Melki Wamatukio
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 6,156
- 10,974
Siku za nyuma niliwahi kuleta uzi juu ya rafiki yangu ambaye tuna-share baadhi ya idea kuhusu kazi na maisha, nilimuelezea vya kutosha kuwa yeye na nyapu ni sawa na fisi na mifupa. Hata apite wa gharama gani, ni yuko tayari kuuza hata roho ili aonje tu hata kwa nusu dakika, kwake inatosha kabisa, na si kuacha mbususu iondoke hivi hivi akiwa anaiona
Jana asubuhi kanipigia simu akidai anapokojoa, anahisi maumivu sawa na dagaa wa Mwanza watangulizwe mikia wakiwa wanatoka kibofuni kuelekea nje ya mwili. Anadai pia wakati mkojo unakata, unafuatiwa na manii. Nilimshauri apige Azuma, lakini anakwambia hali bado iko vile vile
Nimetoka kumshauri aelekee duka la madawa ama hospitali kwa maelekezo zaidi, anadai mimi ni kama ndugu yake, hivyo kwa pamoja tuongozane kuelekea kwa hospital nikamsaidie kwa kuwa yeye anaona sijui aibu sijui woga, akidai kwamba ni mara yake ya kwanza kukumbana na huyu venom
Sijui ananichukuliaje! Mambo ya kuongozana kwa hospital yaliishia enzi zile mke wangu alipokuwa anahudhuria kliniki, tena ni kwa mimba ya kwanza tu. Eti leo niongozane na mwamba, eti tunaenda kupambana na ghono alilolipata wakati ana njunga njunga kwa raha zake, muda huo akisukumia ukuni kwa hasira kali, sijui ananionaje huyu umbwa. Duniani kuna vituko asikwambie mtu
Ni hayo tu. Mola anisaidie ingawa bado sija experience kitu cha namna hii, na sitegemei kwa kuwa mimi sio mroho wa nyapu
Jana asubuhi kanipigia simu akidai anapokojoa, anahisi maumivu sawa na dagaa wa Mwanza watangulizwe mikia wakiwa wanatoka kibofuni kuelekea nje ya mwili. Anadai pia wakati mkojo unakata, unafuatiwa na manii. Nilimshauri apige Azuma, lakini anakwambia hali bado iko vile vile
Nimetoka kumshauri aelekee duka la madawa ama hospitali kwa maelekezo zaidi, anadai mimi ni kama ndugu yake, hivyo kwa pamoja tuongozane kuelekea kwa hospital nikamsaidie kwa kuwa yeye anaona sijui aibu sijui woga, akidai kwamba ni mara yake ya kwanza kukumbana na huyu venom
Sijui ananichukuliaje! Mambo ya kuongozana kwa hospital yaliishia enzi zile mke wangu alipokuwa anahudhuria kliniki, tena ni kwa mimba ya kwanza tu. Eti leo niongozane na mwamba, eti tunaenda kupambana na ghono alilolipata wakati ana njunga njunga kwa raha zake, muda huo akisukumia ukuni kwa hasira kali, sijui ananionaje huyu umbwa. Duniani kuna vituko asikwambie mtu
Ni hayo tu. Mola anisaidie ingawa bado sija experience kitu cha namna hii, na sitegemei kwa kuwa mimi sio mroho wa nyapu