Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KumbeWeng wanaomilik iphon ni masikin wakutupwa kuliko Alf madon ndiyo wanamiliki tecno na infinix
Ni wa kike. Alikuwa na kibag cha mgongoniSimu unawekaje kwenye begi la mgongoni
Asante kwa hili[emoji120]Chakwanza iyo imeenda tiali saiv kuna watoto k/koo wanacheza tu na imei huipati labda kama waloiba wawe wana na akili ya kwenda kuibaypass hapo utaipata kama umezikach imei zako nenda kafungue loss report polisi kitengo cha cyber watakusaidia.
[emoji849][emoji849][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ni demu wake, hapo anaogopa kuingia gharana ya kununua i4n mpyaa, anataka waitafute ya zaman.
Wanamilik iphon Alf hawana hela hata yakukod boda tunabanana nao kwny daladala 😄😄Sas mtu ananunua iphone afu ana ningiania kweny daladala[emoji23][emoji23][emoji23]wabongo bhna
Mm nikiwa hata na la5 au nina kitu cha thaman nakodi hata boda
Sent from my SM-G930F using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji17]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji3] nn
Pole kwa kuibiwaSo sad... Simu sio ya kwangu but imeniuma sana.
Kwani mtu anayemiliki iPhone huwa unamuonaje? Ki mtazamo wakoWanamilik iphon Alf hawana hela hata yakukod boda tunabanana nao kwny daladala [emoji1][emoji1]
Sio kweli ni rafiki yangu kwani haiwezekani hiyo?[emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Asante kwa mchango wakoPole kwa kuibiwa
Nalog off Z
Una maanisha?.....Nsomile bado mna exist?
🤣🤣🤣Aliyeibiwa simu ni wewe wala hakuna cha rafiki yako wa kike,
Ndio maana umejiwahi kwa kusema kua wewe hujawahi kuibiwa kitu!
Sasa nyoosha kwanza maneno ili tukupe maujanja umnase mwizi wako live.
Ni demu wako bhanaaa, [emoji23][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23]Sio kweli ni rafiki yangu kwani haiwezekani hiyo?
Ukiwa kwenye msongamano wowote iwe sokoni au kwenye mabus ya uma usithubu kuweka pesa au simu kwenye beg zen ukavaa kwa nyuma au pesa kwenye mfuko wa nyuma wa suruali,,,,,hasa ukiwa dsm.