Rafiki yangu anatafuta mtu wa kumzalia mtoto kwa makubaliano maalum

Rafiki yangu anatafuta mtu wa kumzalia mtoto kwa makubaliano maalum

Rafiki yako anatafuta mwanaume au mwanamke wa kumzalia mtoto....
Huyo rafiki yako yeye ni jinsia gani sasa.
Ngoja nikaanue nguo kwanza zisipauke jua kali sana leo
Mkuu kuna wanawake huoa mabinti Kisha hao mabinti(waolewaji) huzalishwa na wanaume na watoto wanakuwa ni wa yule Mama mioaji. Mara ipo Sana hio kwenye jamii ya wakurya, "nyumba ntobhu"
 
Kwanini asibebe mimba mwenyewe?

Habari,

Nina rafiki yangu anataka kuwa surrogate mother.

Kama kuna mwanaume au mwanamke au wanandoa wanahitaji mtoto, then yuko tayari kuwazalia kwa makubaliano maalum.

Mtoto akishazaliwa then mhusika anamchukua mtoto wake..

Kindly PM kama utahitaji .
 
Kwa Tanzania bado haijaanza kufanya kazi mpaka pale itakapoanza kuwekwa kisheria.

Lazima ianzishwe sheria kwanza.

Wananchi waamue kuanzia kisha iundiwe sheria.

Sijajua jirani Kenya kama wao walishaanzisha maana nawaaminiaga wale.
 
Kila kitu personal reason ,personal reason!! Ni zip hizo ambazo huwez kuweka waz?? Hapo kuna ukakasi!!
Sababu hapo ni kupata nyumba na gari, kwanini anataka nyumba na gari ndio personal reasons sasa,achana nazo hazikuhusu.
 
Habari,

Nina rafiki yangu anataka kuwa surrogate mother.

Kama kuna mwanaume au mwanamke au wanandoa wanahitaji mtoto, then yuko tayari kuwazalia kwa makubaliano maalum.

Mtoto akishazaliwa then mhusika anamchukua mtoto wake..

Kindly PM kama utahitaji .
Huyo rafiki yako ana akili timamu, yaani anafaa kuwa Mama wa mtu? Je, aliwahi kuwa changudoa huko nyuma.....nauliza hivi kwa sababu si vizuri kuzaa na mwanamke aliye na sifa za kijinga kisha mtoto akaja kurithi tabia ya Mama yake, haumtendei mtoto haki.
 
Mwanamke ambaye huenda kaolewa au hajaolewa ,LAKINI HANA UWEZO WA KUZAA.


Hivo huyo Mwanamke, anakubaliana na Mumewe

Kua "Mume wewe nenda ulale na fulani, azae, tuchukie mtoto"



Haujaelewa tu??? Ukiona hujaelewa, ujue umeshafeli.
Si hivyo. Surrogate mother ni yule anapandikizwa Mimba ambayo imetokana na sperm na yai la mke na mume ambapo mke hawezi shika mimba au hataki kubeba Mimba. Mfano baadhi ya watoto wa Kim kardashian.
 
kuna ukakasi kwenye maelezo yako, una rafiki yako anatafuta mwanamke au mwanaume awazalie mtoto?

uyo rafiki yako akipata mwanaume atamzalia na pia akipata mwanamke atamzalia sijawai kuona jinsia ya ivyo uyo rafiki yako njinsia yake ya maajabu au mi ipo sana
 
Jamanieee huu ni mtego wa kujikwamua kimaisha msisubutu na bado atawahangaisha na huyo mtoto!Rafiki yako huyo mleta mada ni Bikra?
 
Jamanieee huu ni mtego wa kujikwamua kimaisha msisubutu na bado atawahangaisha na huyo mtoto!Rafiki yako huyo mleta mada ni Bikra?
Unavyosema atawangaisha na mtoto, huyo dada unamjua au unaongea tu?

Pia , ubikra unaingiaje hapa?

Sometimes it is better mkae zenu tu kimya kuliko kujifanya wajuaji.
 
Huyo rafiki yako ana akili timamu, yaani anafaa kuwa Mama wa mtu? Je, aliwahi kuwa changudoa huko nyuma.....nauliza hivi kwa sababu si vizuri kuzaa na mwanamke aliye na sifa za kijinga kisha mtoto akaja kurithi tabia ya Mama yake, haumtendei mtoto haki.
We nae, huyo mtoto anakua siyo wa huyo dada..Yeye anawasaidia kubeba mbegu na yai kwenye mfuko wake wa uzazi, na huyo mtoto hamuhusu.

Wenzio huko juu wameelezea vizuri tu.
 
Yeye interest ya nini? Just kuwa surrogate au kuna kitu zaidi anataka hebu funguka zaidi
 
Mwanamke ambaye huenda kaolewa au hajaolewa ,LAKINI HANA UWEZO WA KUZAA.


Hivo huyo Mwanamke, anakubaliana na Mumewe

Kua "Mume wewe nenda ulale na fulani, azae, tuchukie mtoto"



Haujaelewa tu??? Ukiona hujaelewa, ujue umeshafeli.
Nadhani amemaanisha,Rafiki yake anataka "kuatamia" mayai ya watu wengine,akitotoa watoto waliotoa mayai wanachukua watoto wao.Wanamalizana kiivyo
 
kuna ukakasi kwenye maelezo yako, una rafiki yako anatafuta mwanamke au mwanaume awazalie mtoto?

uyo rafiki yako akipata mwanaume atamzalia na pia akipata mwanamke atamzalia sijawai kuona jinsia ya ivyo uyo rafiki yako njinsia yake ya maajabu au mi ndio sielewi
Tangazo halina shida. Lisome kwa lengo la kuelewa. Kimsingi anatafuta wanandoa (ke au me) ambao wanataka kupata mtoto nje ya wedlock.
 
Back
Top Bottom