Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli kabisa, mimi gari yangu haendeshi mtu tofauti na mimi. Licha ya safarini hata hapa mjini tu huwa sipendi mtu aendeshe sababu gari yangu dynamics zake nazijua mimi mwenyewe.Haya msingejua kuwa chizi maarifa has passed away.
We Janeth upo?We uzi wako wa Congo umeutelekeza kule
Nimefarijika sana kwa kumsaidia Richard kiasi kwa ajili ya matibabu ya Mama. Huu ndio ubinadamu tunaouhitaji.Mwaka jana Oktoba ni mwaka ambao kumbukumbu yake inanijia sana. Leo nimekumbuka zaidi baada ya kuonana ma Dereva mmoja anaitwa Richard.
Siku hiyo nilikuwa na gari yangu kubwa ni ya Diesel Manual ina Speed 240. Tumetoka Dar na jamaa yangu tunaelekea Dom. Huku kote nlikuwa naendesha mimi mpaka tumevuka Morogoro tunaelekea Kibaigwa kama sikosei.
Jamaa akaomba naye asukume ile mashine. Muda mrefu alikuwa akitamani sana jinsi navyokanyaga mashine,navyopiga mpini n.k akaona ni kitu chepesi na cha kuenjoy sana.
Mimi ni kweli na enjoy kuendesha gari hasa Manual. Akaomba naye akanyoshe nyoshe miguu. Akachukua mashine. Kiukweli jamaa hakuwa amezoea sana Manual ila alikuwa mbishi. Nlimwona anavyochelewa kuingiza gear, anavyoshindwa kurudi vizuri n.k
Nikamwambia kama inamsumbua anirudishie tu akasema hapana akiendesha kama dk 20 zaidi atakuwa master.
Tabu ilianza tumefika mitaa flani mbele yetu kuna truck yenye Trailer. Jamaa akaomba. Mwenye truck akamruhusu. But my friend akawa anajivuta sana ku overtake. Akiwa anataka kutoka mwenye truck akamkataza jamaa akawasha taa ya kulia.
Jamaa hakuelewa. Nikamwona kashaingia kulia kakanyaga accelerator. But kaingia halafu katika kubadili gear kacheka. So ikabidi atoe macho mbele aangalie anaingiza wapi gear.(asome namba).
Kule mbele tulisikia truck inapiga horn imewasha taa....imetoka speed ile mbaya. Speed hasa.jamaa kitete hatuwezi ingia kushoto sababu kuna truck ya jamaa tupo nayo usawa wa nyuma ya cabin na ina trailers zile zinakuwa iliyounganishwa na cabin na nyingine yake.
Jamaa yetu wa kushoto alishajua huu msalama. Akakamata brake tuliona gari yake tairi zikiburuza na kuchora alama barabarani huku gari ikilalamika sana. Ile ndo ilikuwa nafasi yetu finyu jamaa yangu akaingia kushoto kwa sentimita chache sana tulikoswa na lile gari la mbele yetu.halikuhangaika hata kusimama.
Sisi tuliingua kushoto jamaa akayumba na gari hivyo hivyo mpaka mbele tukasimama. Nikashuka haraka kumsimamisha jamaa wa truck ambaye alikuwa nyuma yetu.
Jamaa akaenda simama. Richard ni mmoja ya madereva wenye upendo sijawahi ona. Alishuka akitupa pole na kutuonea huruma. Mimi nlimwomba msamaha na kumshukuru sana kwa kitendo chake. Haraka nikatoa 70,000 mfukoni kumpa kama asante. Aligoma kuchukua kabisa.
Tukabadilishana namba za simu. Ilibidi gari nichukue kuendesha mimi. Tuliendelea kuwasiliana mpaka leo nmekutana naye Hospital akiwa anahangaika kumtibia mama yake. Hana Bima. Nimemsadia nlichoweza nikawasiliana na yule jamaa yangu naye ajipige pige. Tumeweza mchangia tsh 330,000 aongezee.
Jamaa ameshukuru hadi kutokwa na machozi. The man is very humble. Sijawahi ona madereva wastaarabu kama huyu jamaa.
Ndugu zangu tutendeni tu wema. Malipo tumwachie Mungu. Hulipa kwa wakati wake. Jamaa yangu since then hana hamu tena ya kuendesha manual. Ilikuwa atuue sote. Maana tungegongana uso kwa uso na truck ya mafuta. Uso kwa uso.
Achana nazo. Si kwa ajili yako. Take what you need leave mengine kwa wenye uhitaji. Its simple.Duuh pole sema kuna unneeded information hapo juu
Sema gari haina madhaifu yoyote ndo maana sikuona shida. Ipo vizuri sana na imetembea kms chache sana 13,000+ toka imetengenezwa.Ni kweli kabisa, mimi gari yangu haendeshi mtu tofauti na mimi. Licha ya safarini hata hapa mjini tu huwa sipendi mtu aendeshe sababu gari yangu dynamics zake nazijua mimi mwenyewe.
Hata wewe pia madhaifu yote na handling ya gari yako unaijua mwenyewe. Sasa umpe mtu mgeni ni lazima akae nalo kwa muda kidogo alizoee. We unampa mtu gari highway kweli ndio maana lilimshinda.
Sawa ila ukumbuke kila gari ina handling ya tofauti barabarani. Mtu kashazoea Handling ya Benz GLS uje umpe Harrier unaeza shangaa mko kwenye mashamba ya Mkonge chap 😂😂😂Sema gari haina madhaifu yoyote ndo maana sikuona shida. Ipo vizuri sana na imetembea kms chache sana 13,000+ toka imetengenezwa.
ndo mambo ya kuvunjana mabega haya😂Sawa ila ukumbuke kila gari ina handling ya tofauti barabarani. Mtu kashazoea Handling ya Benz GLS uje umpe Harrier unaeza shangaa mko kwenye mashamba ya Mkonge chap 😂😂😂
Pole kwa mkasa ambao hutokea mara nyingu kule mbugani barabarani.Mwaka jana Oktoba ni mwaka ambao kumbukumbu yake inanijia sana. Leo nimekumbuka zaidi baada ya kuonana ma Dereva mmoja anaitwa Richard.
Siku hiyo nilikuwa na gari yangu kubwa ni ya Diesel Manual ina Speed 240. Tumetoka Dar na jamaa yangu tunaelekea Dom. Huku kote nlikuwa naendesha mimi mpaka tumevuka Morogoro tunaelekea Kibaigwa kama sikosei.
Jamaa akaomba naye asukume ile mashine. Muda mrefu alikuwa akitamani sana jinsi navyokanyaga mashine,navyopiga mpini n.k akaona ni kitu chepesi na cha kuenjoy sana.
Mimi ni kweli na enjoy kuendesha gari hasa Manual. Akaomba naye akanyoshe nyoshe miguu. Akachukua mashine. Kiukweli jamaa hakuwa amezoea sana Manual ila alikuwa mbishi. Nlimwona anavyochelewa kuingiza gear, anavyoshindwa kurudi vizuri n.k
Nikamwambia kama inamsumbua anirudishie tu akasema hapana akiendesha kama dk 20 zaidi atakuwa master.
Tabu ilianza tumefika mitaa flani mbele yetu kuna truck yenye Trailer. Jamaa akaomba. Mwenye truck akamruhusu. But my friend akawa anajivuta sana ku overtake. Akiwa anataka kutoka mwenye truck akamkataza jamaa akawasha taa ya kulia.
Jamaa hakuelewa. Nikamwona kashaingia kulia kakanyaga accelerator. But kaingia halafu katika kubadili gear kacheka. So ikabidi atoe macho mbele aangalie anaingiza wapi gear.(asome namba).
Kule mbele tulisikia truck inapiga horn imewasha taa....imetoka speed ile mbaya. Speed hasa.jamaa kitete hatuwezi ingia kushoto sababu kuna truck ya jamaa tupo nayo usawa wa nyuma ya cabin na ina trailers zile zinakuwa iliyounganishwa na cabin na nyingine yake.
Jamaa yetu wa kushoto alishajua huu msalama. Akakamata brake tuliona gari yake tairi zikiburuza na kuchora alama barabarani huku gari ikilalamika sana. Ile ndo ilikuwa nafasi yetu finyu jamaa yangu akaingia kushoto kwa sentimita chache sana tulikoswa na lile gari la mbele yetu.halikuhangaika hata kusimama.
Sisi tuliingua kushoto jamaa akayumba na gari hivyo hivyo mpaka mbele tukasimama. Nikashuka haraka kumsimamisha jamaa wa truck ambaye alikuwa nyuma yetu.
Jamaa akaenda simama. Richard ni mmoja ya madereva wenye upendo sijawahi ona. Alishuka akitupa pole na kutuonea huruma. Mimi nlimwomba msamaha na kumshukuru sana kwa kitendo chake. Haraka nikatoa 70,000 mfukoni kumpa kama asante. Aligoma kuchukua kabisa.
Tukabadilishana namba za simu. Ilibidi gari nichukue kuendesha mimi. Tuliendelea kuwasiliana mpaka leo nmekutana naye Hospital akiwa anahangaika kumtibia mama yake. Hana Bima. Nimemsadia nlichoweza nikawasiliana na yule jamaa yangu naye ajipige pige. Tumeweza mchangia tsh 330,000 aongezee.
Jamaa ameshukuru hadi kutokwa na machozi. The man is very humble. Sijawahi ona madereva wastaarabu kama huyu jamaa.
Ndugu zangu tutendeni tu wema. Malipo tumwachie Mungu. Hulipa kwa wakati wake. Jamaa yangu since then hana hamu tena ya kuendesha manual. Ilikuwa atuue sote. Maana tungegongana uso kwa uso na truck ya mafuta. Uso kwa uso.
Wakishasema hii chai, nini kinabadilika ?Basi kuna watu watakuja watasema hii ni chai!
Muda wote Dada yako Lizaboni yupo wapi haonekani siku hizi.Mtu mwenyewe chizi unategemea anakumbuka kitu?
Usiwe mbeya mjulishe kibaraka wenu bongo tupo poaMuda wote Dada yako Lizaboni yupo wapi haonekani siku hizi.