Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yuko wapi huyo rafiki akoRafiki yangu anatafuta Mwanamke mwenye sifa zifuatazo.
Umri 18-34
Elimu, yoyote ilimradi awe anajua kusoma na kuandika lugha ya kiswahili vizuri , maana huyu jamaa ana Biashara fulani kubwa na moja ya majukumu ya huyo mke atakuwa anasimamia baadhi ya Biashara zake na kutuma taarifa.
Dini - kuhusu dini yoyote ilimradi awe anatambua uwepo wa Mungu katika Maisha yake na kushiriki ibada za pamoja au peke yake.
Mwonekano :- awe na mwonekano Fulani mzuri akiwa mrefu , mweupe au rangi ya chocolates itapendeza .
Kuhusu kuwa na mtoto /watoto hilo sio tatizo.
Sifa za muhusika
Matured man 35
Hali ya uchumi -Financial stable
Kazi- Ameajiriwa katika moja ya shirika kubwa la chakula yupo UN
Pia anafanya na Biashara.
Elimu yake PhD
Dada /mama Kama upo interested utanicheki PM nikupe barua pepe yake muasiliane .
😂😂Suti km mwenyekiti kamati ya mapambo 😹
Dini zenu zutajulikana siku mkifa hamuwez zikiwa na city sisi tupo kuwahifadhi na Dua juuMmoja anamfuata mwenzake
Kwa sisi tusio na dini hali ndo mbaya zaidi
Nifundishe nijue huenda nikaongeza maarifaMambo ya kiroho mkuu bado haujayaelewa vizuri .
Ukiwa enlightenment you will understand ulimwemgu wa roho .
Kwa sasa Bado hautaweza kuelewa Ila kinachoendesha ulimwengu wa roho ulimwengu wa roho ni maneno /neno na sio dini
Japo najaribu kumuelewa Kwa namna fulani huyo jamaa.Nifundishe nijue huenda nikaongeza maarifa
Hayo maneno yanakuwaje mnatamka tu auJapo najaribu kumuelewa Kwa namna fulani huyo jamaa.
Ila katika ulimwengu wa roho -ni kweli nguvu kubwa imebebwa katika maneno au neno. Hivyo ukipata muislam na wewe mkiristu msisite kuoana maana nyie wenyewe mnaweza Kufunga ndoa yenu kupitia vinywa vyenu na mkaishi vizuri tu.
Neno linaweza kuumba kitu kikatokea katika ulimwengu wa nyama .
Dini inasaidia Sana Ila unaweza kuwa MTU wa dini Ila ukashindwa kuamka kiroho .
Hivyo swala la kuoa /kuolewa n.k dini Ina nafasi Ila ilibidi kuwa sio kigezo kikuu maana hakina faida yoyote.
Kuwa spiritual person ni muhimu Sana Ila watu wengi ni watu wa dini Ila sio watu wa kiroho .
Hayo maneno yanakuwaje mnatamka tu au
SawaProverb 18:20 (Mithali 18 :20)
The scripture says, “You will eat the fruit of your words.” Pay attention to what you're saying about yourself, your family, your finances ...
Kwahiyo kinachotawala in spiritual realm is words and not religions.
The Top Bible Verses about Fruit in Scripture
Nimeshare hii kwakuwa nimeona unachelewa kuelewa.