Ezra cypher
JF-Expert Member
- Jul 17, 2024
- 244
- 904
Rafiki yangu anatafuta Mwanamke mwenye sifa zifuatazo.
Umri 18-34
Elimu, yoyote ilimradi awe anajua kusoma na kuandika lugha ya kiswahili vizuri , maana huyu jamaa ana Biashara fulani kubwa na moja ya majukumu ya huyo mke atakuwa anasimamia baadhi ya Biashara zake na kutuma taarifa.
Dini - kuhusu dini yoyote ilimradi awe anatambua uwepo wa Mungu katika Maisha yake na kushiriki ibada za pamoja au peke yake.
Mwonekano :- awe na mwonekano Fulani mzuri akiwa mrefu , mweupe au rangi ya chocolates itapendeza .
Kuhusu kuwa na mtoto /watoto hilo sio tatizo.
Sifa za muhusika
Matured man 35
Hali ya uchumi -Financial stable
Kazi- Ameajiriwa katika moja ya shirika kubwa la chakula yupo UN
Pia anafanya na Biashara.
Elimu yake PhD
Dada /mama Kama upo interested utanicheki PM nikupe barua pepe yake muasiliane .
Update
Nimefanikiwa kufanya mazungumzo ya awali.
Niseme hili jambo naamini RAFIKI yangu atafanikiwa na JF itabaki kuwa mtandao namba Moja Tanzania wenye kuwaleta watu pamoja .
Stay greatful.
Umri 18-34
Elimu, yoyote ilimradi awe anajua kusoma na kuandika lugha ya kiswahili vizuri , maana huyu jamaa ana Biashara fulani kubwa na moja ya majukumu ya huyo mke atakuwa anasimamia baadhi ya Biashara zake na kutuma taarifa.
Dini - kuhusu dini yoyote ilimradi awe anatambua uwepo wa Mungu katika Maisha yake na kushiriki ibada za pamoja au peke yake.
Mwonekano :- awe na mwonekano Fulani mzuri akiwa mrefu , mweupe au rangi ya chocolates itapendeza .
Kuhusu kuwa na mtoto /watoto hilo sio tatizo.
Sifa za muhusika
Matured man 35
Hali ya uchumi -Financial stable
Kazi- Ameajiriwa katika moja ya shirika kubwa la chakula yupo UN
Pia anafanya na Biashara.
Elimu yake PhD
Dada /mama Kama upo interested utanicheki PM nikupe barua pepe yake muasiliane .
Update
Nimefanikiwa kufanya mazungumzo ya awali.
Niseme hili jambo naamini RAFIKI yangu atafanikiwa na JF itabaki kuwa mtandao namba Moja Tanzania wenye kuwaleta watu pamoja .
Stay greatful.