Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 12,826
- 17,371
Na hawezi kuolewa na yeyote tena maishani mwake, unakuwa umemroga kisomi.Hapo ndio lakufanya....hamna kusitisha wala nini kila kitu kinaendelea last day wee huyoooo unaenda zako mamtoni.
Wakwe unawatumia video wajionee wenyewe walivyokuza mtoto wao
Ndoa za siku hizi sio za maisha yote mkuu..Achague hasara ya Milion 10M au achague hasara ya Kuishi na malaya maisha yake yote. Ni Rahisi sana Mkuu kuamua.
Polen sana Maumivu hayo ni makali sana
Ubaya ubwela hiyoNa hawezi kuolewa na yeyote tena maishani mwake, unakuwa umemroga kisomi.
Ndio maana na ushahidi upoSababu itwaje kwa wazazi kwamba binti alidhini na mwingine
Kununua ndio mpango mzima KATAAA NDOAAachane na hiyo takataka.
NB: mpaka sasa sijutii kuendelea kuwa mzee wa kununua. Ndoa za kizazi hiki ni ubatili
Duh nakataaa roho ya kurekodiwaAsioe. Hiyo ndito ni super porn star
Yeah na TV iwe Ile kubwa kabisa na speaker za fiestaAendelee na harusi ila siku ya sherehe ukumbini a play hiyo clip.
Hii haitaji hata ushauri wa mtu yeye ndio mwenye uamuzi hakuna ndoa hapo...adai gharama zake zote awaachie zigo laoRafiki yangu wa karibu sana, ametumiwa video ya ngono ya. Mke wake mtarajiwa na hii ni ya. Majuzi tu,
Sasa ubaya zaidi, mtu aliyekuwa akifanya nae mapenzi ni Rafiki yetu wa karibu! Sana pia, ina maana mwamba alikua akimzumnguka mshikaji wetu
Mpaka gharama zilizotumika
👉Mahari na mambo mengine ya kimila(mkoti babu, vitenge vya bibi, ujombani, mama wakubwa )
Jumla-3.5M
👉Ukumbi 1.5
👉Maandalizi mengine karibu 6M mapambo, kukodi magari, Muziki, MC booking, chakula na vinywaji, 👉suti na shela(1.2M)=jumla 10.2M
Sasa jamaa yetu yuko njia Panda kwa gharama ambazo kashatumia anaumia sana kuhairisha shughuli
👉Lakini kwa upande mwingine ili jambo limemuathiri sana
Je afanyaje? Siku ya sherehe ni wiki ijayo ijumaa?
Mchizi alihairisha maana alisema Kila akikaa nae yule mwanadada anapata hasiraIlikuwaje tunaomba mrejesho, kama hutojali???
Jamaa alichukua maamuzi gani?