TUMBOO
JF-Expert Member
- Jun 27, 2014
- 3,827
- 2,021
- Thread starter
- #21
Watu wanapenda ist na vits[emoji23][emoji23]Kuna gari ngumu sana kuuzika mojawapo hiyo pia Mark X na Brevis. Nilikuwa na Mark X namba DG imesimama niliishia kuiuza milioni 4 tena jamaa alikuwa ananilipa kwa mafungu hata hela yenyewe sikuifaidi
Sent using Jamii Forums mobile app