. Ile ndo ilikuwa nafasi yetu finyu jamaa yangu akaingia kushoto kwa sentimita chache sana tulikoswa na lile gari la mbele yetu.halikuhangaika hata kusimama.

Sisi tuliingua kushoto jamaa akayumba na gari hivyo hivyo mpaka mbele tukasimama. Nikashuka haraka kumsimamisha jamaa wa truck ambaye alikuwa nyuma yetu.

Jamaa akaenda simama. Richard ni mmoja ya madereva wenye upendo sijawahi ona. Alishuka akitupa pole na kutuonea huruma. Mimi nlimwomba msamaha na kumshukuru sana kwa kitendo chake. Haraka nikatoa 70,000 mfukoni kumpa kama asante. Aligoma kuchukua kabisa.

Tukabadilishana namba za simu. Ilibidi gari nichukue kuendesha mimi. Tuliendelea kuwasiliana mpaka leo nmekutana naye Hospital akiwa anahangaika kumtibia mama yake. Hana Bima. Nimemsadia nlichoweza nikawasiliana na yule jamaa yangu naye ajipige pige. Tumeweza mchangia tsh 330,000 aongezee.

Jamaa ameshukuru hadi kutokwa na machozi. The man is very humble. Sijawahi ona madereva wastaarabu kama huyu jamaa.

Ndugu zangu tutendeni tu wema. Malipo tumwachie Mungu. Hulipa kwa wakati wake. Jamaa yangu since then hana hamu tena ya kuendesha manual. Ilikuwa atuue sote. Maana tungegongana uso kwa uso na truck ya mafuta. Uso kwa uso.
Wema hauozi bro
 
Mwaka jana Oktoba ni mwaka ambao kumbukumbu yake inanijia sana. Leo nmekumbuka zaidi baada ya kuonana ma Dereva mmoja anaitwa Richard.

Siku hiyo nilikuwa na gari yangu kubwa ni ya Diesel Manual ina Speed 240. Tumetoka Dar na jamaa yangu tunaelekea Dom. Huku kote nlikuwa naendesha mimi mpaka tumevuka Morogoro tunaelekea Kibaigwa kama sikosei.

Jamaa akaomba naye asukume ile mashine. Muda mrefu alikuwa akitamani sana jinsi navyokanyaga mashine,navyopiga mpini n.k akaona ni kitu chepesi na cha kuenjoy sana.

Mimi ni kweli na enjoy kuendesha gari hasa Manual. Akaomba naye akanyoshe nyoshe miguu. Akachukua mashine. Kiukweli jamaa hakuwa amezoea sana Manual ila alikuwa mbishi. Nlimwona anavyochelewa kuingiza gear, anavyoshindwa kurudi vizuri n.k

Nikamwambia kama inamsumbua anirudishie tu akasema hapana akiendesha kama dk 20 zaidi atakuwa master.

Tabu ilianza tumefika mitaa flani mbele yetu kuna truck yenye Trailer. Jamaa akaomba. Mwenye truck akamruhusu. But my friend akawa anajivuta sana ku overtake. Akiwa anataka kutoka mwenye truck akamkataza jamaa akawasha taa ya kulia.

Jamaa hakuelewa. Nikamwona kashaingia kulia kakanyaga accelerator. But kaingia halafu katika kubadili gear kacheka. So ikabidi atoe macho mbele aangalie anaingiza wapi gear.(asome namba)

Kule mbele tulisikia truck inapiga horn imewasha taa....imetoka speed ile mbaya. Speed hasa.jamaa kitete hatuwezi ingia kushoto sababu kuna truck ya jamaa tupo nayo usawa wa nyuma ya cabin na ina trailers zile zinakuwa iliyounganishwa na cabin na nyingine yake.

Jamaa yetu wa kushoto alishajua huu msalama. Akakamata brake...tuliona gari yake tairi zikiburuza na kuchora alama barabarani huku gari ikilalamika sana. Ile ndo ilikuwa nafasi yetu finyu jamaa yangu akaingia kushoto kwa sentimita chache sana tulikoswa na lile gari la mbele yetu.halikuhangaika hata kusimama.

Sisi tuliingua kushoto jamaa akayumba na gari hivyo hivyo mpaka mbele tukasimama. Nikashuka haraka kumsimamisha jamaa wa truck ambaye alikuwa nyuma yetu.

Jamaa akaenda simama. Richard ni mmoja ya madereva wenye upendo sijawahi ona. Alishuka akitupa pole na kutuonea huruma. Mimi nlimwomba msamaha na kumshukuru sana kwa kitendo chake. Haraka nikatoa 70,000 mfukoni kumpa kama asante. Aligoma kuchukua kabisa.

Tukabadilishana namba za simu. Ilibidi gari nichukue kuendesha mimi. Tuliendelea kuwasiliana mpaka leo nmekutana naye Hospital akiwa anahangaika kumtibia mama yake. Hana Bima. Nimemsadia nlichoweza nikawasiliana na yule jamaa yangu naye ajipige pige. Tumeweza mchangia tsh 330,000 aongezee.

Jamaa ameshukuru hadi kutokwa na machozi. The man is very humble. Sijawahi ona madereva wastaarabu kama huyu jamaa.

Ndugu zangu tutendeni tu wema. Malipo tumwachie Mungu. Hulipa kwa wakati wake. Jamaa yangu since then hana hamu tena ya kuendesha manual. Ilikuwa atuue sote. Maana tungegongana uso kwa uso na truck ya mafuta. Uso kwa uso.
Roho ya mwanachattle hii kabisa
 
Mtaalamu Chizi Maarifa Saivi Tungekuwa Tumekuandikia R.I.P.

Tuendelee kutenda mema kwa kadri tuwezavyo ni ngumu ila ukijitahidi inawezekana.

Pamoja kiongozi Chizi Maarifa.
 
Mwaka jana Oktoba ni mwaka ambao kumbukumbu yake inanijia sana. Leo nmekumbuka zaidi baada ya kuonana ma Dereva mmoja anaitwa Richard.

Siku hiyo nilikuwa na gari yangu kubwa ni ya Diesel Manual ina Speed 240. Tumetoka Dar na jamaa yangu tunaelekea Dom. Huku kote nlikuwa naendesha mimi mpaka tumevuka Morogoro tunaelekea Kibaigwa kama sikosei.

Jamaa akaomba naye asukume ile mashine. Muda mrefu alikuwa akitamani sana jinsi navyokanyaga mashine,navyopiga mpini n.k akaona ni kitu chepesi na cha kuenjoy sana.

Mimi ni kweli na enjoy kuendesha gari hasa Manual. Akaomba naye akanyoshe nyoshe miguu. Akachukua mashine. Kiukweli jamaa hakuwa amezoea sana Manual ila alikuwa mbishi. Nlimwona anavyochelewa kuingiza gear, anavyoshindwa kurudi vizuri n.k

Nikamwambia kama inamsumbua anirudishie tu akasema hapana akiendesha kama dk 20 zaidi atakuwa master.

Tabu ilianza tumefika mitaa flani mbele yetu kuna truck yenye Trailer. Jamaa akaomba. Mwenye truck akamruhusu. But my friend akawa anajivuta sana ku overtake. Akiwa anataka kutoka mwenye truck akamkataza jamaa akawasha taa ya kulia.

Jamaa hakuelewa. Nikamwona kashaingia kulia kakanyaga accelerator. But kaingia halafu katika kubadili gear kacheka. So ikabidi atoe macho mbele aangalie anaingiza wapi gear.(asome namba)

Kule mbele tulisikia truck inapiga horn imewasha taa....imetoka speed ile mbaya. Speed hasa.jamaa kitete hatuwezi ingia kushoto sababu kuna truck ya jamaa tupo nayo usawa wa nyuma ya cabin na ina trailers zile zinakuwa iliyounganishwa na cabin na nyingine yake.

Jamaa yetu wa kushoto alishajua huu msalama. Akakamata brake...tuliona gari yake tairi zikiburuza na kuchora alama barabarani huku gari ikilalamika sana. Ile ndo ilikuwa nafasi yetu finyu jamaa yangu akaingia kushoto kwa sentimita chache sana tulikoswa na lile gari la mbele yetu.halikuhangaika hata kusimama.

Sisi tuliingua kushoto jamaa akayumba na gari hivyo hivyo mpaka mbele tukasimama. Nikashuka haraka kumsimamisha jamaa wa truck ambaye alikuwa nyuma yetu.

Jamaa akaenda simama. Richard ni mmoja ya madereva wenye upendo sijawahi ona. Alishuka akitupa pole na kutuonea huruma. Mimi nlimwomba msamaha na kumshukuru sana kwa kitendo chake. Haraka nikatoa 70,000 mfukoni kumpa kama asante. Aligoma kuchukua kabisa.

Tukabadilishana namba za simu. Ilibidi gari nichukue kuendesha mimi. Tuliendelea kuwasiliana mpaka leo nmekutana naye Hospital akiwa anahangaika kumtibia mama yake. Hana Bima. Nimemsadia nlichoweza nikawasiliana na yule jamaa yangu naye ajipige pige. Tumeweza mchangia tsh 330,000 aongezee.

Jamaa ameshukuru hadi kutokwa na machozi. The man is very humble. Sijawahi ona madereva wastaarabu kama huyu jamaa.

Ndugu zangu tutendeni tu wema. Malipo tumwachie Mungu. Hulipa kwa wakati wake. Jamaa yangu since then hana hamu tena ya kuendesha manual. Ilikuwa atuue sote. Maana tungegongana uso kwa uso na truck ya mafuta. Uso kwa uso.
Hakika
 
Sema nini, usimwamini mtu yeyote kuendesha gari yako unless unajua pasi na shaka ni dereva mzuri. Hiyo ajali ingetokea 100% ni uzembe wako kumpa lena gari.
 
Kati ya vitu ambavyo hupaswi kabisa hata kuwaza kumuazimisha mtu ni gari na mke!! .... Hivi unaanzaje kumwazima mtu gari lako aendeshe hata kama unajua kuwa ana leseni? Magari yanatofautiana na uzoefu hali kadhalika!. Gari ambalo hujawahi kuliendesha unahitaji kulifanyia mazoezi kwanza ili ulizoee kabla hujaliingiza barabarani....Hii iwe fundisho kwa wamiliki wa magari, kuwa hayaazimishwi kama ilivyo kwa mke/mume wa ndoa.
Mmmh roho za kimasikini hizi!! Gari ni kitu gani mpka usiweze kumuazimisha mtu? Unaishi pori gani mkuu? Huku mjini sie kuazimana magari ni jambo la kawaida sana. Na usifannanishe gari na mke bro.
 
Mwaka jana Oktoba ni mwaka ambao kumbukumbu yake inanijia sana. Leo nmekumbuka zaidi baada ya kuonana ma Dereva mmoja anaitwa Richard.

Siku hiyo nilikuwa na gari yangu kubwa ni ya Diesel Manual ina Speed 240. Tumetoka Dar na jamaa yangu tunaelekea Dom. Huku kote nlikuwa naendesha mimi mpaka tumevuka Morogoro tunaelekea Kibaigwa kama sikosei.

Jamaa akaomba naye asukume ile mashine. Muda mrefu alikuwa akitamani sana jinsi navyokanyaga mashine,navyopiga mpini n.k akaona ni kitu chepesi na cha kuenjoy sana.

Mimi ni kweli na enjoy kuendesha gari hasa Manual. Akaomba naye akanyoshe nyoshe miguu. Akachukua mashine. Kiukweli jamaa hakuwa amezoea sana Manual ila alikuwa mbishi. Nlimwona anavyochelewa kuingiza gear, anavyoshindwa kurudi vizuri n.k

Nikamwambia kama inamsumbua anirudishie tu akasema hapana akiendesha kama dk 20 zaidi atakuwa master.

Tabu ilianza tumefika mitaa flani mbele yetu kuna truck yenye Trailer. Jamaa akaomba. Mwenye truck akamruhusu. But my friend akawa anajivuta sana ku overtake. Akiwa anataka kutoka mwenye truck akamkataza jamaa akawasha taa ya kulia.

Jamaa hakuelewa. Nikamwona kashaingia kulia kakanyaga accelerator. But kaingia halafu katika kubadili gear kacheka. So ikabidi atoe macho mbele aangalie anaingiza wapi gear.(asome namba)

Kule mbele tulisikia truck inapiga horn imewasha taa....imetoka speed ile mbaya. Speed hasa.jamaa kitete hatuwezi ingia kushoto sababu kuna truck ya jamaa tupo nayo usawa wa nyuma ya cabin na ina trailers zile zinakuwa iliyounganishwa na cabin na nyingine yake.

Jamaa yetu wa kushoto alishajua huu msalama. Akakamata brake...tuliona gari yake tairi zikiburuza na kuchora alama barabarani huku gari ikilalamika sana. Ile ndo ilikuwa nafasi yetu finyu jamaa yangu akaingia kushoto kwa sentimita chache sana tulikoswa na lile gari la mbele yetu.halikuhangaika hata kusimama.

Sisi tuliingua kushoto jamaa akayumba na gari hivyo hivyo mpaka mbele tukasimama. Nikashuka haraka kumsimamisha jamaa wa truck ambaye alikuwa nyuma yetu.

Jamaa akaenda simama. Richard ni mmoja ya madereva wenye upendo sijawahi ona. Alishuka akitupa pole na kutuonea huruma. Mimi nlimwomba msamaha na kumshukuru sana kwa kitendo chake. Haraka nikatoa 70,000 mfukoni kumpa kama asante. Aligoma kuchukua kabisa.

Tukabadilishana namba za simu. Ilibidi gari nichukue kuendesha mimi. Tuliendelea kuwasiliana mpaka leo nmekutana naye Hospital akiwa anahangaika kumtibia mama yake. Hana Bima. Nimemsadia nlichoweza nikawasiliana na yule jamaa yangu naye ajipige pige. Tumeweza mchangia tsh 330,000 aongezee.

Jamaa ameshukuru hadi kutokwa na machozi. The man is very humble. Sijawahi ona madereva wastaarabu kama huyu jamaa.

Ndugu zangu tutendeni tu wema. Malipo tumwachie Mungu. Hulipa kwa wakati wake. Jamaa yangu since then hana hamu tena ya kuendesha manual. Ilikuwa atuue sote. Maana tungegongana uso kwa uso na truck ya mafuta. Uso kwa uso.

Kama Mtu hajawahi kuendesha highway tena kwa gari ambayo hajaizoea acha kabisa kufanya majaribio
Pia usisite kumshauri hata ku overtake au wapi anapaswa kupunguza mwendo
Nimekuwa nikisafiri na Uncle wangu wala nakuona shida pale nilipomwambia hapa waweza mpita au hapa hapana
 
Kule kwenye ule uzi wa misitu ya kongo mbona umeutelekeza[emoji38][emoji38][emoji38] alafu eti ni tabia yako kuanzisha nyuzi na kutelekeza, siyo fresh mkuu. Asante huu umeumaliza

Ukiona hivo ujie ni chai.
 
Umenikumbusha story ya mimi na Rafiki yangu nasibu....

Ni Kama kile kisa Cha Mfalme sulemani na wale wanawake wawili.....

Mara nyingi nasibu alipenda kuona nikiwa kweny trouble pamoja nae.....

Kuna kisa Cha udogoni Tukiwa nae alichokoza mbwa Tukiwa nae....Tuka Anza kukimbia kwa bahati mbaya akaona namzidi speed na mbwa yupo very near....alicho fanya ni kunipiga ng'wara ili mm ndio Ni ng'atwe na mbwa......

Kisa kingine aliandika barua ya matusi wakitumiana yeye na dada mmoja kihele hele akaipeleka kwa walimu...

Alipo fikishwa ofisini alipo ona wanataka kumpiga SP ya miezi mitatu akasema mm ndio nili isanifu....
Sema Yule dada aka waambia walimu kua mm si husiki.... Ile ilikua ishu yao..

Huyu Rafiki yangu alikua hatari alipenda kuona nikipata nae matatizo...

Ukipata dereva Kama nasibu lazima akupe maumivu.....
 
Mmmh roho za kimasikini hizi!! Gari ni kitu gani mpka usiweze kumuazimisha mtu? Unaishi pori gani mkuu? Huku mjini sie kuazimana magari ni jambo la kawaida sana. Na usifannanishe gari na mke bro.
Ni jana tu nilikutana na jamaa mmoja mwenye mawazo ya kijima kama ya kwako, "eti watanzania hatuko hivyo"!!!.... sababu tu, nimemzuia kufanya kitu ambacho kingeweza kuhatarisha maisha yake na watu wengine lakini pia kuingilia haki na uhuru wa watu wengine.

Hivi unaelewa ni kwa nini unalazimika kuwa na leseni ya kuendesha gari mbali na leseni ya barabara kwa gari lenyewe?.... Naamini hili unaweza kulitafakari kwa kina ukapata majibu bila hata kuwaona wataalamu..... Shirikisha kichwa chako kwanza kiwe na ushirikiano na viungo vingine.
 
Mwaka jana Oktoba ni mwaka ambao kumbukumbu yake inanijia sana. Leo nimekumbuka zaidi baada ya kuonana ma Dereva mmoja anaitwa Richard.

Siku hiyo nilikuwa na gari yangu kubwa ni ya Diesel Manual ina Speed 240. Tumetoka Dar na jamaa yangu tunaelekea Dom. Huku kote nlikuwa naendesha mimi mpaka tumevuka Morogoro tunaelekea Kibaigwa kama sikosei.

Jamaa akaomba naye asukume ile mashine. Muda mrefu alikuwa akitamani sana jinsi navyokanyaga mashine,navyopiga mpini n.k akaona ni kitu chepesi na cha kuenjoy sana.

Mimi ni kweli na enjoy kuendesha gari hasa Manual. Akaomba naye akanyoshe nyoshe miguu. Akachukua mashine. Kiukweli jamaa hakuwa amezoea sana Manual ila alikuwa mbishi. Nlimwona anavyochelewa kuingiza gear, anavyoshindwa kurudi vizuri n.k

Nikamwambia kama inamsumbua anirudishie tu akasema hapana akiendesha kama dk 20 zaidi atakuwa master.

Tabu ilianza tumefika mitaa flani mbele yetu kuna truck yenye Trailer. Jamaa akaomba. Mwenye truck akamruhusu. But my friend akawa anajivuta sana ku overtake. Akiwa anataka kutoka mwenye truck akamkataza jamaa akawasha taa ya kulia.

Jamaa hakuelewa. Nikamwona kashaingia kulia kakanyaga accelerator. But kaingia halafu katika kubadili gear kacheka. So ikabidi atoe macho mbele aangalie anaingiza wapi gear.(asome namba).

Kule mbele tulisikia truck inapiga horn imewasha taa....imetoka speed ile mbaya. Speed hasa.jamaa kitete hatuwezi ingia kushoto sababu kuna truck ya jamaa tupo nayo usawa wa nyuma ya cabin na ina trailers zile zinakuwa iliyounganishwa na cabin na nyingine yake.

Jamaa yetu wa kushoto alishajua huu msalama. Akakamata brake tuliona gari yake tairi zikiburuza na kuchora alama barabarani huku gari ikilalamika sana. Ile ndo ilikuwa nafasi yetu finyu jamaa yangu akaingia kushoto kwa sentimita chache sana tulikoswa na lile gari la mbele yetu.halikuhangaika hata kusimama.

Sisi tuliingua kushoto jamaa akayumba na gari hivyo hivyo mpaka mbele tukasimama. Nikashuka haraka kumsimamisha jamaa wa truck ambaye alikuwa nyuma yetu.

Jamaa akaenda simama. Richard ni mmoja ya madereva wenye upendo sijawahi ona. Alishuka akitupa pole na kutuonea huruma. Mimi nlimwomba msamaha na kumshukuru sana kwa kitendo chake. Haraka nikatoa 70,000 mfukoni kumpa kama asante. Aligoma kuchukua kabisa.

Tukabadilishana namba za simu. Ilibidi gari nichukue kuendesha mimi. Tuliendelea kuwasiliana mpaka leo nmekutana naye Hospital akiwa anahangaika kumtibia mama yake. Hana Bima. Nimemsadia nlichoweza nikawasiliana na yule jamaa yangu naye ajipige pige. Tumeweza mchangia tsh 330,000 aongezee.

Jamaa ameshukuru hadi kutokwa na machozi. The man is very humble. Sijawahi ona madereva wastaarabu kama huyu jamaa.

Ndugu zangu tutendeni tu wema. Malipo tumwachie Mungu. Hulipa kwa wakati wake. Jamaa yangu since then hana hamu tena ya kuendesha manual. Ilikuwa atuue sote. Maana tungegongana uso kwa uso na truck ya mafuta. Uso kwa uso.
Hizo betting tunafanyaga mjini tena off traffic areas. Kiutaratibu ulifanya kosa kubwa sana kumkabidhi learner chombo ya manual tena kwenye highway mngejimaliza wote wawili sasa ingebaki story tu.
 
Hizo betting tunafanyaga mjini tena off traffic areas. Kiutaratibu ulifanya kosa kubwa sana kumkabidhi learner chombo ya manual tena kwenye highway mngejimaliza wote wawili sasa ingebaki story tu.
Haya msingejua kuwa chizi maarifa has passed away.
 
Kati ya vitu ambavyo hupaswi kabisa hata kuwaza kumuazimisha mtu ni gari na mke!! .... Hivi unaanzaje kumwazima mtu gari lako aendeshe hata kama unajua kuwa ana leseni? Magari yanatofautiana na uzoefu hali kadhalika!.

Gari ambalo hujawahi kuliendesha unahitaji kulifanyia mazoezi kwanza ili ulizoee kabla hujaliingiza barabarani....Hii iwe fundisho kwa wamiliki wa magari, kuwa hayaazimishwi kama ilivyo kwa mke/mume wa ndoa.
Na mke je?!!hapo hujaweka maelezo mkuu
 
Kuna dereva mwingine wa lori alivyoona gari limemshinda breki mwenzake wa nyuma mto Ruvu pale akaona ajititie na mibreki ili amtumbukize mwenzie mtoni na akafanikiwa.
Hueleweki. Hizi shule za kata bora zifutwe
 
Back
Top Bottom