Rafiki yangu Mahmoud Ahmadinejad ajisajili kugombea uraisi Iran, Ni furaha sana kwa wapigania haki duniani

Iphone, Computers,Madawa,Magari,hellcopters, ndege,Nguo,sofa na bidhaa zingine nyingiii ni from hao wawili🤣🤣Zalisheni kwanza vyakwenu na technologies ziwe zenu vyinginevyo- ni WanzunguKENI hawa .Wamewazunguka kila kona.
Acha upopoma.
Hata vifaa tiba na kemikali baadhi kama sulphuric acid vimekua invented na wahajemi.
Je hilo unalizungumziaje!?
Teknolojia ni suala la ku share kijana acha akili fupi.
 
Kama wataendele kunua ndege, magari na mitambo kutoka USA na washirika wake wajiandae kuangamia vibaya sana
Iran wana vitu vingi wanazalisha katika viwanda vya ndani.
Ndio maana unaona licha ya vikwazo vya kiuchumi haijaanguka na kuwa taifa masikini.
 
mzee kashachoka atakuwa akirusha tu mabomu hovyo
 
mzee kashachoka atakuwa akirusha tu mabomu hovyo
Mabomu nayo yamepungua sana kutokana na wafadhili wake kuchoka na kuishiwa.
Kinachoendelea Rafah sio kwamba Israel imepata huruma ndio ikawa sababu hakuna mashambulizi makali kama yale tuliyoyaona miezi miwili ya mwanzo ya vita kaksakzini ya Gaza.Kinachotokea ni kuwa Israel haiwezi tena kupiga kama mwanzo kutokana na ukata wa askari na vifaa
 
Acha upopoma.
Hata vifaa tiba na kemikali baadhi kama sulphuric acid vimekua invented na wahajemi.
Je hilo unalizungumziaje!?
Teknolojia ni suala la ku share kijana acha akili fupi.
🤣🤣🤣🤣.
 
Maneno ya Ahmednejad peke yake ni mabomu tosha kwa Netanyahu.
Israel wakubali masharti ya Hamas haraka kabla kiboko ya uchokozi wao hajaingia madarakani.
 
Keshajuchwa na chujuo kakwama kushiriki uchaguzi
 
Zaidi ya kubwabwaja kipi kingine alifanya kwenye uongozi wake wa vipindi viwili?
 
Halafu hapo marekani yule msiempenda ndio anakuja hachekagi na kima yule mzee.
 
Wazungu wanatumia sana akili na sasa wamechoka akili zimewaishia wanatumia matako isivyo.dunia tambala bovu.
 
Alisema ataitungua Dunia Kwenye Muhimili wake Tukose Wote Daah Anaroho Ngumu Kweli Kuna Watu Tupo nanjilinji huku hata hatuhusiki anatujumlisha
 
Daaa mwamba ndio amezeeka hivi?Ila nakumbuka nilikuwa na rafiki zangu wa Iran hawakupenda hata uwatajie jina la huyu Mtu
 
Hapana ninachoamini kuikumbatia dini na serikali kunaleta matatizo makubwa sana. Leo hii wangekuwa mbali sana kama wasingefungamana na Uislamu. Sina mawazo mgando nimejifunza mengi sana kwa kuishi katika nchi zilizoendelea.
Wangekuwa mbali at what cost?? Kwa resources zao kumilikiwa na USA & UK? Kuendelea ingekuwa kipengere wangetumiwa.
 
Mbona Muhammed Ali aliwatoa? Kutoka watatoka tu siku USA ikiondoa mkono wake. Israel ya biblia sio hii ya sasa na Mungu ni wa wote sio Israel acheni kupotoshana.
Mungu wa israel ni wa yule wanaomuanini tu, sio wa wote. Usifikiri israel anamtegemea marekani HILO sahau
 
Mungu wa israel ni wa yule wanaomuanini tu, sio wa wote. Usifikiri israel anamtegemea marekani HILO sahau
Israel anamtegemea US ndio, kila mwaka anapewa msaada wa matrillioni. Kama unabisha niambie bila US kumvamia Hitler wayahudi wangepona? Mbona walichakazwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…