Rafiki yangu ni mtu wa sifa ananikwaza sana

Binafsi hakuna mtu anayeweza kunizoea KIPUMBAVU hivyo.
Ukitaka kuzidisha mazoea naweka uso wa Julius Ceasar,utakimbia au ukae kimya.
Mwisho;sehemu ninapokaa mtu haingii kimandazi mandazi.
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚mkuu umenichekesha Sana, kuingia kimaandazimandazi ndio vipi mkuu๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ