Nyafwili
JF-Expert Member
- Nov 27, 2023
- 4,240
- 10,561
Basi ngoja nikupe kazi sasa,Hata mie huwa natoa ushauri na elimu juu ya masuala ya Ujenzi bure...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi ngoja nikupe kazi sasa,Hata mie huwa natoa ushauri na elimu juu ya masuala ya Ujenzi bure...
Heading rafiki yangu,content nimefanya vipimo,acha kujuficha,huyo rafiki yako wakukubali kupigwa picha za hadi uume si ni balaa hili,kaka yangu hawezi ona uume wangu ,vipi rafiki? Au mna mikakati ya siri na huyo rafiki yako.Vipimo vyote nimefanya, lakn watu wananiambia changamoto itakuwa ni maji, maana n mgeni sehem hyo
JF burudani🤣😂Mambo mengine aseeh
Sasa mbona unasema rafiki yako?acha kusingizia rafiki yako wa watuVipimo vyote nimefanya, lakn watu wananiambia changamoto itakuwa ni maji, maana n mgeni sehem hyo
Wakuu naombeni ushauri,
Kuna rafiki yangu anatokwa na vipele kama hivi, shidah ni nn , maana anasema vilianza kumuwasha mapajani vikafika mpaka uumeni na nyuma kwenye makalio vimemtokea, shidah ni nini?, na amesha enda hospital amepewa dawa za fungus na sindano ya aleji lakin wapi?
Msaada please
View attachment 3005801View attachment 3005803
😂😂😂😂😂😂😂.Vipimo vyote nimefanya, lakn watu wananiambia changamoto itakuwa ni maji, maana n mgeni sehem
Kuna rafiki yangu anatokwa na vipele kama hivi, shidah ni nn , maana anasema vilianza kumuwasha mapajani vikafika mpaka uumeni na nyuma kwenye
Scabies hizoWakuu naombeni ushauri,
Kuna rafiki yangu anatokwa na vipele kama hivi, shidah ni nn , maana anasema vilianza kumuwasha mapajani vikafika mpaka uumeni na nyuma kwenye makalio vimemtokea, shidah ni nini?, na amesha enda hospital amepewa dawa za fungus na sindano ya aleji lakin wapi?
Msaada please
View attachment 3005801View attachment 3005803
Vipimo vyote nimefanya, lakn watu wananiambia changamoto itakuwa ni maji, maana n mgeni sehem hyo
Asante, ntamfikishia
Me ni muislam na ninavyojua me maiti ya kiislamu inaoshwa uku ikiwa imefunikwa shuka na waoshaji wamevaa glavusjajua dini yako lakin kuna waosha maiti wanakinyaa sana
Pole sna..nenda hospitalWakuu naombeni ushauri,
Kuna rafiki yangu anatokwa na vipele kama hivi, shidah ni nn , maana anasema vilianza kumuwasha mapajani vikafika mpaka uumeni na nyuma kwenye makalio vimemtokea, shidah ni nini?, na amesha enda hospital amepewa dawa za fungus na sindano ya aleji lakin wapi?
Msaada please
View attachment 3005801View attachment 3005803
Siyo rafiki yako tena ???Vipimo vyote nimefanya, lakn watu wananiambia changamoto itakuwa ni maji, maana n mgeni sehem hyo
Hiyo siyo scabies kweli? Vinawasha sana? Kuna vichawa vidogo kabisa vinaishi ndani ya ngozi. Watu wanasema ni ukurutu lakini kimsingi ni chawa wadogo. Wanaambukiza sana na kuwaondoa ni tricky kidogo kwa sababu mayai yake ynabaki kwenye nguo na mashuka. Umeshajipaka dawa inatwa Scaboma? Jaribu hiyo na mashuka yote yafue halafu yape likizo kwa muda ili kama kuna mayai yafe.Wakuu naombeni ushauri,
Kuna rafiki yangu anatokwa na vipele kama hivi, shidah ni nn , maana anasema vilianza kumuwasha mapajani vikafika mpaka uumeni na nyuma kwenye makalio vimemtokea, shidah ni nini?, na amesha enda hospital amepewa dawa za fungus na sindano ya aleji lakin wapi?
Msaada please
View attachment 3005801View attachment 3005803
Na vikifika huko itabidi atafute mtu wa kumkuna kuna.Hivyo visipopata tiba vitaenda kusambaa mwili mzima na kwa mazingira vilipo vinaelekea matakoni.
Mwambie afanye tiba mapema asiposikia atakuja kipiga picha .......
🤣🤣🤣🤣 Kumbe ni wewe mwenyeweVipimo vyote nimefanya, lakn watu wananiambia changamoto itakuwa ni maji, maana n mgeni sehem hyo
juu umesema ni rafiki yako ila hapa umejichanganya tayari.Vipimo vyote nimefanya, lakn watu wananiambia changamoto itakuwa ni maji, maana n mgeni sehem hyo
ok sawa ila mada ilikuwa jamaa yako anyoe mavuzi achana mambo ya maiti inaoshwaje.Me ni muislam na ninavyojua me maiti ya kiislamu inaoshwa uku ikiwa imefunikwa shuka na waoshaji wamevaa glavu
Kumbe ni wewe sio rafiki yaki tena?😂Vipimo vyote nimefanya, lakn watu wananiambia changamoto itakuwa ni maji, maana n mgeni sehem hyo