Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
Mbona uume hujaweka picha yake sasa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
dah🤔🤔🤔Mbona uume hujaweka picha yake sasa?
Sasa tutashauri nini??dah🤔🤔🤔
kwahiyo mpaka uone rungu ndo utoe ushaur kwanini usi-assume tu alaf ukatoa ushaurSasa tutashauri nini??
Karibu sanaBasi ngoja nikupe kazi sasa,
kumbe ni wewe alafu unataka kumsingizia Rafiki.Vipimo vyote nimefanya, lakn watu wananiambia changamoto itakuwa ni maji, maana n mgeni sehem hyo
Kumbe sio rafiki yako n ww? Pole mkuuVipimo vyote nimefanya, lakn watu wananiambia changamoto itakuwa ni maji, maana n mgeni sehem hyo
Mbona jamaa yangu tena 😂😂😂😂ok sawa ila mada ilikuwa jamaa yako anyoe mavuzi achana mambo ya maiti inaoshwaje.
Atoe msitu....usafi muhim bila kujali umri
Kumbe ni wewe mwenyewe.Vipimo vyote nimefanya, lakn watu wananiambia changamoto itakuwa ni maji, maana n mgeni sehem hyo
Sisi wote ni wa Mwenyezi Mungu na kwake ndiyo marajeo.Wakuu naombeni ushauri,
Kuna rafiki yangu anatokwa na vipele kama hivi, shidah ni nn , maana anasema vilianza kumuwasha mapajani vikafika mpaka uumeni na nyuma kwenye makalio vimemtokea, shidah ni nini?, na amesha enda hospital amepewa dawa za fungus na sindano ya aleji lakin wapi?
Msaada please
View attachment 3005801View attachment 3005803
Mkuu sio mim wala uzi sio wangu anagalia vzr alieleta uzi 😂wewe umeandika
Rafiki yangu anasumbuliwa na vipele hivi. Vilianzia mapajani vimefika mpaka kwenye uume
lakin saiz unaving'ang'ania vipele ni vyako.....
naomba huu uzi upelekwe kwa matahira
si ndo ukadandia treni mbele ili uzi uwe wakwakoMkuu sio mim wala uzi sio wangu anagalia vzr alieleta uzi
Hapa akajichanganya kuwa vipimo vyote nimefanyaVipimo vyote nimefanya, lakn watu wananiambia changamoto itakuwa ni maji, maana n mgeni sehem hyo
Wewe si ulisema rafiki yako? Ona sasa ulivyojichanganya 😂Vipimo vyote nimefanya, lakn watu wananiambia changamoto itakuwa ni maji, maana n mgeni sehem hyo