Rafiki yangu anataka kuahirisha kuoa Baada ya kutumiwa video ya ngono ya mke wake mtarajiwa!

Japo ni chai ila ingekuwa mimi sioi hata kwa ushauri wa sheikh au mchungaji mwandamizi.
 
✍️✍️✍️ WAHENGA walishasema BORA ukosee kujenga kulko ukosee kuoa.....iko hivi kama huyo mwanamke amekubal Hadi kuerekodiwa akila NYAPUUUU maana yake huyo n MALAYA mzoefu.....huyo hata ukimweka ndani Kuna Siku ataruka UKUTAA kwenda KUDANGA..... USHAURI WA BURE:ACHAna na huyo mwanamke hafai kuwa mama Bora wa watoto wako..... kumbuka malezi ya mama ndio inayomkuza mwana .....huyu atakuja kukuletea UZAO wa WAZINZI......
 
Daaaah! Kinachoumiza apo ni mshikaji kula demu wa mshikaji tena kabla ya harusi na kisha kuchukua video.... swali; nani katuma video???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…