Rafiki yangu anatafuta mtu wa kumzalia mtoto kwa makubaliano maalum

Rafiki yangu anatafuta mtu wa kumzalia mtoto kwa makubaliano maalum

Acha jazba..Hakuna sehemu ulikolazimishwa.
Narudia, Je, wewe ni changudoa mstaafu? Kama ni ndiyo tafadhali usijaribu kuwa a surrogate mother utamuharibia maisha huyu mtoto akija iga tabia yako kwani vya kurithi ni vibaya zaidi.
 
Narudia, Je, wewe ni changudoa mstaafu? Kama ni ndiyo tafadhali usijaribu kuwa a surrogate mother utamuharibia maisha huyu mtoto akija iga tabia yako kwani vya kurithi ni vibaya zaidi.
Mkuu kwani mimi nimekukosea nini?

Pia, kwanini unataka kuforce kwamba ni mimi wakati nimeshaelezea ni rafiki yangu.

Kausha basi wewe ni mtoto wa kiume haipendezi kuwa mlopokaji.
 
Habari,

Nina rafiki yangu anataka kuwa surrogate mother.

Kama kuna mwanaume au mwanamke au wanandoa wanahitaji mtoto, then yuko tayari kuwazalia kwa makubaliano maalum.

Mtoto akishazaliwa then mhusika anamchukua mtoto wake..

Kindly PM kama utahitaji .
Sikia lady Jay ni bora ungesema kabisa wasifu wako na tabia zako ili tujuwe kama unastahili kubeba ujauzito wetu/wangu
 
Mleta Mada na yeye hana uelewa wa jambo hili au tamaa ya nyumba na gari ndio vimemfumba macho,

Surrogate Mother hua haingiliani kimwili na hao wahusika, bali yeye hutoa tumbo lake kubebea kiumbe cha watu walioshindwa kubeba mimba kwa sababu mbali mbali za kiafya, mimba hutungishwa maabara kisha hupandikizwa kwa huyo surrogate na hiyo hufanyika kwa makubaliano maalumu,

Mfano mzuri ni Kim Kardashian na mumewe Kanye West walifanya hii kitu lakini pia mimi mwenyewe nitaifanya mwaka 2025 in shaa Allah, as babymama kakubali kutoa tumbo lake, huureeeeeh!🥳

Kuna faida nzuri kama wewe huna complications za uzazi ukasaidia wengine kuwapa hitaji la Moyo wao, utabarikiwa sana na hii isiishie India tu hata Africa ni muda wetu sasa kuamka na kuproduce more children kupitia njia hii as IVF imekua changamoto sana kwa wengine.
 
Mleta Mada na yeye hana uelewa wa jambo hili au tamaa ya nyumba na gari ndio vimemfumba macho,

Surrogate Mother hua haingiliani kimwili na hao wahusika, bali yeye hutoa tumbo lake kubebea kiumbe cha watu walioshindwa kubeba mimba kwa sababu mbali mbali.....

Mfano mzuri ni Kim Kardashian na mumewe Kanye West walifanya hii kitu lakini pia mimi mwenyewe nitaifanya mwaka 2025 in shaa Allah, as babymama kakubali kutoa tumbo lake, huureeeeeh!🥳

Kuna faida nzuri kama wewe huna complications za uzazi ukasaidia wengine kuwapa hitaji la Moyo wao, utabarikiwa sana na hii isiishie India tu hata Africa ni muda wetu sasa kuamka na kuproduce more children kupitia njia hii as IVF imekua changamoto sana kwa wengine.
Hata yule Shah Rukh Khan 'King of Bollywood' mtoto wake wa mwisho wamemzaa kwa kutumia surrogate mother.
 
Hii nayo itakuwa ni moja ya biashara nadhani litapunguza tatizo la ajira kwa dada zetu.
Habari,

Nina rafiki yangu anataka kuwa surrogate mother.

Kama kuna mwanaume au mwanamke au wanandoa wanahitaji mtoto, then yuko tayari kuwazalia kwa makubaliano maalum.

Mtoto akishazaliwa then mhusika anamchukua mtoto wake..

Kindly PM kama utahitaji .
 
Mleta Mada na yeye hana uelewa wa jambo hili au tamaa ya nyumba na gari ndio vimemfumba macho,

Surrogate Mother hua haingiliani kimwili na hao wahusika, bali yeye hutoa tumbo lake kubebea kiumbe cha watu walioshindwa kubeba mimba kwa sababu mbali mbali za kiafya, mimba hutungishwa maabara kisha hupandikizwa kwa huyo surrogate na hiyo hufanyika kwa makubaliano maalumu,

Mfano mzuri ni Kim Kardashian na mumewe Kanye West walifanya hii kitu lakini pia mimi mwenyewe nitaifanya mwaka 2025 in shaa Allah, as babymama kakubali kutoa tumbo lake, huureeeeeh!🥳

Kuna faida nzuri kama wewe huna complications za uzazi ukasaidia wengine kuwapa hitaji la Moyo wao, utabarikiwa sana na hii isiishie India tu hata Africa ni muda wetu sasa kuamka na kuproduce more children kupitia njia hii as IVF imekua changamoto sana kwa wengine.
Hiyo ndiyo surrogacy. Ukimfanya mwanamke Surrogate na hapo hapo akawa donor, mtoto humpati ng'o!!!! Hiyo ni kuzaa nje ya ndoa. Lazima anayebeba hiyo mimba asiwe na uhusiano wowote biologically na mtoto atakayezaliwa.
 
Habari,

Nina rafiki yangu anataka kuwa surrogate mother.

Kama kuna mwanaume au mwanamke au wanandoa wanahitaji mtoto, then yuko tayari kuwazalia kwa makubaliano maalum.

Mtoto akishazaliwa then mhusika anamchukua mtoto wake..

Kindly PM kama utahitaji .
Nashangaa sana si aende kituo cha watoto yatima akachukue ata wa2
 
Habari,

Nina rafiki yangu anataka kuwa surrogate mother.

Kama kuna mwanaume au mwanamke au wanandoa wanahitaji mtoto, then yuko tayari kuwazalia kwa makubaliano maalum.

Mtoto akishazaliwa then mhusika anamchukua mtoto wake..

Kindly PM kama utahitaji .
Mtoto akizaliwa mhusika anachukua??
 
Ila baada mnaingiwa na tamaa mnataka vyote na mtoto na mume wa mtu
 
Thenkyuu ledis and gentomeni
Na hawa ndio wazazi wa mtoto huyu
Baba wa mtoto Gari
Mama wa mtoto Nyumba
Tunawashukuru sana kwa kufanikisha mtoto huyu kuliona jua.
 
Duh [emoji23][emoji23][emoji23], how can people be this illiterate?

Ina maana hujui kuna kuwepo na medical reviews na mikataba kabla ya yote?
Tuko dunia ya kumi mama, hii issue ya surrogacy bado haijaeleweka kabisa huku kwetu.
 
Back
Top Bottom