Rafiki yangu anasumbuliwa na jini mahaba. Je, ni namna gani ya kumtoa?

Rafiki yangu anasumbuliwa na jini mahaba. Je, ni namna gani ya kumtoa?

Ameoa ktk ulimwengu wa roho tayari,anapofanya mapenzi ndotoni anafanya mapenzi na jini,ambaye ni mke wake halali(spiritual wife).

Kushindwa kufanya mapenzi na mke wake wa mwili,ni wivu wa jini mahaba,mwanaume asiweze ku-sex na mwanamke yeyote wa mwili ila a-sex na jini huyo tu.

Anatakiwa kufutiwa mashtaka(sexual sin) yaliyompa jini mahaba uhalali wa kum'miliki.

Mashtaka hayo yanafutwa kwa damu ya yesu tu,yesu anakununua kutoka kwenye huo utumwa wa jini mahaba kwa damu yake.Kanuni ya
Mungu,sadaka ya dhambi ni damu na sasa tunatumia damu ya Yesu kufutiwa mashtaka.

Nenda kwa mtumishi wa Mungu mwenye nguvu za Mungu(i recommend Mwamposa).

Tofauti na hivyo utasumbuka sana,maana jini huyu msumbufu hatari.
Asante sana kwa maelezo mazuri
 
Kuotq unafanya mapenzi sio ugonjwa wala tatizo, ni kitu cha kawaida kwa mtu yeyote mwenye nyege.
Naam ila kupoteza hamu ya kufanya mapenzi na mpenzi wako naamini sio kawaida tena ukiwa upo fit kabisa mazoezi mengi
 
Nje ya mada kuu. Kipindi nabalehe na sina uwezo wa kukamata mademu nilikuwa naombea sana nopate huu ugonjwa wa kuwa na jini mahaba ila mikawa hata siyapati
 
Hakunaga vitu kama hivi sijui jini mahaba sijui popobawa. Ni story tu za vijiweni na mabarazani kupoteza muda na kusogeza siku watu wakishashiba kande na kuvimbiwa.

Msingi wa maisha ni kufanya kazi.
😂😂😂😂 oya
 
Kuna rafiki yangu amekutwa au naweza kusema anasumbuliwa na jambo ambalo dalili zake zinaonyesha kua huenda akawa na jini mahaba ndani yake. Kwaio ameniombea kupitia jukwaa hili la ma great thinkers niweze kumuulizia jambo hili.

Dalili zenyewe ambazo kwa maelezo yake ameziona ni kama zinaendana na mtu mwenye jini mahaba ni pamoja na KUOTA AKIFANYA MAPENZI na kubwa zaidi KUPOTEZA HAMU YA KUFANYA MAPENZI katika maisha yake ya kawaida. Na hili la pili sasa ndo limepelekea hali kua ya wasiwasi mpaka kufikia kuniomba kuja kwenu wajuzi wa mambo kuulizia swala hili.

Jamaa stori yake huko nyuma ni kua amewai kua kwenye mahusiano na wanawake watatu nyakati tofauti tofauti, na wote sababu za kuachana nao ni kuwachoka na kutowahitaji tena muda mchache tu baada ya kukutana nao kimwili kwa mara mbili au tatu tu.

Nyakati hizo za nyuma alikua akihisi huenda alikua hajatokea kuwapenda ndomana pengine alikua akiwachoka haraka na kutowahitaji tena ila ni mpaka sasa ambapo yupo kwenye mahusiano na mwanamke mwingine ambae yeye anadai anampenda lakini katika hali ya ghafla amekua hana tena hamu ya kufanya nae mapenzi hata akiwa nae utupu chumbani, hali ambayo sio ya kawaida kabisa kwa sababu hana tatizo lolote la kiafya na ni mtu wa mazoezi.

Kwa dalili hizi moja kwa moja tumeona inawezekana ikawa huenda ana kitu tofauti kinachomsababishia hali hiyo. Na katika kujaribu kuuliza kwa mtu mmoja mwenye kufahamu mambo mengi kidogo, aliweka tiki pia kua dalili hizo zinakuaga ni za mtu mwenye jini mahaba.

Sasa lengo la uzi huu ni kutaka kufahamu zaidi kuhusu jini huyu mahaba, yani namna ya kumtoa na kuweza kujikinga nae wakati mwingine. NATANGULIZA SHUKRANI
mwambie aokoke tu, kwasababu mtu wa aina hiyo kwanza huwa haolewi, jini lina wivu, pili hata akiolewa hua hazai. aokoke tu, ndio jini litakimbia lenyewe.

hata kama ndugu katika imani yao wanaamini kuwa kuna majini mazuri na mabaya, ila ukweli ni kwamba majini ni mashetani, ni mojawapo ya ile 1/3 ya malaika ambao walifukuzwa mbinguni baada ya kuasi. hivyo ni mafuasi au niseme ni mashetani. huko pwani kuna wanaume wameyaoa ya kike na yanawaletea pesa au yanawafanyia mambo mengi tu hata kufanya nao ngono. ajabu yake, pamoja na yote hayo, mwisho wa siku lazima yatakuteketeza kabla haujampokea Yesu ili ukaende motoni, kwasababu shetani hakupendi hata kama atakupa peremende za aina gani.

Yesu alisema: YOHANA 10:12, Mwivi haji ila aibe na kuchinja na kuharibu; mimi nalikuja ili wawe na uzima, kisha wawe nao tele. 11 Mimi ndimi mchungaji mwema. Mchungaji mwema huutoa uhai wake kwa ajili ya kondoo. 12 Mtu wa mshahara, wala si mchungaji, ambaye kondoo si mali yake, humwona mbwa-mwitu anakuja, akawaacha kondoo na kukimbia; na mbwa-mwitu huwakamata na kuwatawanya.

UKIISHI NA MASHETANI,jua kabisa kwamba yapo kwako ili kukuua na kukuchinja na kukuharibu, hivyo hata ninyi mnaofuga majini, jueni hivyo, kuna siku yatawachinja tu. bali Yesu amekuja ili tuwe na uzima kisha tuwe nao tele. Okokeni, muda umeisha, Yesu anarudi.
 
Muambie atumie mafuta ya Miski nyeupe...inapatikana kwenye maduka ya dawa za asili..namna ya kutumia ataelekezwa huko huko.
 
Kuna rafiki yangu amekutwa au naweza kusema anasumbuliwa na jambo ambalo dalili zake zinaonyesha kua huenda akawa na jini mahaba ndani yake. Kwaio ameniombea kupitia jukwaa hili la ma great thinkers niweze kumuulizia jambo hili.

Dalili zenyewe ambazo kwa maelezo yake ameziona ni kama zinaendana na mtu mwenye jini mahaba ni pamoja na KUOTA AKIFANYA MAPENZI na kubwa zaidi KUPOTEZA HAMU YA KUFANYA MAPENZI katika maisha yake ya kawaida. Na hili la pili sasa ndo limepelekea hali kua ya wasiwasi mpaka kufikia kuniomba kuja kwenu wajuzi wa mambo kuulizia swala hili.

Jamaa stori yake huko nyuma ni kua amewai kua kwenye mahusiano na wanawake watatu nyakati tofauti tofauti, na wote sababu za kuachana nao ni kuwachoka na kutowahitaji tena muda mchache tu baada ya kukutana nao kimwili kwa mara mbili au tatu tu.

Nyakati hizo za nyuma alikua akihisi huenda alikua hajatokea kuwapenda ndomana pengine alikua akiwachoka haraka na kutowahitaji tena ila ni mpaka sasa ambapo yupo kwenye mahusiano na mwanamke mwingine ambae yeye anadai anampenda lakini katika hali ya ghafla amekua hana tena hamu ya kufanya nae mapenzi hata akiwa nae utupu chumbani, hali ambayo sio ya kawaida kabisa kwa sababu hana tatizo lolote la kiafya na ni mtu wa mazoezi.

Kwa dalili hizi moja kwa moja tumeona inawezekana ikawa huenda ana kitu tofauti kinachomsababishia hali hiyo. Na katika kujaribu kuuliza kwa mtu mmoja mwenye kufahamu mambo mengi kidogo, aliweka tiki pia kua dalili hizo zinakuaga ni za mtu mwenye jini mahaba.

Sasa lengo la uzi huu ni kutaka kufahamu zaidi kuhusu jini huyu mahaba, yani namna ya kumtoa na kuweza kujikinga nae wakati mwingine. NATANGULIZA SHUKRANI
Karibu inbox 📥 tukusaidie
 
Kuna rafiki yangu amekutwa au naweza kusema anasumbuliwa na jambo ambalo dalili zake zinaonyesha kua huenda akawa na jini mahaba ndani yake. Kwaio ameniombea kupitia jukwaa hili la ma great thinkers niweze kumuulizia jambo hili.

Dalili zenyewe ambazo kwa maelezo yake ameziona ni kama zinaendana na mtu mwenye jini mahaba ni pamoja na KUOTA AKIFANYA MAPENZI na kubwa zaidi KUPOTEZA HAMU YA KUFANYA MAPENZI katika maisha yake ya kawaida. Na hili la pili sasa ndo limepelekea hali kua ya wasiwasi mpaka kufikia kuniomba kuja kwenu wajuzi wa mambo kuulizia swala hili.

Jamaa stori yake huko nyuma ni kua amewai kua kwenye mahusiano na wanawake watatu nyakati tofauti tofauti, na wote sababu za kuachana nao ni kuwachoka na kutowahitaji tena muda mchache tu baada ya kukutana nao kimwili kwa mara mbili au tatu tu.

Nyakati hizo za nyuma alikua akihisi huenda alikua hajatokea kuwapenda ndomana pengine alikua akiwachoka haraka na kutowahitaji tena ila ni mpaka sasa ambapo yupo kwenye mahusiano na mwanamke mwingine ambae yeye anadai anampenda lakini katika hali ya ghafla amekua hana tena hamu ya kufanya nae mapenzi hata akiwa nae utupu chumbani, hali ambayo sio ya kawaida kabisa kwa sababu hana tatizo lolote la kiafya na ni mtu wa mazoezi.

Kwa dalili hizi moja kwa moja tumeona inawezekana ikawa huenda ana kitu tofauti kinachomsababishia hali hiyo. Na katika kujaribu kuuliza kwa mtu mmoja mwenye kufahamu mambo mengi kidogo, aliweka tiki pia kua dalili hizo zinakuaga ni za mtu mwenye jini mahaba.

Sasa lengo la uzi huu ni kutaka kufahamu zaidi kuhusu jini huyu mahaba, yani namna ya kumtoa na kuweza kujikinga nae wakati mwingine. NATANGULIZA SHUKRANI
Huyo jamas ni Muislam? Maana hawa jamaa kwa kuishi na kufilana na majini hawajambo, pole zake.
 
Kuna rafiki yangu amekutwa au naweza kusema anasumbuliwa na jambo ambalo dalili zake zinaonyesha kua huenda akawa na jini mahaba ndani yake. Kwaio ameniombea kupitia jukwaa hili la ma great thinkers niweze kumuulizia jambo hili.

Dalili zenyewe ambazo kwa maelezo yake ameziona ni kama zinaendana na mtu mwenye jini mahaba ni pamoja na KUOTA AKIFANYA MAPENZI na kubwa zaidi KUPOTEZA HAMU YA KUFANYA MAPENZI katika maisha yake ya kawaida. Na hili la pili sasa ndo limepelekea hali kua ya wasiwasi mpaka kufikia kuniomba kuja kwenu wajuzi wa mambo kuulizia swala hili.

Jamaa stori yake huko nyuma ni kua amewai kua kwenye mahusiano na wanawake watatu nyakati tofauti tofauti, na wote sababu za kuachana nao ni kuwachoka na kutowahitaji tena muda mchache tu baada ya kukutana nao kimwili kwa mara mbili au tatu tu.

Nyakati hizo za nyuma alikua akihisi huenda alikua hajatokea kuwapenda ndomana pengine alikua akiwachoka haraka na kutowahitaji tena ila ni mpaka sasa ambapo yupo kwenye mahusiano na mwanamke mwingine ambae yeye anadai anampenda lakini katika hali ya ghafla amekua hana tena hamu ya kufanya nae mapenzi hata akiwa nae utupu chumbani, hali ambayo sio ya kawaida kabisa kwa sababu hana tatizo lolote la kiafya na ni mtu wa mazoezi.

Kwa dalili hizi moja kwa moja tumeona inawezekana ikawa huenda ana kitu tofauti kinachomsababishia hali hiyo. Na katika kujaribu kuuliza kwa mtu mmoja mwenye kufahamu mambo mengi kidogo, aliweka tiki pia kua dalili hizo zinakuaga ni za mtu mwenye jini mahaba.

Sasa lengo la uzi huu ni kutaka kufahamu zaidi kuhusu jini huyu mahaba, yani namna ya kumtoa na kuweza kujikinga nae wakati mwingine. NATANGULIZA SHUKRANI
Kama ni Mkristu Mwambe abadilishe dini na kuwa Muislam ili aishi nao vizuri la sivyo watakuja mgeuzia kibao na kumfila yeye
 
Hakunaga vitu kama hivi sijui jini mahaba sijui popobawa. Ni story tu za vijiweni na mabarazani kupoteza muda na kusogeza siku watu wakishashiba kande na kuvimbiwa.

Msingi wa maisha ni kufanya kazi.
Leo hujavuta umeongea point
 
Huyo jamas ni Muislam? Maana hawa jamaa kwa kuishi na kufilana na majini hawajambo, pole zake.
Hahahahaaa! Enyi wagalatia msio na akili ni nani aliyewaroga? Wewe ulishawahi kufirwa na jini?
 
Kuna rafiki yangu amekutwa au naweza kusema anasumbuliwa na jambo ambalo dalili zake zinaonyesha kua huenda akawa na jini mahaba ndani yake. Kwaio ameniombea kupitia jukwaa hili la ma great thinkers niweze kumuulizia jambo hili.

Dalili zenyewe ambazo kwa maelezo yake ameziona ni kama zinaendana na mtu mwenye jini mahaba ni pamoja na KUOTA AKIFANYA MAPENZI na kubwa zaidi KUPOTEZA HAMU YA KUFANYA MAPENZI katika maisha yake ya kawaida. Na hili la pili sasa ndo limepelekea hali kua ya wasiwasi mpaka kufikia kuniomba kuja kwenu wajuzi wa mambo kuulizia swala hili.

Jamaa stori yake huko nyuma ni kua amewai kua kwenye mahusiano na wanawake watatu nyakati tofauti tofauti, na wote sababu za kuachana nao ni kuwachoka na kutowahitaji tena muda mchache tu baada ya kukutana nao kimwili kwa mara mbili au tatu tu.

Nyakati hizo za nyuma alikua akihisi huenda alikua hajatokea kuwapenda ndomana pengine alikua akiwachoka haraka na kutowahitaji tena ila ni mpaka sasa ambapo yupo kwenye mahusiano na mwanamke mwingine ambae yeye anadai anampenda lakini katika hali ya ghafla amekua hana tena hamu ya kufanya nae mapenzi hata akiwa nae utupu chumbani, hali ambayo sio ya kawaida kabisa kwa sababu hana tatizo lolote la kiafya na ni mtu wa mazoezi.

Kwa dalili hizi moja kwa moja tumeona inawezekana ikawa huenda ana kitu tofauti kinachomsababishia hali hiyo. Na katika kujaribu kuuliza kwa mtu mmoja mwenye kufahamu mambo mengi kidogo, aliweka tiki pia kua dalili hizo zinakuaga ni za mtu mwenye jini mahaba.

Sasa lengo la uzi huu ni kutaka kufahamu zaidi kuhusu jini huyu mahaba, yani namna ya kumtoa na kuweza kujikinga nae wakati mwingine. NATANGULIZA SHUKRANI
Mwamba umefeli sana, unasifia JF ni ya magreat thinker halafu unaleta story za kindezi hivi, wahi fb huko ndio panakufaa
 
Hahahahaaa! Enyi wagalatia msio na akili ni nani aliyewaroga? Wewe ulishawahi kufirwa na jini?
Si ndiyo zenu hizo, angalia kina Aunty Muddy (mashoga) wote waliotapakaa Zanzibar, Tanga na hapa Dar, asilimia kubwa yao ni wafuga majini (Waislam).
 
Si ndiyo zenu hizo, angalia kina Aunty Muddy (mashoga) wote waliotapakaa Zanzibar, Tanga na hapa Dar, asilimia kubwa yao ni wafuga majini (Waislam).
Majini yapo kwa wakristo kama unabisha angalia kanisani wangapi wanatolewa majini
 
Yesu ndio nguvu pekee inayoweza kumtoa huyo,kinyume cha hapo atahangaika sana....
 
Back
Top Bottom