Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata kama ni mke wa ndoa akiliwa tu achana naye 😁 😁Kama ni demu mbona hakuna maana ya kuumia, Kama ni mke wa ndoa hapo ni shida
Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
Ushaambiwa namba iliotumika ni ya china..Ww na uyo rafik yko mnashindwa kutatua tatizo dogo km hilo
Mwambie achukue io video ni ushahid uo peleka polisi uyo jose akamatwe ajieleze akitaka kufuta kesi mwambie akupe million 3 au kesi iende mahakaman ni kosa kumtumia mtu video ya ngono bila ridhaa yke
Km atakulipa izo pesa zitafaa kabisa kurefresh mind kwa kula kitimoto na bia kadhaa km akitaka kesi iende mahakaman itakuwa imekula kwake ww utalia demu wko vzr pia mtafute pia demu wake na yy kula pia ila ucmtumie video it is risk
ushaambiwa jamaa haonekani kwenye vdeo na wala haongei na imetumika no ya china kumrushia mesage utamkamata vip mtu akijaribu hivyo kama mshtakiwa akipata mawakili wazuri kesi linageuzwa vizuri tuWw na uyo rafik yko mnashindwa kutatua tatizo dogo km hilo
Mwambie achukue io video ni ushahid uo peleka polisi uyo jose akamatwe ajieleze akitaka kufuta kesi mwambie akupe million 3 au kesi iende mahakaman ni kosa kumtumia mtu video ya ngono bila ridhaa yke
Km atakulipa izo pesa zitafaa kabisa kurefresh mind kwa kula kitimoto na bia kadhaa km akitaka kesi iende mahakaman itakuwa imekula kwake ww utalia demu wko vzr pia mtafute pia demu wake na yy kula pia ila ucmtumie video it is risk
Bora umefunguka mkuu, Namba katumia ya kichina, Sura yake haionekani, Meseji alizotuma hajaandika jina lake, n.k.
Pia ni aibu ukienda Polisi unaanza kuonekana huna akili za kumtunza dem wako au una mapungufu flani ya kumtosheleza dem wako. Hii inakujengea c.v mbaya tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hebu tuachane na hii ishu yako, maana tunajua hakuna cha rafiki yako wala nn, huu mkasa ni ww!
Hebu waungwana mwenye connection ya video ya Esther Matiko akinyanduana anitumie PM, natanguliza shukrani zangu za dhati,
Wako mtiifu
Ache ujinga huyo rafiki yako, huyo ni demu sio mke, hata mke mwenyewe anaachwa.Zamani watu walikuwa wanasikia tu kwamba fulani anatembea na dem wako lakini siku hizi unajionea live kabisa tena kwa maksudi kabisa jamaa anakutumia video.
Navyoongea gapa rafiki yangu ana stress, stress, stress nyingi nyingi mno, hata kula shida, kulala kwa shida, yani hii hali imedumu zaidi ya wiki.
Rafiki yangu huyu aligombana na jamaa flani anaiwa Jose, ilikuwa ni ishu ya rafiki yangu kutumia nguvu ya pesa kumnyanganya fremu ya biashara huyu Jose ambae alikuwa hajailipia miezi mitatu, Sasa ndo ukaibuka ugomvi mkubwa kati yao.
Wakati hili bifu likiendelea, Jose alikuwa anamnyatia dem wa rafiki yangu kisiri siri.
Sasa jumamosi iliyopita, Kuna namba ya china ilitumika kumtumia rafiki yangu hio video, Sura ya Jose haionekani kwasababu yeye alikuwa haiangalii kamera ila dem ndo alikuwa anaonekana sana
Mbali na hio video kuna message alizotuma jose za kumtukana na kumdhihaki rafiki yangu zikiashiria wazi kwamba ni kisasi cha jose ,kwa kutumia namba hio hio ya kichina
Rafiki yangu alikuwa na mipango mikubwa sana na huyu Girl Friend wake maana wamedumu kwa zaidi ya mwaka, Rafiki yangu alimpenda sana na kumjali sana.
Yani navyoongea kwa sasa huyu rafiki ni kama gogo tu, Inamuuma sana kitendo alichofanyiwa na Jose, Inamuuma sana anavyomuona Jose anavyo mmega Girl Friend wake ambae alimpenda sana na hata kwao walikuwa wanamjua huyo girlfirend.
Kiukweli rafiki yangu kaumia sana
Ukiwa kesha sanaa JF huwezi oa kila mtu analalamika kugongewa tuu..!!!Ukisoma malalamiko ya Jf kila muda, unaweza kujikuta unamuona mke wako pia hafai...sina cha kusema zaidi ya FIVE AGAIN.
Jose hajaonyesha sura..Ww na uyo rafik yko mnashindwa kutatua tatizo dogo km hilo
Mwambie achukue io video ni ushahid uo peleka polisi uyo jose akamatwe ajieleze akitaka kufuta kesi mwambie akupe million 3 au kesi iende mahakaman ni kosa kumtumia mtu video ya ngono bila ridhaa yke
Km atakulipa izo pesa zitafaa kabisa kurefresh mind kwa kula kitimoto na bia kadhaa km akitaka kesi iende mahakaman itakuwa imekula kwake ww utalia demu wko vzr pia mtafute pia demu wake na yy kula pia ila ucmtumie video it is risk
Ww ayo maswali ucjiulize we nenda kaelezee jinsi ilivyokuwa wapelelez na wanasheria ndio kaz yao ioJose hajaonyesha sura..
Namba ya China.
Huyo Jose atakamatwaje sasa?
#YNWA
Tuanzie hapo alijiuaje km ni jose ndo aliekuwa anamla demu wake atupe uthibitisho na io ndio evidence mbali na hapo naweza sema hii thread ni ya kipuuz na imetungwa nyuma ya keyboardushaambiwa jamaa haonekani kwenye vdeo na wala haongei na imetumika no ya china kumrushia mesage utamkamata vip mtu akijaribu hivyo kama mshtakiwa akipata mawakili wazuri kesi linageuzwa vizuri tu