Rafiki yangu amezaa na mke wa mtu

Nimeona picha ya mtoto, amefanana na jamaa kwa asilimia 90
 
Waafrika mna shida,wewe unajuaje kuwa jamaa hata kuja kujua maisha yake yote kuwa huyo mtoto sio wake.Dunia kubwa hii-huo ni mzozo wa badaye.
Na hiyo sheria,inayosema kila mtoto anayezaliwa ndani ya ndoa ni mtoto halali umeitoa katika kifungo kipi.

Huyo mwanamke na huyo jamaa ndio chanzo cha vifo vingi vya mapenzi kutokea.
 
Ukishazaa na mke wa mtu huyo mtoto siyo wako, ni wa mwenye mke..... i.e mume wake..

Until mume wake amemkataa huyo mtoto basi hiyo sio mali yako bwashee..
 
Alielewa big nyansh***akaona ajimilikishe mke wa mtu kabisa imenikita hii
 
N
Unaweza kukuta mleta mada ndio mwenye hichi kisanga lakini anatumia lugha ya kusema kuna jamaa fulani.....
JF kuna mambo ya ajabu, utamaduni wa kuficha identity zetu imepelekea kufake mambo mengi.
Ni kweli, mwandishi ndo mwenye kimeo. Kwani huyo rafikiye hawezi kufungua akaunti JF akajizungumzia mwenyewe.
Vilevile, ingekuwa kesi ya rafiki yake angemshauri yangeishia hukohuko.
Mwamba ni yeye na hapa ndo mara ya kwanza kufunguka. 😁
 
Achana na mke wa mtu.
Mwamba akijua umemzalisha mkewe, hatakuacha salama.

Mpotezee mama na mwanawe. Kama atapenda kumweleza ukweli huko mbele, atakutafuta. Kwa sasa cheza mbali na huo waya.
Maisha yako yapo hatarini kuliko wakati wowote.

Badili namba. Hama mji. Over!
Endelea kujifanya unataka 'haki zako' kwenye mji wa watu.
 
huyo jamaa akate mawasiliano na huyo mwanamke kama kuna uwezekano akimbie kabisa hilo eneo na asipatikane.....

dah hata sijui kwanin na mshauri vizur hivi wakati amefanya upuuzi maksudi kabisa
 
naona sphincter muscles zako muda si mrefu zitalegezwa kabisa, wewe endelea tu na huyo malaya aliyepata bahati ya kuwa mke wa mtu.
 
naona sphincter muscles zako muda si mrefu zitalegezwa kabisa, wewe endelea tu na huyo malaya aliyepata bahati ya kuwa mke wa mtu.
 
Kuna mkasa ulitokea kwa rafiki wa shemeji yangu,yaan una watoto watano ila wa tatu unakuja kumchapua na kusema huyu si wangu na unafanikiwa,mkasa mkubwa sana huu
 

Labda nianze na wewe!

1. Aliyekuambia "yule ni baba yako ni nani?" Una uhakika gani kwamba huyo ni baba yako?

2. Kama una watoto, aliyekumabia hao watoto ni wa kwako ni nani? Una uhakika gani? Jibu bila mihemko!
 
Eti rafiki yangu, si useme tu kuwa ni wewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…