Watu wanapenda ist na vits[emoji23][emoji23]Kuna gari ngumu sana kuuzika mojawapo hiyo pia Mark X na Brevis. Nilikuwa na Mark X namba DG imesimama niliishia kuiuza milioni 4 tena jamaa alikuwa ananilipa kwa mafungu hata hela yenyewe sikuifaidi
Kwa nini mark X ngumu kuuzika mkuuKuna gari ngumu sana kuuzika mojawapo hiyo pia Mark X na Brevis. Nilikuwa na Mark X namba DG imesimama niliishia kuiuza milioni 4 tena jamaa alikuwa ananilipa kwa mafungu hata hela yenyewe sikuifaidi
Ila hii gx ni ile ya cc 1900 ndio wengi wanazipendaKuna gari ngumu sana kuuzika mojawapo hiyo pia Mark X na Brevis. Nilikuwa na Mark X namba DG imesimama niliishia kuiuza milioni 4 tena jamaa alikuwa ananilipa kwa mafungu hata hela yenyewe sikuifaidi
Kwanini ngumu Kuuzika?Kuna gari ngumu sana kuuzika mojawapo hiyo pia Mark X na Brevis. Nilikuwa na Mark X namba DG imesimama niliishia kuiuza milioni 4 tena jamaa alikuwa ananilipa kwa mafungu hata hela yenyewe sikuifaidi
Nadhani ni mentality ya watu. Wanaamini kuwa hizo gari zinakula mafuta sana zikiwa nzima na kama ukiendesha kwa muda mrefu inachoka na kula mafuta Zaidi so wanaamini ukitangaza kuiuza ina maana imekushinda kutokana na ulaji wa mafuta mkubwa na unataka kuuza ili ukwepe hiyo dhahama. Jambo ambalo sio kweli
Kuna gari ngumu sana kuuzika mojawapo hiyo pia Mark X na Brevis. Nilikuwa na Mark X namba DG imesimama niliishia kuiuza milioni 4 tena jamaa alikuwa ananilipa kwa mafungu hata hela yenyewe sikuifaidi
Acha tu halafu jamaa namwona nayo mtaani natamani nimrudishie hiyo 4Mulilost mazee
Kuna gari ngumu sana kuuzika mojawapo hiyo pia Mark X na Brevis. Nilikuwa na Mark X namba DG imesimama niliishia kuiuza milioni 4 tena jamaa alikuwa ananilipa kwa mafungu hata hela yenyewe sikuifaidi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]watu wanaogopa kutupiwa dhahamaNadhani ni mentality ya watu. Wanaamini kuwa hizo gari zinakula mafuta sana zikiwa nzima na kama ukiendesha kwa muda mrefu inachoka na kula mafuta Zaidi so wanaamini ukitangaza kuiuza ina maana imekushinda kutokana na ulaji wa mafuta mkubwa na unataka kuuza ili ukwepe hiyo dhahama. Jambo ambalo sio kweli
Kanywee chai na chapati