The Loyalty King
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 1,298
- 2,124
Hauwezi kuyapata kwanza sio kitu cha kuombea na isije kuthubutu ya kukute ni hatari kubwaNje ya mada kuu. Kipindi nabalehe na sina uwezo wa kukamata mademu nilikuwa naombea sana nopate huu ugonjwa wa kuwa na jini mahaba ila mikawa hata siyapati
Mara nyingi haya mambo huwa kuta watu wanaotokea ktk familia zenye mzizi wa mambo hayo wengi wa watu wanao patwa na hayo matatizo mababu na mabibi zao walikuwa na Hiyo asili