Little brain
JF-Expert Member
- Oct 31, 2020
- 4,282
- 6,303
Mwambie atumie akili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe na huyo rafiki yako mnashindwa kutatua tatizo dogo kama hiloZamani watu walikuwa wanasikia tu kwamba fulani anatembea na dem wako lakini siku hizi unajionea live kabisa tena kwa maksudi kabisa jamaa anakutumia video.
Navyoongea gapa rafiki yangu ana stress, stress, stress nyingi nyingi mno, hata kula shida, kulala kwa shida, yani hii hali imedumu zaidi ya wiki.
Rafiki yangu huyu aligombana na jamaa flani anaiwa Jose, ilikuwa ni ishu ya rafiki yangu kutumia nguvu ya pesa kumnyanganya fremu ya biashara huyu Jose ambae alikuwa hajailipia miezi mitatu, Sasa ndo ukaibuka ugomvi mkubwa kati yao.
Wakati hili bifu likiendelea, Jose alikuwa anamnyatia dem wa rafiki yangu kisiri siri.
Sasa jumamosi iliyopita, Kuna namba ya china ilitumika kumtumia rafiki yangu hio video, Sura ya Jose haionekani lakini sauti ni yake kabisa anavyoongea anavyomponda na kumtukana rafiki yangu matusi ya dhihaka.
Rafiki yangu alikuwa na mipango mikubwa sana na huyu Girl Friend wake maana wamedumu kwa zaidi ya mwaka, Rafiki yangu alimpenda sana na kumjali sana.
Yani navyoongea kwa sasa huyu rafiki ni kama gogo tu, Inamuuma sana kitendo alichofanyiwa na Jose, Inamuuma sana anavyomuona Jose anavyo mmega Girl Friend wake ambae alimpenda sana na hata kwao walikuwa wanamjua huyo girlfirend.
Kiukweli rafiki yangu kaumia sana
Hao waache ujinga. Wakiendelea kuna mmoja anaweza hata kuuumia vibaya sana na hata kifo. Na siku hizi hakuna rafiki wa kweli.Zamani watu walikuwa wanasikia tu kwamba fulani anatembea na dem wako lakini siku hizi unajionea live kabisa tena kwa maksudi kabisa jamaa anakutumia video.
Navyoongea gapa rafiki yangu ana stress, stress, stress nyingi nyingi mno, hata kula shida, kulala kwa shida, yani hii hali imedumu zaidi ya wiki.
Rafiki yangu huyu aligombana na jamaa flani anaiwa Jose, ilikuwa ni ishu ya rafiki yangu kutumia nguvu ya pesa kumnyanganya fremu ya biashara huyu Jose ambae alikuwa hajailipia miezi mitatu, Sasa ndo ukaibuka ugomvi mkubwa kati yao.
Wakati hili bifu likiendelea, Jose alikuwa anamnyatia dem wa rafiki yangu kisiri siri.
Sasa jumamosi iliyopita, Kuna namba ya china ilitumika kumtumia rafiki yangu hio video, Sura ya Jose haionekani lakini sauti ni yake kabisa anavyoongea anavyomponda na kumtukana rafiki yangu matusi ya dhihaka.
Rafiki yangu alikuwa na mipango mikubwa sana na huyu Girl Friend wake maana wamedumu kwa zaidi ya mwaka, Rafiki yangu alimpenda sana na kumjali sana.
Yani navyoongea kwa sasa huyu rafiki ni kama gogo tu, Inamuuma sana kitendo alichofanyiwa na Jose, Inamuuma sana anavyomuona Jose anavyo mmega Girl Friend wake ambae alimpenda sana na hata kwao walikuwa wanamjua huyo girlfirend.
Kiukweli rafiki yangu kaumia sana
Huyu sio manzi tu mkuu, Ni girlfriend wa rafiki yangu ambae alikuwa anampenda sana na wameishi zaidi ya mwaka, Hadi familia ya rafiki yangu wanamjua, Ingekua ni kamanzi ka kutulizia tu stimu hapo mbona fasta tu mnatemana.Aaah alimudu kutumia pesa kunyang'anya fremu kwasababu Jamaa hana uwezo, na yeye hana uwezo wa kumiliki huyo mtoto pengine upepo ni bila bila so akubali kwamba hawezi kumiliki kila kitu.
Hakuna jipya zaidi ya kutemana na manzi, rahisi tu mbona
Pesa nayo kwa watu wengi inaishaga. Usikute hata demu kumwacha jamaa na kulala na rafiki yake, jamaa yake original hana hela tena na Jose akachukua demu kirahisi. Kama bado $$ ipo, asingepata stress hivyo. Angetumia nguvu ya pesa kuwapelekesha sana wote Jose na demu wakeWw na uyo rafik yko mnashindwa kutatua tatizo dogo km hilo
Mwambie achukue io video ni ushahid uo peleka polisi uyo jose akamatwe ajieleze akitaka kufuta kesi mwambie akupe million 3 au kesi iende mahakaman ni kosa kumtumia mtu video ya ngono bila ridhaa yke
Km atakulipa izo pesa zitafaa kabisa kurefresh mind kwa kula kitimoto na bia kadhaa km akitaka kesi iende mahakaman itakuwa imekula kwake ww utalia demu wko vzr pia mtafute pia demu wake na yy kula pia ila ucmtumie video it is risk
Mkuu hiyo lazima iumize moyo tu ila kwa vyovyote huyo hafai tena kuitwa mke maana hata ukimsamehe ukiendelea nae hutakua ukimuamini kama mwanzo na kuna viheshima flani kama wife hana tena kwa vyovyote ni kumuacha tu hakuna namna.Huyu sio manzi tu mkuu, Ni girlfriend wa rafiki yangu ambae alikuwa anampenda sana na wameishi zaidi ya mwaka, Hadi familia ya rafiki yangu wanamjua, Ingekua ni kamanzi ka kutulizia tu stimu hapo mbona fasta tu mnatemana.
Rafiki yangu kwa sasa kidogo anaanza kurudi kiakili maana siku zile za mwanzo jamaa alilia kabisa jinsi anavyona Jose anavyomfaidi dem wake,
Kiukweli hata mimi au wewe sidhani kama utachukulia poa mtu anakutumia video anamnyandua demu ambae unampenda sana au wife
Sure mkuu. Ila inakupa tahadhari pia.Ukisoma malalamiko ya Jf kila muda, unaweza kujikuta unamuona mke wako pia hafai...sina cha kusema zaidi ya FIVE AGAIN.
Sasa ndo ummaindi Jose!Huyu sio manzi tu mkuu, Ni girlfriend wa rafiki yangu ambae alikuwa anampenda sana na wameishi zaidi ya mwaka, Hadi familia ya rafiki yangu wanamjua, Ingekua ni kamanzi ka kutulizia tu stimu hapo mbona fasta tu mnatemana.
Rafiki yangu kwa sasa kidogo anaanza kurudi kiakili maana siku zile za mwanzo jamaa alilia kabisa jinsi anavyona Jose anavyomfaidi dem wake,
Kiukweli hata mimi au wewe sidhani kama utachukulia poa mtu anakutumia video anamnyandua demu ambae unampenda sana au wife
Pole kwake. Ila hakufanya poa kumfanyia mwenzake figisu madhara yake ndo hayo jamaa kaamua kulipa kisasi. Tuwe makini namna tunavyowatendea wengine.Zamani watu walikuwa wanasikia tu kwamba fulani anatembea na dem wako lakini siku hizi unajionea live kabisa tena kwa maksudi kabisa jamaa anakutumia video.
Navyoongea gapa rafiki yangu ana stress, stress, stress nyingi nyingi mno, hata kula shida, kulala kwa shida, yani hii hali imedumu zaidi ya wiki.
Rafiki yangu huyu aligombana na jamaa flani anaiwa Jose, ilikuwa ni ishu ya rafiki yangu kutumia nguvu ya pesa kumnyanganya fremu ya biashara huyu Jose ambae alikuwa hajailipia miezi mitatu, Sasa ndo ukaibuka ugomvi mkubwa kati yao.
Wakati hili bifu likiendelea, Jose alikuwa anamnyatia dem wa rafiki yangu kisiri siri.
Sasa jumamosi iliyopita, Kuna namba ya china ilitumika kumtumia rafiki yangu hio video, Sura ya Jose haionekani lakini sauti ni yake kabisa anavyoongea anavyomponda na kumtukana rafiki yangu matusi ya dhihaka.
Rafiki yangu alikuwa na mipango mikubwa sana na huyu Girl Friend wake maana wamedumu kwa zaidi ya mwaka, Rafiki yangu alimpenda sana na kumjali sana.
Yani navyoongea kwa sasa huyu rafiki ni kama gogo tu, Inamuuma sana kitendo alichofanyiwa na Jose, Inamuuma sana anavyomuona Jose anavyo mmega Girl Friend wake ambae alimpenda sana na hata kwao walikuwa wanamjua huyo girlfirend.
Kiukweli rafiki yangu kaumia sana
Namba ya China na sura ya J haipo unawaambia nini polisiWw na uyo rafik yko mnashindwa kutatua tatizo dogo km hilo
Mwambie achukue io video ni ushahid uo peleka polisi uyo jose akamatwe ajieleze akitaka kufuta kesi mwambie akupe million 3 au kesi iende mahakaman ni kosa kumtumia mtu video ya ngono bila ridhaa yke
Km atakulipa izo pesa zitafaa kabisa kurefresh mind kwa kula kitimoto na bia kadhaa km akitaka kesi iende mahakaman itakuwa imekula kwake ww utalia demu wko vzr pia mtafute pia demu wake na yy kula pia ila ucmtumie video it is risk
Jose muuza nguo wa BK!Zamani watu walikuwa wanasikia tu kwamba fulani anatembea na dem wako lakini siku hizi unajionea live kabisa tena kwa maksudi kabisa jamaa anakutumia video.
Navyoongea gapa rafiki yangu ana stress, stress, stress nyingi nyingi mno, hata kula shida, kulala kwa shida, yani hii hali imedumu zaidi ya wiki.
Rafiki yangu huyu aligombana na jamaa flani anaiwa Jose, ilikuwa ni ishu ya rafiki yangu kutumia nguvu ya pesa kumnyanganya fremu ya biashara huyu Jose ambae alikuwa hajailipia miezi mitatu, Sasa ndo ukaibuka ugomvi mkubwa kati yao.
Wakati hili bifu likiendelea, Jose alikuwa anamnyatia dem wa rafiki yangu kisiri siri.
Sasa jumamosi iliyopita, Kuna namba ya china ilitumika kumtumia rafiki yangu hio video, Sura ya Jose haionekani kwasababu yeye alikuwa haiangalii kamera ila dem ndo alikuwa anaonekana sana.
Rafiki yangu alikuwa na mipango mikubwa sana na huyu Girl Friend wake maana wamedumu kwa zaidi ya mwaka, Rafiki yangu alimpenda sana na kumjali sana.
Yani navyoongea kwa sasa huyu rafiki ni kama gogo tu, Inamuuma sana kitendo alichofanyiwa na Jose, Inamuuma sana anavyomuona Jose anavyo mmega Girl Friend wake ambae alimpenda sana na hata kwao walikuwa wanamjua huyo girlfirend.
Kiukweli rafiki yangu kaumia sana
Bora umefunguka mkuu, Namba katumia ya kichina, Sura yake haionekani, Meseji alizotuma hajaandika jina lake, n.k.Namba ya China na sura ya j haipo unawaambia nn polisi