Kuendelea kulea watoto sio wake na kujiua lipi jambo la maanaAkiamua kujiua baada ya kugundua watoto 3 sio wake,wewe utakuwa ni chanzo namba 1 cha kifo chake...
Umeandika ukweli Mkuu.Wanawake wana olewa kwa sababu ya shida[emoji848]
Rafiki wa nyoko. Njiwa hawezi kuambatana na kunguru hata kwa bahati mbaya. Wewe na best yako wote kunguru tu mbwa nyie.Jamani habarini, nina rafiki yangu ana mume wake wana hela tu, wana watoto wanne, katika hao wanne , wa mumewe ni mmoja tu na siri hio naijua mimi na yeye tu uyo shoga yangu.
Ameshachuma na kumchuna vya kutosha na sasa anataka kuanza visa ili apewe tu talaka, anamtusi mbele za watoto, na mambo mengi.
Sasa kaniomba ushauri na mimi nikaona nilete humu JF ili nipate cha kumnusuru shoga yangu, kiukweli kwa suala la huyu mme wake, ni mkaka mstaarabu tu na mkimya.
Anataka nimshauri kama amuambie mumewe au akaushe tu kwani mumewe anataka kubaki na watoto na hajui kuwa watatu sio wake.
Halafu kingine huyu rafiki angu hamueshimu mumewe, ananionesha video zake yeye na mumewe wakifanya mapenzi na kumkejeli kuwa ana kibamia, yapo mengi tu ila siwezi andika yote
Naleta kwenu ili.
Huyu yupo njiani kumpora mume wa mtu.Piga risasi uyo mama😂😂
We nae mmbea tu eti tunajua mimi tu na huyo shoga yangu.
Maniner are you sure upo kwa ajili ya kumtetea rafiki yako ama unataka ujisogeze kwa mumewe?
Kufa hamkufi.Mtatuua kwa presha sasa
Inauma eeh?Wanawake [emoji119][emoji119][emoji119]
Pampula tulia dawa iingie. Usiende tu kuanza kukagua vidole na chogo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ningekua sijaoa nisingeoaa...