Ni kweliUsiogope cc mkuu,kama ina cc kubwa jitahidi kuongeza kipato.....magari yenye cc kubwa yametengenezwa kwa watu maalumu na si kila mtu anatakiwa kulimiliki.
Bado ipoBado hiyo Gx110 ipo?
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mm sio dalali hii gari ya rafik angu kabisa.. wote huwa tuna magari yamefanana na wote tumeamua kuyauza tubadirishe
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijaweka namba zake hapa sababu ya usumbufu kwake yeye ni mgonjwa ....hauzi sababu ya ugonjwa bal kubadili gariTuamini lipi,rafiki yako anaumwa ndio maana anauza gari yake au mmeamua kuyauza magari yenu ili mpate kubadilisha gari zingine?
Tako la nyani kwa m 10!?Hizi gari mkuu ni gharama kuziendesha kwa sehemu kama Tanzania, sio kuiendesha kutoka sehemu moja kwenda nyingibe la hasha uendeshaji wake kama mafuta as you've said, spare zake n.k ni gharama mno.
Unaweza ukastaajabu ya Musa kitu kama hii imenyooka hivi na isiwe hata na tatizo sana, interior kali, body halijapigwa rangi kila kitu kiko on point kwa hii bei ila mtu akaenda kununua tako la nyani kwa 10 million! Anajua hapotezi ataitumia kwa muda mrefu na itauzika chap akitaka
Hapo nimekupata mkuuSijaweka namba zake hapa sababu ya usumbufu kwake yeye ni mgonjwa ....hauzi sababu ya ugonjwa bal kubadili gari
Sent using Jamii Forums mobile app