Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Yes unamlipa vizuri na pia una haki kufuatilia mwenendo wa mimba.
Anahitaji nyumba na gari.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes unamlipa vizuri na pia una haki kufuatilia mwenendo wa mimba.
Anahitaji nyumba na gari.
Ni business bro, umewahi kuona wapi free surrogacy bila maslahi yoyote kwa mzaa mtoto?Swali la mwisho mkuu. Yeye anafaidika nini katika hili. Au anafanya surrogacy for business kwamba ntamlipa
Mtoto hasadifu Tabia bro,Mmmmh kwanini Mimi nisiamini huyo mtu anatafuta kitonga cha maisha sa ameamua kuztafuta mtu WA kumuhudumia kijanja Tu.
je akiwa ni Malaya WA kutupwa yaani mwanangu awe na mama Malaya.
pia kwanini Mimi nisiamini ni mtindo mpya WA kujiuza kijanja Ila mtu anakuwa Tyr kubeba mimba.
iweNI makini wanaume si kila mwanamke ni WA kumlala upate mtoto utapata magundu mikosi ya kufa mtu mi yangu ni hayo Tu.
I agree with u[emoji1635][emoji1635]Mmmmh kwanini Mimi nisiamini huyo mtu anatafuta kitonga cha maisha sa ameamua kuztafuta mtu WA kumuhudumia kijanja Tu.
je akiwa ni Malaya WA kutupwa yaani mwanangu awe na mama Malaya.
pia kwanini Mimi nisiamini ni mtindo mpya WA kujiuza kijanja Ila mtu anakuwa Tyr kubeba mimba.
iweNI makini wanaume si kila mwanamke ni WA kumlala upate mtoto utapata magundu mikosi ya kufa mtu mi yangu ni hayo Tu.
Aiseee.... asante studio. Ngoja nikae kimyaaa.....Yes unamlipa vizuri na pia una haki kufuatilia mwenendo wa mimba.
Anahitaji nyumba na gari.
uyo rafiki yako akipata mwanaume atamzalia na pia akipata mwanamke atamzalia sijawai kuona jinsia ya ivyo uyo rafiki yako njinsia yake ya maajabu au mi ndio sielewi
Hapana, sio lazima kufanyika kwa tendo, Zipo njia zingine zitumikazo kama IVF.Yaan namnyandua mm ama
Surrogate huwa mara nyingi ni mwanamke..... Yaani wewe mwanaume na mke wako kama hamna uwezo wa kubeba ujauzito, yeye anajitilea tumbo lake kubeba kijusi chenu ambacho atapandikizwa maabara bila sexual intercourse.Rafiki yako anatafuta mwanaume au mwanamke wa kumzalia mtoto....
Huyo rafiki yako yeye ni jinsia gani sasa.
Ngoja nikaanue nguo kwanza zisipauke jua kali sana leo
Kamgegede hapo plus IST na mjengo uwe tayari kutoaBinti yetu tunampata lini? [emoji23]
Unawania wazuri wewe? Wamelala sinza na kinondoni makaburini wewe.miss pablo uchagan mahari inaanzia ngapi?
Ila mmhh kwa uzuri wako huoo + walivyokusomesha[emoji23][emoji23]
Hapo nitapigwa[emoji23][emoji23][emoji23]
Dawa ya hao wachaga naijua mimi Carlos
Jielimishe kwanza kuhusu kitu kinaitwa surrogacy. Ni kigeni hapa bongo maana sio kawaida.kuna ukakasi kwenye maelezo yako, una rafiki yako anatafuta mwanamke au mwanaume awazalie mtoto?
uyo rafiki yako akipata mwanaume atamzalia na pia akipata mwanamke atamzalia sijawai kuona jinsia ya ivyo uyo rafiki yako njinsia yake ya maajabu au mi ndio sielewi
Ndiyo maana yake, na lazima afanye hivyo kwa mkataba wa kuandika mahakamani. Lakini jee mahakama zetu zinatambua mikataba ya aina hiyo?Unamaanisha "surrogate mother" si ndio ama?
Hapana sio kulala nae. Wanakwenda maabara. Yai la mwanamke linachukuliwa mbegu ya mwanaume vinaunganishwa kwa vifaa vya maabara kisha huyo mwanamke anaejitolea anapandikizwa kwa kutumia kifaa maalumu ukeni kwake. Hakuna muingiliano wa kimwiliMwanamke ambaye huenda kaolewa au hajaolewa ,LAKINI HANA UWEZO WA KUZAA.
Hivo huyo Mwanamke, anakubaliana na Mumewe
Kua "Mume wewe nenda ulale na fulani, azae, tuchukie mtoto"
Haujaelewa tu??? Ukiona hujaelewa, ujue umeshafeli.
AiseeYes unamlipa vizuri na pia una haki kufuatilia mwenendo wa mimba.
Anahitaji nyumba na gari.
Mahakama inaweza kuwa kizuizi kama wakiwa na mambo za kizamani.Ndiyo maana yake, na lazima afanye hivyo kwa mkataba wa kuandika mahakamani. Lakini jee mahakama zetu zinatambua mikataba ya aina hiyo?
Najua kwa sasa India biashara hiyo imeshamiri sana, ila bei ni kubwa kwa watu wa kawaida.
Kwa hiyo yeye ni mwanamke na huto huyo ni mwanaume na vina fanya kazi vyoteSurrogate huwa mara nyingi ni mwanamke..... Yaani wewe mwanaume na mke wako kama hamna uwezo wa kubeba ujauzito, yeye anajitilea tumbo lake kubeba kijusi chenu ambacho atapandikizwa maabara bila sexual intercourse.
Anapandikizwa embryo yaani kijusi baada ya mbegu ya mwanaume na yai la mwanamke kuunganishwa kwenye zile tubes za maabara kisha kijusi kutokea ndio wanachukua kifaa maalumu anaingizwa ukeni kisha kupandikizwa kile kijusi kwenye mji wa uzazi na mimba inatunga kama kawa.Mbegu zitaingiaje?
Sasa we nae mtoto hapo si atakuwa wa huyo mwanaume na mwanamke anae lala nae au basi umeamua kutokuelewa mkuu?!Yani wanandoa ambao hawajafanikiwa kupata mtoto,
Wamuone rafiki yako ili huyo Mume afanye nae Mapenzi kwa lengo awasaidie kupata Mtoto.
Surrogacy haiendi hivyo.Yes...Siyo lazima wafanye mapenzi though kama mke wa huyo jamaa hataki.
Anaweza chukua sperms za mumewe akamuekea huyo dada.Then pia wana haki ya kufuatilia mwenendo wa mimba.