Rafiki yangu anasumbuliwa na jini mahaba. Je, ni namna gani ya kumtoa?

Rafiki yangu anasumbuliwa na jini mahaba. Je, ni namna gani ya kumtoa?

Hakunaga kitu kinaitwa jini mahaba, ashughulikie mambo mengine ya kisaikolojia.

Kuota unafanya mapenzi ni kawaida tu, kuishiwa hamu ya tendo ni kawaida na pia kuingia kitandani na mwanamke ngoma isisimame pia ni kawaida.

Mimi yaliyashanitokea hayo, na yanaendelea kunitokea, na wanaume asilimia 90 yalishawatokea.

Stori za majini mahaba, maimuna sijui jini makata hazina uthibitisho wowote.
Nakubali hili suala linatokea ebu mwandalie Lita Moja ya asali,, kilo Moja ya karanga,,tangawizi na kituunguu swaumu umchanganyie vizuri atumie Kwa wiki huku mazoezi ya mwili akiendelea nayo tuone kama hatakuwa na hamu

Saikolojia ya mapenzi inatesa sana

Na Sisi wanaume hatuchelewi kusingizia tunalogwa
 
Kuna rafiki yangu amekutwa au naweza kusema anasumbuliwa na jambo ambalo dalili zake zinaonyesha kua huenda akawa na jini mahaba ndani yake. Kwaio ameniombea kupitia jukwaa hili la ma great thinkers niweze kumuulizia jambo hili.

Dalili zenyewe ambazo kwa maelezo yake ameziona ni kama zinaendana na mtu mwenye jini mahaba ni pamoja na KUOTA AKIFANYA MAPENZI na kubwa zaidi KUPOTEZA HAMU YA KUFANYA MAPENZI katika maisha yake ya kawaida. Na hili la pili sasa ndo limepelekea hali kua ya wasiwasi mpaka kufikia kuniomba kuja kwenu wajuzi wa mambo kuulizia swala hili.

Jamaa stori yake huko nyuma ni kua amewai kua kwenye mahusiano na wanawake watatu nyakati tofauti tofauti, na wote sababu za kuachana nao ni kuwachoka na kutowahitaji tena muda mchache tu baada ya kukutana nao kimwili kwa mara mbili au tatu tu.

Nyakati hizo za nyuma alikua akihisi huenda alikua hajatokea kuwapenda ndomana pengine alikua akiwachoka haraka na kutowahitaji tena ila ni mpaka sasa ambapo yupo kwenye mahusiano na mwanamke mwingine ambae yeye anadai anampenda lakini katika hali ya ghafla amekua hana tena hamu ya kufanya nae mapenzi hata akiwa nae utupu chumbani, hali ambayo sio ya kawaida kabisa kwa sababu hana tatizo lolote la kiafya na ni mtu wa mazoezi.

Kwa dalili hizi moja kwa moja tumeona inawezekana ikawa huenda ana kitu tofauti kinachomsababishia hali hiyo. Na katika kujaribu kuuliza kwa mtu mmoja mwenye kufahamu mambo mengi kidogo, aliweka tiki pia kua dalili hizo zinakuaga ni za mtu mwenye jini mahaba.

Sasa lengo la uzi huu ni kutaka kufahamu zaidi kuhusu jini huyu mahaba, yani namna ya kumtoa na kuweza kujikinga nae wakati mwingine. NATANGULIZA SHUKRANI
Mojawapo ya masharti ya kumuondoa jini mahaba ni kuwa mkweli kwa anayokutendea .. Sasa wewe hatua ya kwanza tu umeshindwa! Hebu kuwa mkweli , acha kuzunguka !
 
Muambie atumie mafuta ya Miski nyeupe...inapatikana kwenye maduka ya dawa za asili..namna ya kutumia ataelekezwa huko huko.
Yanasaidia kiuhakika kaka?
 
Kuna rafiki yangu amekutwa au naweza kusema anasumbuliwa na jambo ambalo dalili zake zinaonyesha kua huenda akawa na jini mahaba ndani yake. Kwaio ameniombea kupitia jukwaa hili la ma great thinkers niweze kumuulizia jambo hili.

Dalili zenyewe ambazo kwa maelezo yake ameziona ni kama zinaendana na mtu mwenye jini mahaba ni pamoja na KUOTA AKIFANYA MAPENZI na kubwa zaidi KUPOTEZA HAMU YA KUFANYA MAPENZI katika maisha yake ya kawaida. Na hili la pili sasa ndo limepelekea hali kua ya wasiwasi mpaka kufikia kuniomba kuja kwenu wajuzi wa mambo kuulizia swala hili.

Jamaa stori yake huko nyuma ni kua amewai kua kwenye mahusiano na wanawake watatu nyakati tofauti tofauti, na wote sababu za kuachana nao ni kuwachoka na kutowahitaji tena muda mchache tu baada ya kukutana nao kimwili kwa mara mbili au tatu tu.

Nyakati hizo za nyuma alikua akihisi huenda alikua hajatokea kuwapenda ndomana pengine alikua akiwachoka haraka na kutowahitaji tena ila ni mpaka sasa ambapo yupo kwenye mahusiano na mwanamke mwingine ambae yeye anadai anampenda lakini katika hali ya ghafla amekua hana tena hamu ya kufanya nae mapenzi hata akiwa nae utupu chumbani, hali ambayo sio ya kawaida kabisa kwa sababu hana tatizo lolote la kiafya na ni mtu wa mazoezi.

Kwa dalili hizi moja kwa moja tumeona inawezekana ikawa huenda ana kitu tofauti kinachomsababishia hali hiyo. Na katika kujaribu kuuliza kwa mtu mmoja mwenye kufahamu mambo mengi kidogo, aliweka tiki pia kua dalili hizo zinakuaga ni za mtu mwenye jini mahaba.

Sasa lengo la uzi huu ni kutaka kufahamu zaidi kuhusu jini huyu mahaba, yani namna ya kumtoa na kuweza kujikinga nae wakati mwingine. NATANGULIZA SHUKRANI
Tafuta beberu la mbuzi lisilo na kwato kwenye miguu ili ni kutibu kijana hilo tatizo lako. Natambua fika mhanga ni wewe, na siyo huyo rafiki yako.
 
Kuna rafiki yangu amekutwa au naweza kusema anasumbuliwa na jambo ambalo dalili zake zinaonyesha kua huenda akawa na jini mahaba ndani yake. Kwaio ameniombea kupitia jukwaa hili la ma great thinkers niweze kumuulizia jambo hili.

Dalili zenyewe ambazo kwa maelezo yake ameziona ni kama zinaendana na mtu mwenye jini mahaba ni pamoja na KUOTA AKIFANYA MAPENZI na kubwa zaidi KUPOTEZA HAMU YA KUFANYA MAPENZI katika maisha yake ya kawaida. Na hili la pili sasa ndo limepelekea hali kua ya wasiwasi mpaka kufikia kuniomba kuja kwenu wajuzi wa mambo kuulizia swala hili.

Jamaa stori yake huko nyuma ni kua amewai kua kwenye mahusiano na wanawake watatu nyakati tofauti tofauti, na wote sababu za kuachana nao ni kuwachoka na kutowahitaji tena muda mchache tu baada ya kukutana nao kimwili kwa mara mbili au tatu tu.

Nyakati hizo za nyuma alikua akihisi huenda alikua hajatokea kuwapenda ndomana pengine alikua akiwachoka haraka na kutowahitaji tena ila ni mpaka sasa ambapo yupo kwenye mahusiano na mwanamke mwingine ambae yeye anadai anampenda lakini katika hali ya ghafla amekua hana tena hamu ya kufanya nae mapenzi hata akiwa nae utupu chumbani, hali ambayo sio ya kawaida kabisa kwa sababu hana tatizo lolote la kiafya na ni mtu wa mazoezi.

Kwa dalili hizi moja kwa moja tumeona inawezekana ikawa huenda ana kitu tofauti kinachomsababishia hali hiyo. Na katika kujaribu kuuliza kwa mtu mmoja mwenye kufahamu mambo mengi kidogo, aliweka tiki pia kua dalili hizo zinakuaga ni za mtu mwenye jini mahaba.

Sasa lengo la uzi huu ni kutaka kufahamu zaidi kuhusu jini huyu mahaba, yani namna ya kumtoa na kuweza kujikinga nae wakati mwingine. NATANGULIZA SHUKRANI
Aende kanisani akasali kwa mchungaji katunzi eagt city center njia ya mbagala Ata aki Google pastor Florian katunzi atapata maelekezo ya kanisa lilipo happy atapona tena Bure kabisa, onyo usiende kwa mitume na managing.
 
Mbona kama ni WEWE, c unatumia jina FEKI,hofu ya nini?

USHAURI
Nenda kwa watumishi wa Mungu,wale wa KWELI utaombewa ,na kama una IMANI, hilo tatizo litaisha

Kama upo Arusha ,fika Kanisa la VUKA JORDAN ,kwa Askofu Elibariki Sumbe..Kanisa lipo Kisongo kwa mbele kidogo,kituo kinaitwa MWAYA or WAYA,(jina limenichanganya kidogo)

Kuna Magari yapo kituo cha Kilombero to Waya moja kwa moja.Ibada ni kila Jumatano kuanzia saa 9jioni na Kila Jumapili saa 2 asubuhi
 
Kuamini kuna jini mahaba ni akili za kimaskini na ujinga.
 
Majini yapo kwa wakristo kama unabisha angalia kanisani wangapi wanatolewa majini
Wale wameoa wake wa Kiislam waliowatupia majini na wengine ni Waislam wanakwenda kutolewa majini baada ya kushindikana kutolewa misikitini
 
Wale wameoa wake wa Kiislam waliowatupia majini na wengine ni Waislam wanakwenda kutolewa majini baada ya kushindikana kutolewa misikitini
Enyi wagalatia msio na akili ni nani aliyewaroga?
 
Kuna rafiki yangu amekutwa au naweza kusema anasumbuliwa na jambo ambalo dalili zake zinaonyesha kua huenda akawa na jini mahaba ndani yake. Kwaio ameniombea kupitia jukwaa hili la ma great thinkers niweze kumuulizia jambo hili.

Dalili zenyewe ambazo kwa maelezo yake ameziona ni kama zinaendana na mtu mwenye jini mahaba ni pamoja na KUOTA AKIFANYA MAPENZI na kubwa zaidi KUPOTEZA HAMU YA KUFANYA MAPENZI katika maisha yake ya kawaida. Na hili la pili sasa ndo limepelekea hali kua ya wasiwasi mpaka kufikia kuniomba kuja kwenu wajuzi wa mambo kuulizia swala hili.

Jamaa stori yake huko nyuma ni kua amewai kua kwenye mahusiano na wanawake watatu nyakati tofauti tofauti, na wote sababu za kuachana nao ni kuwachoka na kutowahitaji tena muda mchache tu baada ya kukutana nao kimwili kwa mara mbili au tatu tu.

Nyakati hizo za nyuma alikua akihisi huenda alikua hajatokea kuwapenda ndomana pengine alikua akiwachoka haraka na kutowahitaji tena ila ni mpaka sasa ambapo yupo kwenye mahusiano na mwanamke mwingine ambae yeye anadai anampenda lakini katika hali ya ghafla amekua hana tena hamu ya kufanya nae mapenzi hata akiwa nae utupu chumbani, hali ambayo sio ya kawaida kabisa kwa sababu hana tatizo lolote la kiafya na ni mtu wa mazoezi.

Kwa dalili hizi moja kwa moja tumeona inawezekana ikawa huenda ana kitu tofauti kinachomsababishia hali hiyo. Na katika kujaribu kuuliza kwa mtu mmoja mwenye kufahamu mambo mengi kidogo, aliweka tiki pia kua dalili hizo zinakuaga ni za mtu mwenye jini mahaba.

Sasa lengo la uzi huu ni kutaka kufahamu zaidi kuhusu jini huyu mahaba, yani namna ya kumtoa na kuweza kujikinga nae wakati mwingine. NATANGULIZA SHUKRANI
Pole sana kwa changamoto hiyo.

Kuota ndoto ukifanya mapenzi si tatzo na wala haina shida.

Shida ni nyie kuhusianisha ndoto hyo na imani za viumbe vya dhahania.

Habari ya jini ni hadithi tu za watu tena za uongo zisidho na uhalisia

"Ukiacha hisia na kuwaza habari za Mungu, utaona jinsi Mungu anavyopotea na ndugu zake wengine wasioonekana akiwepo jini. "
 
Pole sana kwa changamoto hiyo.

Kuota ndoto ukifanya mapenzi si tatzo na wala haina shida.

Shida ni nyie kuhusianisha ndoto hyo na imani za viumbe vya dhahania.

Habari ya jini ni hadithi tu za watu tena za uongo zisidho na uhalisia

"Ukiacha hisia na kuwaza habari za Mungu, utaona jinsi Mungu anavyopotea na ndugu zake wengine wasioonekana akiwepo jini. "
naona jini unamjibu binadamu. ushindwe kwa JINA LA YESU KRISTO.
 
Mbona kama ni WEWE, c unatumia jina FEKI,hofu ya nini?

USHAURI
Nenda kwa watumishi wa Mungu,wale wa KWELI utaombewa ,na kama una IMANI, hilo tatizo litaisha

Kama upo Arusha ,fika Kanisa la VUKA JORDAN ,kwa Askofu Elibariki Sumbe..Kanisa lipo Kisongo kwa mbele kidogo,kituo kinaitwa MWAYA or WAYA,(jina limenichanganya kidogo)

Kuna Magari yapo kituo cha Kilombero to Waya moja kwa moja.Ibada ni kila Jumatano kuanzia saa 9jioni na Kila Jumapili saa 2 asubuhi
Asante kwa maelekezo
 
Back
Top Bottom