Rafiki yangu kamfumania mkewe gesti

Laiti kama mshua Masia angekuwa ameoa katika maisha yake, angeelewa ugumu wa hii sheria ya Ukristo ya kuwa ndoa ni pingu za maisha.....


Alexander
 
Ukikutana na mwanamke mhuni. Asubuhi unaenda kazini, anabeba vitu vyote anasepa. Ukirudi unakuta nyumba nyeupe. Wewe ukimfumania usipinge, mpe nauli, mwambie aende kwao akasalimie.
Yeah hapo anaumia kuliko kupigwa..yaan simsemeshi,sili chakula chake,sivai nguo aliyo fua akifua nafua upya,nalala sebuleni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo binadamu hawamshirikishi Mungu katika kutafuta mke au mume. Wao wanatawaliwa na ngono vichwani mwao yaani akikutana na mwanamke mwenye makalio makubwa, umbo zuri au sura nzuri basi ndiyo ameona amefika na wengi uzinzi wanaanza mapema kabla hawajaoa au kuolewa. Mwanamke naye akiona mtu mwenye pesa tayari ashavua chupi. Kuoa siyo sheria ila ukishindwa kuvumilia oa. Siyo ushindwe kuoa halafu unafanya uzinzi, hiyo haipo. Unatakiwa ukae hivyo hivyo na bikira yako. Utamlaumu Mungu sana lakini Mungu ni mwenye haki siku zote na anataka watu waoane wakiwa bikira yaani Mwanamke awe hajaguswa na mwanaume yoyote na mwanaume awe hajakutana kimwili na mwanamke. JE, UMETIMIZA HAYO?
Laiti kama mshua Masia angekuwa ameoa katika maisha yake, angeelewa ugumu wa hii sheria ya Ukristo ya kuwa ndoa ni pingu za maisha.....


Alexander
 
Tatizo liko kwa mtonyaji! Nia labda ilikuwa nzuri, lakini madhara yake yanaweza kuwa makubwa. Sasa huyo mtonyaji awe fair,akimuona mme wa huyo mke nae anachepuka amtonye!

Nakumbuka mwaka fulani, niliingia Shinyanga nikitokea Musoma! Nilivofika nilienda kutafuta sehemu ya kulala, kwa bahati mbaya au nzuri chumba nilichokuwa natizamana nacho kulikuwa na jamaa mmoja nafahamu, japo yeye alikuwa anifahamu! Alikuwa Mtumishi mpya katika hospital ya mission iliyopo kijijini kwetu!

Jioni, natoka kula, nikaona anaingia na mwanamke, ambaye ni mke wa ndugu yangu, ameaga anaenda Msibani kumbe ameenda shinyanga kula raha na mchepuko!

shemeji hakuwa ameniona, so kipindi anaingia ndani, huku ameshikwa kiuno, mi Uvumilivu ukanishinda! Nikaanza kumfikiria ndugu yangu, nikaanza kumfikiria anavyojigamba juu ya utulivu wa mke wake!

Basi ikabidi tu, nimwite Mama chitimbo, akshituka, nikamuita na yule jamaa kwa Jina, Dr. Chikelembwe, wakaduwaaaa!

Nikawaambia siyo sawa kabisa, shemeji mi namwambia ndugu yangu! Ooh shemeji ,hapana! Shemeji tafadhali! Nikamwambia njoo, tuzungumze, nikamhoji, akasema alivyodanganya, na blah blah nyingi! Nikamwambia hata Picha ninazo, akasema shemeji nisamehe, nipo radhi nikupe ila usniseme! Watoto wangu watateseka!


To cut the story short, nikamwambia yule jamaa, nitamlaza ndani maana, picha na ushahid ninao! Mwisho wa siku jamaa akaniomba msamaha. Akaamua na kuondoka, shemeji akalala Asubuhi akaondoka!

Hadi leo sijamwambia mme wake, wako na wanaendelea na maisha yao vizuri na mme wake! Lkn ningemtonya brother, wangelikuwa wameshatengana! Huwa naenda kuwatembelea, shemeji anafikir nitamsemea, sijui maana anakosa amani!

So wakt mwingine, utonyaji si deal! Maana we are all part of that stuff!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaume wachache wakishajua mke anakigawa huwa hawaulizi wala kuhoji. Anarudi nyumbani saa anayopenda, hamgusi kabisa mkewe na wala shughulini hawaendi pamoja. Mke mwenyewe bila kufukuzwa anaomba aondoke.
Wanaume wakihehe tu hufanya hivi

kelphin kepph
 
Maisha haya basi tu!
Ukiowa wanakucheat usipo owa shida pia ah

kelphin kepph
 
Wanaume hutaka mke bikira wakati yeye wanawake aliopitia unaweza jaza behewa la trein ya mwakwembe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ni sawa na mtoto apasue kikombe mbele yako umwangalie tuu usiongee chochote usepe
au
sie ambao ni wavivu wa kufua, ujipinde due nguo zako zijae kamba unamalizia kusuuza ndo na unamwaga maji unasikia kamba taa! imekatika nguo zote chini...
Wanaume wachache wakishajua mke anakigawa huwa hawaulizi wala kuhoji. Anarudi nyumbani saa anayopenda, hamgusi kabisa mkewe na wala shughulini hawaendi pamoja. Mke mwenyewe bila kufukuzwa anaomba aondoke.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulioa mke au dobi, ukifanya maamuzi nguo unapeleka kwa dobi.
 
Kama kuna kipigo kikali kuliko makofi na ngumi ni wewe mume kumwambia mkeo; Vaa ngu zako twende nyumbani mpenzi wa moyo wangu. Halafu, kama utani vile, unampakia kwenye gari au bajaji unaondoka naye hadi home, unampa sabuni kuwa aende bafuni akaoge.
Husemi naye tena kwa siku 3 hivi ukionesha uchangamfu wa kipekee kabisa kwake. Nakuhakikishia, siku ya 4 hatakuwepo nyumbani ukirudi kutoka kazini. Hatakuwepo wala hatakaa arudi hapo. Sana sana ni kwamba atatuma wajumbe kuja kuchukua mazagazaga yake na atatokomea mbali.
Mwaname mjinga ni yule anayempiga na kumuumiza. Huenda kukandwa na huyo jamaa yake na mapenzi ndio hukolea kabisa. Unapomdharau hata akikimbilia kwa jamaa atakuwa anaishi maisha ya dikidiki siku zote. Hatapata amani kwani anajua kuwa; Huenda umeenda kununua gunia 2 za mkaa. Mwache abaki na labda labda siku zote za maisha yake
 
unaweza usizibue choo. lakini kusikilizia live music performance kwenye radio ya boda boda na kusikilizia kwenye v8.

ndoa nyingi show inapgwa kali lakini sound ya redio ya pikipik.
wakati mchepuko anamwashia feni, then anajiandaa anapgwa dudu huku kitimoto kipo mezani ai tumboni na castle light .
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…