mzushi flani
JF-Expert Member
- Jan 20, 2020
- 1,627
- 2,473
mwambie amtimue. shwaiiin kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha, acha hizoInanikumbusha jamaa aliweka mtego katika purukushani za hapa na pale akachelewa kufumania akakuta tayari ameshaliwa mke wake chumba chote kinanuka mavi [emoji23][emoji23]
Usiombe
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu ni mwanamke? [emoji44][emoji44]
Yeah hapo anaumia kuliko kupigwa..yaan simsemeshi,sili chakula chake,sivai nguo aliyo fua akifua nafua upya,nalala sebuleni
Sent using Jamii Forums mobile app
Laiti kama mshua Masia angekuwa ameoa katika maisha yake, angeelewa ugumu wa hii sheria ya Ukristo ya kuwa ndoa ni pingu za maisha.....
Alexander
Dah inasikikitishaaInanikumbusha jamaa aliweka mtego katika purukushani za hapa na pale akachelewa kufumania akakuta tayari ameshaliwa mke wake chumba chote kinanuka mavi [emoji23][emoji23]
Usiombe
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] mavi ya nani sasa ?Inanikumbusha jamaa aliweka mtego katika purukushani za hapa na pale akachelewa kufumania akakuta tayari ameshaliwa mke wake chumba chote kinanuka mavi [emoji23][emoji23]
Usiombe
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaume wakihehe tu hufanya hiviWanaume wachache wakishajua mke anakigawa huwa hawaulizi wala kuhoji. Anarudi nyumbani saa anayopenda, hamgusi kabisa mkewe na wala shughulini hawaendi pamoja. Mke mwenyewe bila kufukuzwa anaomba aondoke.
taja faida tatu za ndoaMkuu ndoa ina shida zake lakini kuoa ni muhimu aiseeh..
DaaahInanikumbusha jamaa aliweka mtego katika purukushani za hapa na pale akachelewa kufumania akakuta tayari ameshaliwa mke wake chumba chote kinanuka mavi [emoji23][emoji23]
Usiombe
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaume hutaka mke bikira wakati yeye wanawake aliopitia unaweza jaza behewa la trein ya mwakwembeTatizo binadamu hawamshirikishi Mungu katika kutafuta mke au mume. Wao wanatawaliwa na ngono vichwani mwao yaani akikutana na mwanamke mwenye makalio makubwa, umbo zuri au sura nzuri basi ndiyo ameona amefika na wengi uzinzi wanaanza mapema kabla hawajaoa au kuolewa. Mwanamke naye akiona mtu mwenye pesa tayari ashavua chupi. Kuoa siyo sheria ila ukishindwa kuvumilia oa. Siyo ushindwe kuoa halafu unafanya uzinzi, hiyo haipo. Unatakiwa ukae hivyo hivyo na bikira yako. Utamlaumu Mungu sana lakini Mungu ni mwenye haki siku zote na anataka watu waoane wakiwa bikira yaani Mwanamke awe hajaguswa na mwanaume yoyote na mwanaume awe hajakutana kimwili na mwanamke. JE, UMETIMIZA HAYO?
Wanaume wachache wakishajua mke anakigawa huwa hawaulizi wala kuhoji. Anarudi nyumbani saa anayopenda, hamgusi kabisa mkewe na wala shughulini hawaendi pamoja. Mke mwenyewe bila kufukuzwa anaomba aondoke.
Ulioa mke au dobi, ukifanya maamuzi nguo unapeleka kwa dobi.ni sawa na mtoto apasue kikombe mbele yako umwangalie tuu usiongee chochote usepe
au
sie ambao ni wavivu wa kufua, ujipinde due nguo zako zijae kamba unamalizia kusuuza ndo na unamwaga maji unasikia kamba taa! imekatika nguo zote chini...
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi unaanzaje kuchepuka na mke wa mtu halafu unampa dozi ile ile anayoipata kwa mumewe? Lazima uoneshe utofauti. Wake za watu hufanyiwa mambo ambayo mume hawezi kumfanyia. Huo ni ukweli mchungu kwa wenye wake wachepukaji. Hapo jamaa alizibua chemba kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app