Rafiki yangu anatafuta Mwanamke mwenye sifa zifuatazo

Rafiki yangu anatafuta Mwanamke mwenye sifa zifuatazo

Umri umri 😂😂 umeninyima mume
 
Rafiki yangu anatafuta Mwanamke mwenye sifa zifuatazo.

Umri 18-34
Elimu, yoyote ilimradi awe anajua kusoma na kuandika lugha ya kiswahili vizuri , maana huyu jamaa ana Biashara fulani kubwa na moja ya majukumu ya huyo mke atakuwa anasimamia baadhi ya Biashara zake na kutuma taarifa.


Dini - kuhusu dini yoyote ilimradi awe anatambua uwepo wa Mungu katika Maisha yake na kushiriki ibada za pamoja au peke yake.

Mwonekano :- awe na mwonekano Fulani mzuri akiwa mrefu , mweupe au rangi ya chocolates itapendeza .

Kuhusu kuwa na mtoto /watoto hilo sio tatizo.

Sifa za muhusika

Matured man 35
Hali ya uchumi -Financial stable
Kazi- Ameajiriwa katika moja ya shirika kubwa la chakula yupo UN
Pia anafanya na Biashara.

Elimu yake PhD

Dada /mama Kama upo interested utanicheki PM nikupe barua pepe yake muasiliane .
Yuko wapi huyo rafiki ako
 
Mambo ya kiroho mkuu bado haujayaelewa vizuri .

Ukiwa enlightenment you will understand ulimwemgu wa roho .

Kwa sasa Bado hautaweza kuelewa Ila kinachoendesha ulimwengu wa roho ulimwengu wa roho ni maneno /neno na sio dini
Nifundishe nijue huenda nikaongeza maarifa
 
Nifundishe nijue huenda nikaongeza maarifa
Japo najaribu kumuelewa Kwa namna fulani huyo jamaa.

Ila katika ulimwengu wa roho -ni kweli nguvu kubwa imebebwa katika maneno au neno. Hivyo ukipata muislam na wewe mkiristu msisite kuoana maana nyie wenyewe mnaweza Kufunga ndoa yenu kupitia vinywa vyenu na mkaishi vizuri tu.

Neno linaweza kuumba kitu kikatokea katika ulimwengu wa nyama .

Dini inasaidia Sana Ila unaweza kuwa MTU wa dini Ila ukashindwa kuamka kiroho .

Hivyo swala la kuoa /kuolewa n.k dini Ina nafasi Ila ilibidi kuwa sio kigezo kikuu maana hakina faida yoyote.

Kuwa spiritual person ni muhimu Sana Ila watu wengi ni watu wa dini Ila sio watu wa kiroho .
 
Japo najaribu kumuelewa Kwa namna fulani huyo jamaa.

Ila katika ulimwengu wa roho -ni kweli nguvu kubwa imebebwa katika maneno au neno. Hivyo ukipata muislam na wewe mkiristu msisite kuoana maana nyie wenyewe mnaweza Kufunga ndoa yenu kupitia vinywa vyenu na mkaishi vizuri tu.

Neno linaweza kuumba kitu kikatokea katika ulimwengu wa nyama .

Dini inasaidia Sana Ila unaweza kuwa MTU wa dini Ila ukashindwa kuamka kiroho .

Hivyo swala la kuoa /kuolewa n.k dini Ina nafasi Ila ilibidi kuwa sio kigezo kikuu maana hakina faida yoyote.

Kuwa spiritual person ni muhimu Sana Ila watu wengi ni watu wa dini Ila sio watu wa kiroho .
Hayo maneno yanakuwaje mnatamka tu au
 
Hayo maneno yanakuwaje mnatamka tu au


Proverb 18:20 (Mithali 18 :20)

The scripture says, “You will eat the fruit of your words.” Pay attention to what you're saying about yourself, your family, your finances ...


Kwahiyo kinachotawala in spiritual realm is words and not religions.

The Top Bible Verses about Fruit in Scripture

Nimeshare hii kwakuwa nimeona unachelewa kuelewa.
 
Nikiishaga uno mtu anasema dini yoyote najua hamna kuoana hapo zaidi ya uzinzi
 
Back
Top Bottom