Rafiki yangu anasumbuliwa na vipele hivi. Vilianzia mapajani vimefika mpaka kwenye uume

Ni Aina za fungus, atumie dawa ya kupaka Aina ya skinderm na vidonge vya kunywa Aina ya Grisofruvin ni tiba zinazoendana pamoja.
 
Huyu mjomba bana😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…