KANYIMBI
JF-Expert Member
- Nov 6, 2011
- 2,167
- 4,374
Ndio wakafanye makubaliano kama Mbegu zikachukuliwe Kule Muhimbili, au Mume wa huyo Mke amgegede hadi awashikie ujauzito wao.Mbegu zitaingiaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio wakafanye makubaliano kama Mbegu zikachukuliwe Kule Muhimbili, au Mume wa huyo Mke amgegede hadi awashikie ujauzito wao.Mbegu zitaingiaje?
Yes...Siyo lazima wafanye mapenzi though kama mke wa huyo jamaa hataki.Yani wanandoa ambao hawajafanikiwa kupata mtoto,
Wamuone rafiki yako ili huyo Mume afanye nae Mapenzi kwa lengo awasaidie kupata Mtoto.
She has her personal reasons.Vipi shida yake ni kuzaa tu na kugawa mtoto, je ana mtoto mwingine? Na pia ikitokea mtu akahitaji kuanzisha nae familia kabisa na sio huo u surrogate napo vipi yuko tayar..?!
Mwisho, nini sababu ya yeye kuchukua maamuzi hayo? Sabu ni nadra sana kwa mwanamke kua na uamuzi huo mara nyingi tunaona ni wanaume pekee ndiyo wana hii tabia ya mikataba ya kuzaliwa watoto na mwanamke bila ndoa wala mahusiano rasmi na kisha kuwachukua.
Atakuwa She -MaleRafiki yako anatafuta mwanaume au mwanamke wa kumzalia mtoto....
Huyo rafiki yako yeye ni jinsia gani sasa.
Ngoja nikaanue nguo kwanza zisipauke jua kali sana leo
Nadhani anajaribu itakayo fanya kaziAtakuwa She -Male
AahahAhhahAAaah. Huyo anajiuza kijanja anatafuta ridhiki Tu hakuna jipya hapo. Mimba watu wanapga kitaa tena mademu wenyewe ndo wanataka na hakuna kudaiwa gari wala nyumba na mtoto unachukuaYes unamlipa vizuri na pia una haki kufuatilia mwenendo wa mimba.
Anahitaji nyumba na gari.
Mbona iko sawa, wewe ndio huelewi....kuna ukakasi kwenye maelezo yako, una rafiki yako anatafuta mwanamke au mwanaume awazalie mtoto?
uyo rafiki yako akipata mwanaume atamzalia na pia akipata mwanamke atamzalia sijawai kuona jinsia ya ivyo uyo rafiki yako njinsia yake ya maajabu au mi ndio sielewi
Samahani mkuu, unajua maana ya surrogacy?AahahAhhahAAaah. Huyo anajiuza kijanja anatafuta ridhiki Tu hakuna jipya hapo. Mimba watu wanapga kitaa tena mademu wenyewe ndo wanataka na hakuna kudaiwa gari wala nyumba na mtoto unachukua
Hakuna hapo ulipolazimishwa mkuu.Mmmmh kwanini Mimi nisiamini huyo mtu anatafuta kitonga cha maisha sa ameamua kuztafuta mtu WA kumuhudumia kijanja Tu.
je akiwa ni Malaya WA kutupwa yaani mwanangu awe na mama Malaya.
pia kwanini Mimi nisiamini ni mtindo mpya WA kujiuza kijanja Ila mtu anakuwa Tyr kubeba mimba.
iweNI makini wanaume si kila mwanamke ni WA kumlala upate mtoto utapata magundu mikosi ya kufa mtu mi yangu ni hayo Tu.
Hakuna hapo ulipolazimishwa mkuu.Mmmmh kwanini Mimi nisiamini huyo mtu anatafuta kitonga cha maisha sa ameamua kuztafuta mtu WA kumuhudumia kijanja Tu.
je akiwa ni Malaya WA kutupwa yaani mwanangu awe na mama Malaya.
pia kwanini Mimi nisiamini ni mtindo mpya WA kujiuza kijanja Ila mtu anakuwa Tyr kubeba mimba.
iweNI makini wanaume si kila mwanamke ni WA kumlala upate mtoto utapata magundu mikosi ya kufa mtu mi yangu ni hayo Tu.
Mpango tu wa pesa, si vinginevyo!She has her personal reasons.