Mzee Kimamingo
JF-Expert Member
- Mar 31, 2024
- 1,861
- 4,462
😀tuwe na utaratibu wa kunyoa mavuzi
coz ukiachana na ugonjwa kuna kufa ghafla sasa duhhh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀tuwe na utaratibu wa kunyoa mavuzi
coz ukiachana na ugonjwa kuna kufa ghafla sasa duhhh
SIMBA iongeze kwenye list 😂😂😂Acha kula au kunywa mauchafu na matakataka.
Soda inasababisha mrundikano wa masukari guru kwenye damu, sumu, uchafu, tindikali nk... lazima upate mapele na MAJIPU a.k.a MANUNDU.
KAHAWA, MAFUTA, BIA, MAYAI YA KISASA, KUKU WA KISASA, CHIPUSI ZA MAFUTA YA TRANSFOMA, BLUEBAND, JUISI, FLOURIDE, CHLORINE, MERCURY, HEAVY METALS.
PARASITES, MINYOO KWENYE UTUMBO.
MACHANJO YA CORONA, ANTIBIOTICS.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Alafu mtoa mada hayo mapicha ni Yako usikatae
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa mkuu umeshakufa utamuonea aibu nan ? Wakati yako ya duniani yameshakuishiaa? [emoji23][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unawashwa ??? Na kama unawashwa je ukijikuna unapata raha ???
😂 Ni kweli au nimesema uwongo apo?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
🪡🪡nakazia hlf aache kusingizia wenzake wakati mwenye shida ni yeye kumbaffOngezea hapo anyoe mavuzi.
Unaponaje na haya yote hurukiAcha kula au kunywa mauchafu na matakataka.
Soda inasababisha mrundikano wa masukari guru kwenye damu, sumu, uchafu, tindikali nk... lazima upate mapele na MAJIPU a.k.a MANUNDU.
KAHAWA, MAFUTA, BIA, MAYAI YA KISASA, KUKU WA KISASA, CHIPUSI ZA MAFUTA YA TRANSFOMA, BLUEBAND, JUISI, FLOURIDE, CHLORINE, MERCURY, HEAVY METALS.
PARASITES, MINYOO KWENYE UTUMBO.
MACHANJO YA CORONA, ANTIBIOTICS.
Ni weweWakuu naombeni ushauri,
Kuna rafiki yangu anatokwa na vipele kama hivi, shidah ni nn , maana anasema vilianza kumuwasha mapajani vikafika mpaka uumeni na nyuma kwenye makalio vimemtokea, shidah ni nini?, na amesha enda hospital amepewa dawa za fungus na sindano ya aleji lakin wapi?
Msaada please
View attachment 3005801View attachment 3005803
Huyu ni wew bro..yaan rafik yako akutumie picha kama hiz broWakuu naombeni ushauri,
Kuna rafiki yangu anatokwa na vipele kama hivi, shidah ni nn , maana anasema vilianza kumuwasha mapajani vikafika mpaka uumeni na nyuma kwenye makalio vimemtokea, shidah ni nini?, na amesha enda hospital amepewa dawa za fungus na sindano ya aleji lakin wapi?
Msaada please
View attachment 3005801View attachment 3005803
Si useme tu ni wewe aisee!!Vipimo vyote amefanya, lakn watu wanamwambia changamoto itakuwa ni maji, maana n mgeni sehem hyo
BKOOD INF MKUU AKAPIGE SINDANO 5 ZA...AKIFIKA HOSPT WATAMWAMBIAWakuu naombeni ushauri,
Kuna rafiki yangu anatokwa na vipele kama hivi, shidah ni nn , maana anasema vilianza kumuwasha mapajani vikafika mpaka uumeni na nyuma kwenye makalio vimemtokea, shidah ni nini?, na amesha enda hospital amepewa dawa za fungus na sindano ya aleji lakin wapi?
Msaada please
View attachment 3005801View attachment 3005803