Kanywee chai na chapati
Ipo namba B za mwishoni! Imesimamia kucha
Habari zenu, Rafiki angu anauza gari yake
Gx 110
Engine 1g vvti
Cc1900
Full ac
Bei 5.8
Haina tatizo lolote.
Gari inapatikana Dar, Tegeta
Kumfikia muhusika wa gari nipigie 0659781878 ....nimesema nipugie sabab muhisika wa gari ni mgonjwa.
View attachment 1439760
Sent using Jamii Forums mobile app
Huo mkono ulioshika mlango wa dereva kwenye kioo ni wako?
Mkuu ktk maisha natumia formula ya GIGO au huijuiMkuu kinachozungumziwa gari mkono ea nini tenaa?! Wabongo bwanaaa.!
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ni wa bibi yakoHuo mkono ulioshika mlango wa dereva kwenye kioo ni wako?
Sawa Dada angu nimekuelewaNi wa bibi yako