Rafiki yangu amezaa na mke wa mtu

Rafiki yangu amezaa na mke wa mtu

Amna haja ya kuhangaika na ushauri apa ..lazima washikwe tuu iyo ni lazima ..narudia kushikwa ni lazima tuu hata wafanyaje
 
Habari zenu waungwana,
Rafiki yangu anaomba ushauri, Kwa kifupi ilitokea akawa na mahusiano na mke wa mtu, kwa maelezo yake anasema Mara ya kwanza Kushiriki tendo mwanamke alinasa ujauzito.

Baada ya mwanamke kujifungua mtoto mzuri wa kike ikawa jamaa anaulizia maendeleo ya mtoto anapewa ushirikiano kama kawaida, Wakati huo Mume wa huyo mwanamke hajui kama mtoto si wake,

Jamaa alimwambia mwanamke kwa kuwa imetokea wamezaa ili kuepusha hatari kwake na kwa mtoto wapunguze kuwasiliana na wavunje mahusiano abaki na jambo moja tu la kumhudumia mtoto japo kwa siri,

mwanamke akamwambia jamaa kama anahitaji kuendelea kupata taarifa za mtoto basi waendelee na mahusiano, mwanamke hataki habari ya kuvunja mahusiano, Jamaa anakiri ni kweli alifanya kosa kubwa na hata nafsi yake inamsuta. Mshaurini huyu jamaa yangu kwani yuko njia panda.
Namshauri ndugu yetu awe na moyo mkuu na ujasiri maana mkewe naye atamletea toto wa nje na asimkatae....

Nashauri sana wanaume wenzangu, kama unafanya kosa Ła ku datę na mke wa mtu hakikisha unaacha mara moja
 
Mwanamke ni mfanya biashara anajiweza kiuchumu, ye amnachotaka waendelee na mahusiano ya kimapenzi, only that
Aaache usenge atapakwa mafuta, you can't owned without service .
Acchane na mke wa mtu azalishe mwanamke mwingne,akijifany kiherehere ataleta Uzi mwingne huku

Maan hapo uliandk huyo.shangaz alimwambia jamaa ako wapunguze mawasiliano
 
Akatae kabisa kumhudumia huyo mtoto na avunje kabisa mahusiano na huyo malaya

Nasisitiza avunje mahusiano kabisa

Hilo ni bomu zaidi ya nyuklia likija kulipuka
Yaani unamshauri Mwanaume mwenzio atupe kabisa damu yake!? Je watoto wakiwa wakubwa wakija kuowana nyinyi wazazi mtakua kwenye hali gani baada kujua kua hao ni mtu na dada yake!? Dunia hii ina siri sana huwezi jua mipango ya Mungu, siku zote keep your all blood close to you !!
 
Habari zenu waungwana,
Rafiki yangu anaomba ushauri, Kwa kifupi ilitokea akawa na mahusiano na mke wa mtu, kwa maelezo yake anasema Mara ya kwanza Kushiriki tendo mwanamke alinasa ujauzito.

Baada ya mwanamke kujifungua mtoto mzuri wa kike ikawa jamaa anaulizia maendeleo ya mtoto anapewa ushirikiano kama kawaida, Wakati huo Mume wa huyo mwanamke hajui kama mtoto si wake,

Jamaa alimwambia mwanamke kwa kuwa imetokea wamezaa ili kuepusha hatari kwake na kwa mtoto wapunguze kuwasiliana na wavunje mahusiano abaki na jambo moja tu la kumhudumia mtoto japo kwa siri,

mwanamke akamwambia jamaa kama anahitaji kuendelea kupata taarifa za mtoto basi waendelee na mahusiano, mwanamke hataki habari ya kuvunja mahusiano, Jamaa anakiri ni kweli alifanya kosa kubwa na hata nafsi yake inamsuta. Mshaurini huyu jamaa yangu kwani yuko njia panda.
Watu wanapenda chovya chovya asee
 
Unaweza kukuta mleta mada ndio mwenye hichi kisanga lakini anatumia lugha ya kusema kuna jamaa fulani.....
JF kuna mambo ya ajabu, utamaduni wa kuficha identity zetu imepelekea kufake mambo mengi.
Na pengone yeye ndo huyo mke wa mtu, JF haina mfano!
 
Back
Top Bottom