Rafiki yangu kambambikia mumewe watoto

Rafiki yangu kambambikia mumewe watoto

Wanaume....safari bado ndefuu😲,kweli kaz mnayo duh!
 
Wanawake wana olewa kwa sababu ya shida[emoji848]
Umeandika ukweli Mkuu.
Na wanakubali kuolewa hasa umri unapowabana like 27-35 nakuendelea.

Ambapo uzuri wao unapungua kila uchao, wanatumia gharama kubwa kwenye make up ili kushindana na vibinti vya early 20s, ukichanganya na mahitaji mengine anaona afadhali amgande mwanaume mwenye uwezo wa pesa hata kama hamvutii kihisia.

Hii inamfanya mwanamke aee na mahusiano kwa aina mbili za wanaume.
Kuna wa kumgharamia kiuchumi na kuna wa kumshusha nyege, ndio maana michepuko kwa wanandoa itaendelea kuwepo sana.
 
Mwambie hivii...

Jehanam atakuwa kuniii...
 

Nilikuomba unifungulie PM Tafadhali.
giphy.gif
 
Bora amwambie ukweli afu watengane na kila mtu achukue wanae.Ndoa za sikuhiz ni shida sana.Tunaoana tu lakini upendo hakuna.Tuhamasishe wanetu ndoa siyo kilakitu katika maisha
 
Jamani habarini, nina rafiki yangu ana mume wake wana hela tu, wana watoto wanne, katika hao wanne , wa mumewe ni mmoja tu na siri hio naijua mimi na yeye tu uyo shoga yangu.

Ameshachuma na kumchuna vya kutosha na sasa anataka kuanza visa ili apewe tu talaka, anamtusi mbele za watoto, na mambo mengi.

Sasa kaniomba ushauri na mimi nikaona nilete humu JF ili nipate cha kumnusuru shoga yangu, kiukweli kwa suala la huyu mme wake, ni mkaka mstaarabu tu na mkimya.

Anataka nimshauri kama amuambie mumewe au akaushe tu kwani mumewe anataka kubaki na watoto na hajui kuwa watatu sio wake.

Halafu kingine huyu rafiki angu hamueshimu mumewe, ananionesha video zake yeye na mumewe wakifanya mapenzi na kumkejeli kuwa ana kibamia, yapo mengi tu ila siwezi andika yote

Naleta kwenu ili.
Rafiki wa nyoko. Njiwa hawezi kuambatana na kunguru hata kwa bahati mbaya. Wewe na best yako wote kunguru tu mbwa nyie.
 
Hujamtendea haki Kichwa cha familia, mfano wa Mungu.

Kuhusu kuwa ni rafiki yako, sidanganyiki.
 
Ni pm namba ya mme wake,nimshtue mwanaume mwenzangu...
Au ya rafikio huyo nimkanye.
 
Back
Top Bottom