Kingfish23
JF-Expert Member
- Aug 22, 2022
- 490
- 485
Mkuu umemaliza kijana ashindwe kujiongeza tu. Kwa hiyo mkiwa na rafiki yako, huwa mnaka uchi??.
. Anyway Fanya tests kama alivyo sema mkuu Carlos The Jackal
- Kama itakuwa normal basi, refer the Tx below:-
. Prednisolone 20mg BID * 5/7
. Doxy 100mg bid * 5 /7
. Megly 400mg tds * 5 /7
. Cefixime 400mg PO OD * 7 /7
. Tetmosol soap
Bro huyu now wewe ama rafiki yako...mbona unachanganya...umefanya vipimo vyote juu ni rafiki yako...Vipimo vyote nimefanya, lakn watu wananiambia changamoto itakuwa ni maji, maana n mgeni sehem hyo
Acha kumfokea mgonjwaKwamba Rafiki yako akuonyeshe uume wake wewe umekuwa mkewe au daktari?
Kwanini kama unaumwa wewe usiseme ni wewe ili members hapa wenye utaalamu waone namna ya kukusaidia?,Jina na I'd yako yenyewe unatumia FAKE,Why uogope?
Any way
Hizo ni dalili za Upungufu wa Kinga Mwilini (UKIMWI)
Kwahiyo ni wewe au rafiki yako??Vipimo vyote nimefanya, lakn watu wananiambia changamoto itakuwa ni maji, maana n mgeni sehem hyo
Si ulisema ni rafiki yako!!!Vipimo vyote nimefanya, lakn watu wananiambia changamoto itakuwa ni maji, maana n mgeni sehem hyo
Ni wewe sio rafiki yakoWakuu naombeni ushauri,
Kuna rafiki yangu anatokwa na vipele kama hivi, shidah ni nn , maana anasema vilianza kumuwasha mapajani vikafika mpaka uumeni na nyuma kwenye makalio vimemtokea, shidah ni nini?, na amesha enda hospital amepewa dawa za fungus na sindano ya aleji lakin wapi?
Msaada please
View attachment 3005801View attachment 3005803
Kwa hiyo ni wewe sio rafiki yako?? Muwage wawazi jamaniVipimo vyote nimefanya, lakn watu wananiambia changamoto itakuwa ni maji, maana n mgeni sehem hyo
Sasa mkuu umeshakufa utamuonea aibu nan ? Wakati yako ya duniani yameshakuishiaa? ππ€£tuwe na utaratibu wa kunyoa mavuzi
coz ukiachana na ugonjwa kuna kufa ghafla sasa duhhh
Weka Picha ya UUME madaktari wa JF tufanye diagnosis vizuri ndio tukupe Jibu, Sawa KOMWEHakuna lolote.
Kuna kitu kibaya unakula au unakunywa.
sjajua dini yako lakin kuna waosha maiti wanakinyaa sanaSasa mkuu umeshakufa utamuonea aibu nan ? Wakati yako ya duniani yameshakuishiaa? ππ€£
Yeah hapo ni uhakika mkuu....Mkuu umemaliza kijana ashindwe kujiongeza tu
Tuma sasa garama ya Consultation mkuu.. πππYan full professionalism
Hata mie huwa natoa ushauri na elimu juu ya masuala ya Ujenzi bure...Tuma sasa garama ya Consultation mkuu.. πππ
Ni Kichwa hichi au maana nimeuza simu so nimeshindwa kukushauriWakuu naombeni ushauri,
Kuna rafiki yangu anatokwa na vipele kama hivi, shidah ni nn , maana anasema vilianza kumuwasha mapajani vikafika mpaka uumeni na nyuma kwenye makalio vimemtokea, shidah ni nini?, na amesha enda hospital amepewa dawa za fungus na sindano ya aleji lakin wapi?
Msaada please
View attachment 3005801View attachment 3005803